britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Nimegundua uwezo wako wa ku jadili naishia hapaAlikiba kaacha mziki unasema hajashuka, una akili wewe? Utawezaje kutumia fursa na uko CCM ambako akili inaamia tumboni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimegundua uwezo wako wa ku jadili naishia hapaAlikiba kaacha mziki unasema hajashuka, una akili wewe? Utawezaje kutumia fursa na uko CCM ambako akili inaamia tumboni?
Yule aliyetambulishwa leo na Spika wa Bunge baada ya kusitishwa shughuli za Bunge ni mtu mwingine?.Acheni uzushi,bado hata hajarudi Tanzania
Hata Diamond kachujuka baada ya kushirikiana na wanasiasa uchwara.View attachment 865995
Imeelezwa kuwa karibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole amekuwa akihaha kumnasa bondia Hasan Mwakinyo ili kumkaribisha chamani pamoja
Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 usiku wa kuamkia tarehe 9/9/2018 amefanikiwa kumpiga Bondia Mwingereza Sam Eggington katika round ya pili ya pambano hilo liliofanyika katika ukumbi wa 'ARENA BIRMINGHAM'
Baada ya kurejea nchini bondia huyu alipata mwaliko bungeni. Watu wa karibu wa bondia huyu wamekuwa wakimshauri akatae kujizogeza karibu na wanasiasa wa vyama. Wengine wamekuwa wakimpa mifano ya wanasanii waliofulia baada ya kujishirikisha na CCM ikiwemo Juma Nature, Bushoke,Marlow na wengine
Ukiwa rafiki wa siasa lazima utumike kama wanavyo takaView attachment 865995
Imeelezwa kuwa karibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole amekuwa akihaha kumnasa bondia Hasan Mwakinyo ili kumkaribisha chamani pamoja
Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 usiku wa kuamkia tarehe 9/9/2018 amefanikiwa kumpiga Bondia Mwingereza Sam Eggington katika round ya pili ya pambano hilo liliofanyika katika ukumbi wa 'ARENA BIRMINGHAM'
Baada ya kurejea nchini bondia huyu alipata mwaliko bungeni. Watu wa karibu wa bondia huyu wamekuwa wakimshauri akatae kujizogeza karibu na wanasiasa wa vyama. Wengine wamekuwa wakimpa mifano ya wanasanii waliofulia baada ya kujishirikisha na CCM ikiwemo Juma Nature, Bushoke,Marlow na wengine
Hahahautasikia "naachana na ndondi na kuunga mkono juhudi za mh jiwe"
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Unamuogopa alivyompiga yule mwandishi wa habari miaka ilee😀😀😀😀😀
Mwandishi: Tunasikia wewe ni SWAHIBA wa Agustino Lyatonga Mrema?
Wasira: @#$%(*&^%$# p.u.mb.vu. (makofi, ngumi, mateke nk.)
Mwandishi: Vipi mzee mbona unanipiga?
