Poleni Watanganyika, poleni sana

Poleni Watanganyika, poleni sana

Wanajikombakomba wapate tende na haluwa
Bora angerudi sultan Jamshid maana yeye hana pengine pa kuita nyumbani zaidi ya Zanzibar.Nilimuona na kumsikia akisema anatamani kurudi nyumbani Kwa watu wake Zanzibar Huyu wa Dubai ana kwake.Atasomba Kila kitu hapa apeleke Dubai .Msukuma na wenzake washapewa tende Yao na haluwa.Apedomia mbaya kuliko hata Corona.
 
Daah pana vitu vinasikitisha sana sema hii yote inatoka na mfumo mbovu wa Elimu ndio maana unaona kucha kujisifia madegree na kununua magari huku Nchi ikigawanywa vipande vipande kwa wahuni wachache nilisikia ishu ya Loliondo Gate kutoka kwa mwandishi Katabalo nalo alilipigania peke yake mpaka mauti yakamfika akiwapigania vizazi na vizazi kupitia makala zake za kiuchunguzi kwenye gazeti la Mfanyakazi..R.I.P Katabalo na baadae Mwangosi kukosekana kwa Wazalendo wa kweli kunafanya watu wachache kuamua mambo yeyote bila kujali maslahi mapana ya Nchi ni kwa manufaa yao tu..
 
Tuuweke unafique kando! Tunapaswa kujitathmini upya
Sisi ni wanafiki. (Kupitia bunge hilo limethibitika
Inasikitisha mtu kama Msukuma mtoto ambaye hakuwa amezaliwa wakati wa muungano, ndiye namba 1 kubeza wanaotoa hoja za kupinga mkataba ule!
Sawa si hoja wapo wadogo kama Mdee lakini ni wasomi wamekwenda mbali kuangalia Impact ya mkataba ule.

Shida ni zile kura za kupewa 2020 ndizo zinawapa aibu kuhoji. Watu kama akina Mpina kimyaa.
Mwalimu alikuwa akihoji kabla ya kusign mikataba ndo maana tulijenga reli ya Tazara hakukuwa na kelele ingawa tuliogea sabuni za Mei yu na Samsang lakini deni lilipoisha maisha ya kaendelea.

Mimi naunganisha dot mbili toka kwa mzee ruksa kuja kwa dada.
 
Daah pana vitu vinasikitisha sana sema hii yote inatoka na mfumo mbovu wa Elimu ndio maana unaona kucha kujisifia madegree na kununua magari huku Nchi ikigawanywa vipande vipande kwa wahuni wachache nilisikia ishu ya Loliondo Gate kutoka kwa mwandishi Katabalo nalo alilipigania peke yake mpaka mauti yakamfika akiwapigania vizazi na vizazi kupitia makala zake za kiuchunguzi kwenye gazeti la Mfanyakazi..R.I.P Katabalo na baadae Mwangosi kukosekana kwa Wazalendo wa kweli kunafanya watu wachache kuamua mambo yeyote bila kujali maslahi mapana ya Nchi ni kwa manufaa yao tu..
Katabaro walimuua kiaina ila Mwangosi video zitatunzwa zionyeshwe siku tukipata uhuru kamili. Nchi hii hata wanaoingia upinzani wengi ni wapelelezi au wachumia tumbo kama Waitara. Kuanzia alivyokuwa anamsifia mwenda zake na sasa anadiriki kusema upupu mtupu!
Heri yao waliopewa ukuu wa wilaya kama aliyeitwa kima au tumbili?
 
Kwa kweli kati ya vitu vilivyosikitisha ni huu uamuzi wa Huyu Mama, Nimetafakari sana, Nyerere hakuwaza kubinafsisha bandari, Mwinyi pia, Mkapa aliyekuwa mwanzilishi wa uwekezaji hakubinafsisha bandari, JK Mzee wa wapigaji hakuthubutu hata kuwaza hili, JPM Mzalendo wa kweli alikuwa sambamba na huyu mama Mnafiki hakuwaza kubinafsisha hiyo Bandari, Leo hii Huyu Mama ujasiri anautoa wapi?

Inasikitisha sana, Kama unatakiwa ufanisi wa kuendesha Bandari si bora wawekeze kwenye mitambo hata kama kwa mkopo??? Kinachoenda kufanyika ni kupeleka mapato yote ya nchi DUBAI, Kwa muda usiojulikana.
R.I.P TANGANYIKA.
 
Inasikitisha mtu kama Msukuma mtoto ambaye hakuwa amezaliwa wakati wa muungano, ndiye namba 1 kubeza wanaotoa hoja za kupinga mkataba ule!
Sawa si hoja wapo wadogo kama Mdee lakini ni wasomi wamekwenda mbali kuangalia Impact ya mkataba ule.

Shida ni zile kura za kupewa 2020 ndizo zinawapa aibu kuhoji. Watu kama akina Mpina kimyaa.
Mwalimu alikuwa akihoji kabla ya kusign mikataba ndo maana tulijenga reli ya Tazara hakukuwa na kelele ingawa tuliogea sabuni za Mei yu na Samsang lakini deni lilipoisha maisha ya kaendelea.

Mimi naunganisha dot mbili toka kwa mzee ruksa kuja kwa dada.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bring back our Tanganyika, kati ya siku nilishangaa ni siku bunge linajadili hilo suala yaani kiukwel tuwe wakweli bila kuficha wabunge wa Tanzania ni wanafiki saana kwa asilimia 90 mle ndani nilikuwa ninasikia kusifia tu wala sikupata hoja zenye mashiko shame on them
 
Bring back our Tanganyika, kati ya siku nilishangaa ni siku bunge linajadili hilo suala yaani kiukwel tuwe wakweli bila kuficha wabunge wa Tanzania ni wanafiki saana kwa asilimia 90 mle ndani nilikuwa ninasikia kusifia tu wala sikupata hoja zenye mashiko shame on them


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom