Tetesi: Polepole ahaha kumtafuta Bondia Hassan Mwakinyo

Tetesi: Polepole ahaha kumtafuta Bondia Hassan Mwakinyo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
unnamed.jpg


Imeelezwa kuwa karibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole amekuwa akihaha kumnasa bondia Hasan Mwakinyo ili kumkaribisha chamani pamoja

Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 usiku wa kuamkia tarehe 9/9/2018 amefanikiwa kumpiga Bondia Mwingereza Sam Eggington katika round ya pili ya pambano hilo liliofanyika katika ukumbi wa 'ARENA BIRMINGHAM'

Baada ya kurejea nchini bondia huyu alipata mwaliko bungeni. Watu wa karibu wa bondia huyu wamekuwa wakimshauri akatae kujizogeza karibu na wanasiasa wa vyama. Wengine wamekuwa wakimpa mifano ya wanasanii waliofulia baada ya kujishirikisha na CCM ikiwemo Juma Nature, Bushoke,Marlow na wengine wakielekea kufulia kama kina Daimondi na Kiba
 
Acha hizo bwana mbona diamond anashirikiana na CCM na hajashuka? Mbona alikiba ni CCM na anaendelea kutesa?
Mtu kushuka kwenye sanaa yake haina correlation na kuwa CCM au CHADEMA au CUF
hao kina Juma nature ni kushindwa kuyapanga maisha vema kwa kutumia fursa walizopata
 
mbna hujamtaja na Diamond, na utaji waliotajirija pia kwa xbbu ya kujihusisha na vyama fulani, tuache ushabiki ukijitambua huwez kuhariby kipaji chako etI sbu upo chama fulani...ingekuwa hivyo hata yangu wangeichukia wengi kuwa ni tawi la ccm.
 
Acha hizo bwana mbona diamond anashirikiana n.a. CCM n.a. hajashuka? Mbona alikiba ni CCM n.a. anaendelea kutesa?
Mtu kushuka kwenye sanaa yake haina correlation na kuwa CCM au CHADEMA au CUF
hao kina Juma nature ni kushindwa kuyapanga maisha vema kwa kutumia fursa walizopata
Alikiba kaacha mziki unasema hajashuka, una akili wewe? Utawezaje kutumia fursa na uko CCM ambako akili inaamia tumboni?
 
Acha hizo bwana mbona diamond anashirikiana n.a. CCM n.a. hajashuka? Mbona alikiba ni CCM n.a. anaendelea kutesa?
Mtu kushuka kwenye sanaa yake haina correlation na kuwa CCM au CHADEMA au CUF
hao kina Juma nature ni kushindwa kuyapanga maisha vema kwa kutumia fursa walizopata
CCM ni zimwi, ukishirikiana nalo lazma likutafune na kukumaliza. yuko wapi malow, bushoke, 20% nk
 
Mwenyekiti wa bodi ya Mwl. Nyerere (Chuo)
AKA Tyson hahahaa uongo mbaya nikimkuta anakula denda na mke wangu...mambo yatakuwa hivi..."kumbe ndio wewe mzee shikamoo!! nafika dukani kwa Mangi ntarudi" ndio mazima naingia Corner bar naagiza jack daniels halafu naanza kulia...hahaha
 
mbna hujamtaja na Diamond, na utaji waliotajirija pia kwa xbbu ya kujihusisha na vyama fulani, tuache ushabiki ukijitambua huwez kuhariby kipaji chako etI sbu upo chama fulani...ingekuwa hivyo hata yangu wangeichukia wengi kuwa ni tawi la ccm.
kwa xbbu

Hz msg hata km ni mdogo wangu kaniandikia kuniomba hela simjibu mpaka arekebishe makosa.
 
View attachment 865995

Imeelezwa kuwa karibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole amekuwa akihaha kumnasa bondia Hasan Mwakinyo ili kumkaribisha chamani pamoja

Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 usiku wa kuamkia tarehe 9/9/2018 amefanikiwa kumpiga Bondia Mwingereza Sam Eggington katika round ya pili ya pambano hilo liliofanyika katika ukumbi wa 'ARENA BIRMINGHAM'

Baada ya kurejea nchini bondia huyu alipata mwaliko bungeni. Watu wa karibu wa bondia huyu wamekuwa wakimshauri akatae kujizogeza karibu na wanasiasa wa vyama. Wengine wamekuwa wakimpa mifano ya wanasanii waliofulia baada ya kujishirikisha na CCM ikiwemo Juma Nature, Bushoke,Marlow na wengine

CCM wana kimavi
 
AKA Tyson hahahaa uongo mbaya nikimkuta anakula denda na mke wangu...mambo yatakuwa hivi..."kumbe ndio wewe mzee shikamoo!! nafika dukani kwa Mangi ntarudi" ndio mazima naingia Corner bar naagiza jack daniels halafu naanza kulia...hahaha
Unamuogopa alivyompiga yule mwandishi wa habari miaka ilee😀😀😀😀😀

Mwandishi: Tunasikia wewe ni SWAHIBA wa Agustino Lyatonga Mrema?
Wasira: @#$%(*&^%$# p.u.mb.vu. (makofi, ngumi, mateke nk.)
Mwandishi: Vipi mzee mbona unanipiga?
Wasira: Yaani umeniona mimi ni SHOGA? una maana mimi nafanya mapenzi na Mrema kinyume cha maumbile
Mwandishi: Nisamehe mzee, Swahiba sio kwamba wewe ni shoga
Wasira: 😀😀😀😀😀 Nisamehe kijana, mie mtu wa Mara sijui kiswahili vizuri. Nilijua swahiba ni kama umeniita Shoga
 
Back
Top Bottom