Poleni wanaume

Poleni wanaume

Hivi vipombe vya Bei rahisi vya buku mbili mbili vinaaribu vibinti vya watu
 
Jf ina wanaume wengi kuliko wanawake, wanaoanzisha nyuzi mostly ni wanaume pekee.

Nenda mitandao ambayo girls ni wengi uone wanawake wanavyoshauriana juu ya wanaume kama hapa jf wanaume tunavoshauriana.

Ni 50/50 si ke wala me, yabia mbofu mbofu zipo kote.
 
Wanaume siku hizi mapenzi yanawapelekesha mmevurugwa, kutwa kuchwa munawaandama wadada mara singo maza mara bikira mara ombaomba mara haki sawa

Kaka zangu nawapa pole sana hakika mnachanganyikiwa juu yetu

Ex wangu niliambiwa nusu apate kichaa baada ya kuachana na mimi alikesha baa alilelawa mno akanilaani sana…akatafutiwa mwanasaikolojiaaaa akapigishwa somo akakaa fresh

Nasemaje kuachana kwetu yeye alichangiaa kwaiyo sijamuonea huruma

Nyie wanaume tunawapenda ila maneno ya mtandaoni yanawapotezaa hamueleweki mnataka wife ama matrakooo

Bye[emoji23]
huyo alikuwa bwege, mwanamme unaanzaje kumlilia mwanamke?
 
Wanaume siku hizi mapenzi yanawapelekesha mmevurugwa, kutwa kuchwa munawaandama wadada mara singo maza mara bikira mara ombaomba mara haki sawa

Kaka zangu nawapa pole sana hakika mnachanganyikiwa juu yetu

Ex wangu niliambiwa nusu apate kichaa baada ya kuachana na mimi alikesha baa alilelawa mno akanilaani sana…akatafutiwa mwanasaikolojiaaaa akapigishwa somo akakaa fresh

Nasemaje kuachana kwetu yeye alichangiaa kwaiyo sijamuonea huruma

Nyie wanaume tunawapenda ila maneno ya mtandaoni yanawapotezaa hamueleweki mnataka wife ama matrakooo

Bye[emoji23]


"Nasemaje kuachana kwetu yeye alichangiaa kwaiyo sijamuonea huruma"

Ushaanza kujuta, mwanaume ni maji, usipoyanywa, utayakoga.
 
Ndio maana nikikamata nahakikisha nimetomb kisawasawa ili hata km siku ukijifanya kisabengo ukienda najua utakua unakaa unakumbuka kuna shughuli uliwahi kukutana nayo ulipokua na Mimi kutokana na jinsi ambavyo nimekushughulisha
 
Ndio maana nikikamata nahakikisha nimetomb kisawasawa ili hata km siku ukijifanya kisabengo ukienda najua utakua unakaa unakumbuka kuna shughuli uliwahi kukutana nayo ulipokua na Mimi kutokana na jinsi ambavyo nimekushughulisha

We mwenyewe Kama Cha kuku tu nani akukumbukee
 
Wanaume siku hizi mapenzi yanawapelekesha mmevurugwa, kutwa kuchwa munawaandama wadada mara singo maza mara bikira mara ombaomba mara haki sawa

Kaka zangu nawapa pole sana hakika mnachanganyikiwa juu yetu

Ex wangu niliambiwa nusu apate kichaa baada ya kuachana na mimi alikesha baa alilelawa mno akanilaani sana…akatafutiwa mwanasaikolojiaaaa akapigishwa somo akakaa fresh

Nasemaje kuachana kwetu yeye alichangiaa kwaiyo sijamuonea huruma

Nyie wanaume tunawapenda ila maneno ya mtandaoni yanawapotezaa hamueleweki mnataka wife ama matrakooo

Bye[emoji23]
Watu tegemezi kihisia ndiyo wako na shida hiyo ya kung'ang'ania alipokataliwa, ni disorder. Unaweza kufikiri unapendwa kumbe ni manifestation tu ya hiyo condition.
 
Back
Top Bottom