Viongozi wakubwa hufanya hivyo ili kuepuka political crisis. Ni busara. Lakini ujumbe unakuwa umefika kunakohusika.Sio kweli, kama alimaanisha angeisimamia hiyo kauli, badala yake aliyakana maneno yake na kuomba radhi
Mtu wa kwanza kulaumiwa kuhusu bunge hili, ni hayati magufuri, kutuletea wabunge hawa, wao kazi yao ni kusifu na kuabudu..Tuuweke unafique kando! Tunapaswa kujitathmini upya
Sisi ni wanafiki. (Kupitia bunge hilo limethibitika
Sisi ni waoga na wazito kuchukua maamuzi magumu
Sisi ni waongeaji sana kuliko watendaji (keyboard warriors)
Sisi ni makuwadi (huu ukweli mchungu)
Sisi ni wabinafsi
Sisi ni waongo sana
Sisi si wamoja na hatuna umoja
Sisi hatuna uzalendo na hatujanyooka
Leo hii kuna Tanzania na kuna Zanzibar! Nyeusi tuite nyeusi jamani.. Je Tanganyika iko wapi? Imebaki kwenye makabrasha ya kumbukumbu ghalani..!
Suala la kuuza/kugawa/kubinafsisha bandari zetu zote za Tanganyika ya makaratasi, limetuacha uchi na kuthibitisha sisi ni watu wa namna gani!
Wenzetu ndugu zetu na jirani zetu Zanzibar wametuzodoa, wametubeza, wametupasha, wametukejeli na kutucheka sana humu mitandaoni.. Wametupa majina mengi mabaya na ya kukarahisha sana! TUNASTAHILI!
Tumejawa na unyonge na unafiki wa ajabu kabisa! Hatuna mbele hatuna nyuma kama sigara kali! Nyuma ni mbele na mbele ni kama nyuma
Tukiwashwa mbele nyuma tunavutika! Tukiwashwa nyuma mbele tunavutika!
Jana kilichoitwa kikao cha viongozi wa dini kimetoa mwelekeo mpya mpya kwenye hili sakata! Kimepangua na kufisha hoja zote zilizotumiwa na bunge kukubaliana na kile kilichokuwa kimepangwa na wenye ajenda zao!
Nyeusi tuite nyeusi, kikao kile pamoja na kuitwa ni kikao cha viongozi wa dini.. Lakini kiuhalisia RC ndio ilikuwa kila kitu kwenye kile kikao, kuanzia maandalizi, mipango, hoja mpaka wayforward ya nini kifanyike baada ya hapo! Kuna taasisi bado zitabaki kuwa juu miongo mingi ijayo kutokana na elimu! Na ndio maana EL alisisitiza sana elimu
Bunge letu! a laughing stock of the century tusiwaseme vibaya marehemu kwakuwa hawapo kujitetea lakini tukumbuke nyayo zao zinaishi kila walikopita! Tusingekuwa na bunge la namna hii kama kuna watu wasingekuwa na fikra finyu maono kimo cha mbilikimo!
Watetezi wa uwekezaji kandamizi wa kinyonyaji na kitapeli, wameokotezwa huko na huko na kupewa chochote kulingana na hadhi zao (price tags) lakini zisikilize hoja zao sasa! Sio hoja ni vioja! Wanapiga tu kelele na kupayuka kama mahoka kwa sangoma! Cha kushangaza wamepata uungwaji mkono na wajinga wengi
Viongozi na wanasiasa walioko madarakani! Hawa sijui wanawaza nini! Au ndio ule usemi shibe mwana malevya? Hakuna hata mmoja aliyejitokeza waziwazi na kusema kwa sauti thabiti HILI HALIFAI! wote wanaishia kunong'ona mafichoni tena kwa sauti ya woga! Hawatuwazii sisi, hawaliwazii taifa! Wanajiwazia wao na matumbo yao na familia zao
Poleni Watanganyika! Poleni sana! Kuna tabaka la wapigaji walioamua kujimilikisha hii nchi[emoji24], ubinafsi na unafiki wetu na woga wetu vimetufanya tuwaache wakue na kujijenga kwa nguvu mno! Sasa hawagusiki tena! Na kamwe hawajitokezi hadharani bali huwatumia makuwadi na vibaraka wao tangu juu mpaka chini kabisa, kila mahali na kila penye mikono ya uamuzi.. NA WOTE HAO NI WATANGANYIKA WENZETU
Tusiwalaumu wezi tuwalaumu waliowaonesha wezi mlango wa kuingilia huku wakiwalinda ili waweze kuiba nyumbani kwetu bila kukamatwa!