Wasira: Yaani umeniona mimi ni SHOGA? una maana mimi nafanya mapenzi na Mrema kinyume cha maumbile
Mwandishi: Nisamehe mzee, Swahiba sio kwamba wewe ni shoga
Wasira: 😀😀😀😀😀 Nisamehe kijana, mie mtu wa Mara sijui kiswahili vizuri. Nilijua swahiba ni kama umeniita Shoga
hahahaah, baba swalehe mbona hivyo jamani hadi na mie nimecheka. Hukumbuki hilo sakata la Mzee Wasira na Mwandishi wa habari alivyompiga kwa kumuita Swahiba wa Mrema, mzee akajua swahiba maana yake ni shoga hahahahahaha[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
kwa hiyo akina gangwe mob, mabaga fresh, daz nundaz, crazy gk, d knob, jay moe, unique dadaz, mike tee, sister p, mandojo & domokaya na wengine wengi nao wamepotea kwaajili ya kuingia kwenye siasa???? tuwe tunaandika vitu tukiwa na akili huru na sio kujifunga kwenye itikadi kwenye kila kitu, Marekani kwenyewe wenye music kuna wasanii wengi tu uliokuwa unawajua miaka ya 90, 2000 - 2010 wameshapotea huwasikii tena wengine wanajitahidi kutoa nyimbo mpya lakini hazina mashiko tena so ni kawaida hali kama hiyo sehemu yoyote duniani!!!View attachment 865995
Imeelezwa kuwa karibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole amekuwa akihaha kumnasa bondia Hasan Mwakinyo ili kumkaribisha chamani pamoja
Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 usiku wa kuamkia tarehe 9/9/2018 amefanikiwa kumpiga Bondia Mwingereza Sam Eggington katika round ya pili ya pambano hilo liliofanyika katika ukumbi wa 'ARENA BIRMINGHAM'
Baada ya kurejea nchini bondia huyu alipata mwaliko bungeni. Watu wa karibu wa bondia huyu wamekuwa wakimshauri akatae kujizogeza karibu na wanasiasa wa vyama. Wengine wamekuwa wakimpa mifano ya wanasanii waliofulia baada ya kujishirikisha na CCM ikiwemo Juma Nature, Bushoke,Marlow na wengine
unajua yan ukiona mi nmecheka aisee .... Napenda sana kuchkesha ila ni mara chache mi kuchekahahahaah, baba swalehe mbona hivyo jamani hadi na mie nimecheka. Hukumbuki hilo sakata la Mzee Wasira na Mwandishi wa habari alivyompiga kwa kumuita Swahiba wa Mrema, mzee akajua swahiba maana yake ni shoga hahahahahaha
Hao akina Nature ni wazembe wa maisha,mbona kina Sugu,Prof. J, Jokate wako kwenye siasa na wamefanikiwa sanaView attachment 865995
Imeelezwa kuwa karibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole amekuwa akihaha kumnasa bondia Hasan Mwakinyo ili kumkaribisha chamani pamoja
Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 usiku wa kuamkia tarehe 9/9/2018 amefanikiwa kumpiga Bondia Mwingereza Sam Eggington katika round ya pili ya pambano hilo liliofanyika katika ukumbi wa 'ARENA BIRMINGHAM'
Baada ya kurejea nchini bondia huyu alipata mwaliko bungeni. Watu wa karibu wa bondia huyu wamekuwa wakimshauri akatae kujizogeza karibu na wanasiasa wa vyama. Wengine wamekuwa wakimpa mifano ya wanasanii waliofulia baada ya kujishirikisha na CCM ikiwemo Juma Nature, Bushoke,Marlow na wengine
Mimi ndio mbovu kabisa wa kucheka, napenda sana kucheka, yaani hata tukionana live mie huwa ninacheka sana.unajua yan ukiona mi nmecheka aisee .... Napenda sana kuchkesha ila ni mara chache mi kucheka
Unamuogopa alivyompiga yule mwandishi wa habari miaka ilee😀😀😀😀😀
Mwandishi: Tunasikia wewe ni SWAHIBA wa Agustino Lyatonga Mrema?
Wasira: @#$%(*&^%$# p.u.mb.vu. (makofi, ngumi, mateke nk.)
Mwandishi: Vipi mzee mbona unanipiga?
Wasira: Yaani umeniona mimi ni SHOGA? una maana mimi nafanya mapenzi na Mrema kinyume cha maumbile
Mwandishi: Nisamehe mzee, Swahiba sio kwamba wewe ni shoga
Wasira:😀😀😀😀😀 Nisamehe kijana, mie mtu wa Mara sijui kiswahili vizuri. Nilijua swahiba ni kama umeniita Shoga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]utasikia "naachana na ndondi na kuunga mkono juhudi za mh jiwe"
Sikumbuki ila ni kisa cha kweli. Ndio kisa hasa cha yeye jina la Tyson lilianzia hapo.Tupe jina la mwandishi please
Ungekua unaish na mm mbavu zako zngekua mbili sa hivi .... Unajua ndugu zangu wte wamentenga sabab ya kuchekesha....Mimi ndio mbovu kabisa wa kucheka, napenda sana kucheka, yaani hata tukionana live mie huwa ninacheka sana.
hata wewe ni walewale tu.kwa xbbu
Hz msg hata km ni mdogo wangu kaniandikia kuniomba hela simjibu mpaka arekebishe makosa.