- Thread starter
- #101
"Nasemaje kuachana kwetu yeye alichangiaa kwaiyo sijamuonea huruma"
Ushaanza kujuta, mwanaume ni maji, usipoyanywa, utayakoga.
Mwanamke ni chakula usipokula utakufa njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Nasemaje kuachana kwetu yeye alichangiaa kwaiyo sijamuonea huruma"
Ushaanza kujuta, mwanaume ni maji, usipoyanywa, utayakoga.
huyo alikuwa bwege, mwanamme unaanzaje kumlilia mwanamke?
Kuna mambo yanafurahisha sana sweetheart...
Tuliza wenge wewe.Nimerudii nyie mnasemajee mbwea
Hivi vipombe vya Bei rahisi vya buku mbili mbili vinaaribu vibinti vya watu
Sema tangazo limekaa kimbinu sana
Nawasiwasi na wewe.
Vp nafasi ipo nachoangalia traaaacall tuKichwa kile kama subaru
Don't be sad sweethoney...[emoji4] Cheer's Up....[emoji847]
Jirani una character ngapi? Toka majuzi naona jini aliyekuvaa anaandika kimalkia tu.To me she sounds like having a mental disorder she having a valid reason for all the stupid things she do because of a damaged prefrontal cortex....🤣
Kwani anakujua mpaka akuite single motherUnataka uwe wewe singo mama
🤣🤣🤣🤣Sura Kama kambale
Nachojua Mimi hukumuacha ila yeye ndo alikuacha
Kwani anakujua mpaka akuite single mother
Visungura vya ofaUkijiona masikini usifikiri na wenzio wanakunywa mataputapu kama yako
Visungura vya ofa