Poleni watanganyika! Tumeziona rangi zetu halisi
View attachment 2655660
Mkuu yaani nimekuweka kundi la zero brain kabisa. Kwanini uwe mpinzani wa serikali???? Huna adabu kabisa. Mkataba ulishaambiwa ni makubaliano ya awali mnaanza kulalama ebo! Tutawashughulikia!Tuuweke unafique kando! Tunapaswa kujitathmini upya
Sisi ni wanafiki. (Kupitia bunge hilo limethibitika
Sisi ni waoga na wazito kuchukua maamuzi magumu
Sisi ni waongeaji sana kuliko watendaji (keyboard warriors)
Sisi ni makuwadi (huu ukweli mchungu)
Sisi ni wabinafsi
Sisi ni waongo sana
Sisi si wamoja na hatuna umoja
Sisi hatuna uzalendo na hatujanyooka
Leo hii kuna Tanzania na kuna Zanzibar! Nyeusi tuite nyeusi jamani.. Je Tanganyika iko wapi? Imebaki kwenye makabrasha ya kumbukumbu ghalani..!
Suala la kuuza/kugawa/kubinafsisha bandari zetu zote za Tanganyika ya makaratasi, limetuacha uchi na kuthibitisha sisi ni watu wa namna gani!
Wenzetu ndugu zetu na jirani zetu Zanzibar wametuzodoa, wametubeza, wametupasha, wametukejeli na kutucheka sana humu mitandaoni.. Wametupa majina mengi mabaya na ya kukarahisha sana! TUNASTAHILI!
Tumejawa na unyonge na unafiki wa ajabu kabisa! Hatuna mbele hatuna nyuma kama sigara kali! Nyuma ni mbele na mbele ni kama nyuma
Tukiwashwa mbele nyuma tunavutika! Tukiwashwa nyuma mbele tunavutika!
Jana kilichoitwa kikao cha viongozi wa dini kimetoa mwelekeo mpya mpya kwenye hili sakata! Kimepangua na kufisha hoja zote zilizotumiwa na bunge kukubaliana na kile kilichokuwa kimepangwa na wenye ajenda zao!
Nyeusi tuite nyeusi, kikao kile pamoja na kuitwa ni kikao cha viongozi wa dini.. Lakini kiuhalisia RC ndio ilikuwa kila kitu kwenye kile kikao, kuanzia maandalizi, mipango, hoja mpaka wayforward ya nini kifanyike baada ya hapo! Kuna taasisi bado zitabaki kuwa juu miongo mingi ijayo kutokana na elimu! Na ndio maana EL alisisitiza sana elimu
Bunge letu! a laughing stock of the century tusiwaseme vibaya marehemu kwakuwa hawapo kujitetea lakini tukumbuke nyayo zao zinaishi kila walikopita! Tusingekuwa na bunge la namna hii kama kuna watu wasingekuwa na fikra finyu maono kimo cha mbilikimo!
