- Thread starter
- #121
Vipi hutaki na Mzee afaidii roho mbaya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimechoka kucheka
Ilimradi imeingia swala la kamoja hiyo ni juu yako, tukiridhika sisi inatosha we utajua mwenyeweTatizo ukoo wenu ni kamoja Kama kuku labda utachanganya na koo za jiran
🙄🙄We unataka urithi?Vipi hutaki na Mzee afaidii roho mbaya tu
Jirani... this is real me..😊Jirani una character ngapi? Toka majuzi naona jini aliyekuvaa anaandika kimalkia tu.
Tafadhali usinijibu kizungu mimi sijasoma 😂
Ex wangu niliambiwa nusu apate kichaa baada ya kuachana na mimi alikesha baa alilelawa mno akanilaani sana…akatafutiwa mwanasaikolojiaaaa akapigishwa somo akakaa fresh
Kaka una matusi wewe pole mwaya kadogo2
Ilimradi imeingia swala la kamoja hiyo ni juu yako, tukiridhika sisi inatosha we utajua mwenyewe
You were in hands of Weak Man. I understand ndio maana uliachana naye.
Mwanaume gani anachanganyikiwa kwa kuachwa na Mwanamke? What can he achieve in Life?
[emoji849][emoji849]We unataka urithi?
Hahaha........matusi ni kama maji ya baridi kwangu.....hayaniunguziToka na wewe hapa sura Kama emoj
Unaolewa na mwanaume Lia lia. Sasa alikuwa analia nini mpaka akawa kichaaa?Toka na wewe hapa sura Kama emoj
Ukipigwa mimba na mdingi si ndo hvo tena 😁vijana mgao unapunguaUrithi gani nitapata zaidi mibichwa yenu
Ukipigwa mimba na mdingi si ndo hvo tena [emoji16]vijana mgao unapungua
Ko unaamua kufata mwenyewe kwa mzeeVijana wa kupewa mtaji na wazee wao ni wasumbufu