Jina lake nani? Hatuwezi kukumbuka kila kitu. Anayekumbuka atukumbusheSikumbuki ila ni kisa cha kweli. Ndio kisa hasa cha yeye jina la Tyson lilianzia hapo.
NB: kama wewe ni mtoto wa kizazi cha Jakaya itakuwa ngumu kwako mkuu kujua hiyo story
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina lake nani? Hatuwezi kukumbuka kila kitu. Anayekumbuka atukumbusheSikumbuki ila ni kisa cha kweli. Ndio kisa hasa cha yeye jina la Tyson lilianzia hapo.
NB: kama wewe ni mtoto wa kizazi cha Jakaya itakuwa ngumu kwako mkuu kujua hiyo story
Ni jiwe au ndanda kosovo?utasikia "naachana na ndondi na kuunga mkono juhudi za mh jiwe"
Diamond CCM ilimkuta tayari keshainuka,muacheni kijana apambane kwa ajili y famiilia yake na taifa msianze kumfanya awe bias au achukiwe na watu fulani either CCM au CDM acha awe free,akiamua kujiunga iwe ni siri yake,acaheni huo ujinga wote CCM na CDMAcha hizo bwana mbona diamond anashirikiana n.a. CCM n.a. hajashuka? Mbona alikiba ni CCM n.a. anaendelea kutesa?
Mtu kushuka kwenye sanaa yake haina correlation na kuwa CCM au CHADEMA au CUF
hao kina Juma nature ni kushindwa kuyapanga maisha vema kwa kutumia fursa walizopata
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenikumbusha mbaliWa nini sasa wakati tunae Heavyweight champion of the World Stepheeen Wassiiiraaa!!.
View attachment 866015
Andika vizuri kama matured personkwa xbbu
Hz msg hata km ni mdogo wangu kaniandikia kuniomba hela simjibu mpaka arekebishe makosa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unamuogopa alivyompiga yule mwandishi wa habari miaka ilee😀😀😀😀😀
Mwandishi: Tunasikia wewe ni SWAHIBA wa Agustino Lyatonga Mrema?
Wasira: @#$%(*&^%$# p.u.mb.vu. (makofi, ngumi, mateke nk.)
Mwandishi: Vipi mzee mbona unanipiga?
Wasira: Yaani umeniona mimi ni SHOGA? una maana mimi nafanya mapenzi na Mrema kinyume cha maumbile
Mwandishi: Nisamehe mzee, Swahiba sio kwamba wewe ni shoga
Wasira: 😀😀😀😀😀 Nisamehe kijana, mie mtu wa Mara sijui kiswahili vizuri. Nilijua swahiba ni kama umeniita Shoga