Watetezi wa uwekezaji kandamizi wa kinyonyaji na kitapeli, wameokotezwa huko na huko na kupewa chochote kulingana na hadhi zao (price tags) lakini zisikilize hoja zao sasa! Sio hoja ni vioja! Wanapiga tu kelele na kupayuka kama mahoka kwa sangoma! Cha kushangaza wamepata uungwaji mkono na wajinga wengi
Viongozi na wanasiasa walioko madarakani! Hawa sijui wanawaza nini! Au ndio ule usemi shibe mwana malevya? Hakuna hata mmoja aliyejitokeza waziwazi na kusema kwa sauti thabiti HILI HALIFAI! wote wanaishia kunong'ona mafichoni tena kwa sauti ya woga! Hawatuwazii sisi, hawaliwazii taifa! Wanajiwazia wao na matumbo yao na familia zao
Poleni Watanganyika! Poleni sana! Kuna tabaka la wapigaji walioamua kujimilikisha hii nchi[emoji24], ubinafsi na unafiki wetu na woga wetu vimetufanya tuwaache wakue na kujijenga kwa nguvu mno! Sasa hawagusiki tena! Na kamwe hawajitokezi hadharani bali huwatumia makuwadi na vibaraka wao tangu juu mpaka chini kabisa, kila mahali na kila penye mikono ya uamuzi.. NA WOTE HAO NI WATANGANYIKA WENZETU
Tusiwalaumu wezi tuwalaumu waliowaonesha wezi mlango wa kuingilia huku wakiwalinda ili waweze kuiba nyumbani kwetu bila kukamatwa!
Poleni watanganyika! Tumeziona rangi zetu halisi
View attachment 2655660
Kupeana pole wadanganyikaMshana Jr! Mauudhui ya andiko lako ni nini haswa!
Tutawashughulikia[emoji3064][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu yaani nimekuweka kundi la zero brain kabisa. Kwanini uwe mpinzani wa serikali???? Huna adabu kabisa. Mkataba ulishaambiwa ni makubaliano ya awali mnaanza kulalama ebo! Tutawashughulikia!
Acha vitisho basi, twende hoja Kwa hoja. Hoja za mshana zinapaswa kujibiwa Kwa hoja na siyo vitisho. Mimi ni UVCCM niliyekunywa Maji ya kijani ingawa mkeka wa Ma-DAS na Wakurugenzi umenipita juzi katiMkuu yaani nimekuweka kundi la zero brain kabisa. Kwanini uwe mpinzani wa serikali???? Huna adabu kabisa. Mkataba ulishaambiwa ni makubaliano ya awali mnaanza kulalama ebo! Tutawashughulikia!
Kwa maoni yako na wewe tereza beba bango la kupinga Mambo yanayohusu bandari.Ndugai hana ujembe wowote, aliteleza tu kusema vile, angalia rekodi ya uendeshaji bunge awamu ya 5 ni mmoja wa maspika wabovu kutokea
wote hao wanafanya kazi kwa maelekezo kutoka kwa Mashairi ya Chekacheka.Samia, Mbarawa, Makamba, AG na lile linalovaa bendera Mwigulu and the list goes ON
Kabisa Ndungai apewe maua yake, we kumpinga raisi si mchezo.Kwa hili la nchi kuuzwa aliona mbali. Mnyonge mnyongeni, haki mpeni.
yule umbwa hakutumwa na waislamu wala uislamu hautambui unafiq, yule aliharisha maneno baada ya kuona maslaha ya unguja yameguswa kimsingi yule ni hayawani kama wengine tu bora hata sheikh alhad musa saad alikuwa na kiakili kidogo hata cha kuvukia barabara. laanatulayhi wale umbwa koko, naumia sana kuona jitu nafiq kwa ajili ya tumbo tu.Kuna shehe mbuzi jana zimetoa tamko
Wanaume wa aina hii wameadimika sanaRIP, Aliipigania sana Tanganyika
Wana elimu au wamesoma?Tunapaswa kujitafakari,na uzuri wa sasa vijana wengi wana elimu!Tunapaswa kuchukua hatua kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo