Tetesi: Polepole asema CHADEMA ruksa kutumia Dodoma Convention Centre

Tetesi: Polepole asema CHADEMA ruksa kutumia Dodoma Convention Centre

Kama ni kweli,hii jambo siliungi mkono.

Mtawalipa,hela watachukua na masimango mtayapata.Hawachelewi kuwakejeli hawa watu kwa kutumia huo ukumbi na wanaweza hata kuja kuzusha msiyoyatarajia kutokana na kutumia huo ukumbi.

CHADEMA shirikianeni na hao kwa mambo mengine lakini sio hilo maana hawachelewi kuzusha maneno kama tuliwapa bei ndogo kuwasaidia,n.k
 
View attachment 513462
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa ni ruksa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kutumia ukumbi wao wa mikutano maarufu kama 'Dodoma Convention Centre'.

Kauli hiyo imetolewa na Polepole kufuatia mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe tarehe 14 Mei 2017 juu ya uwezekano wa chama hicho kutumia ukumbi huo. Polepole amemwambia Mbowe kuwa CCM haioni uzito wa kutoa kibali kwa CHADEMA kutumia ukumbi huo ikiwa watawasilisha maombi rasmi kwa Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana.

Hata hivyo, Polepole amemweleza Mbowe kuwa wataruhusiwa tu kuutumia ukumbi huo ikiwa watakubali masharti ya kutoweka alama za chama chao nje ya ukumbi huo isipokuwa sehemu ya ndani.

Tarehe 27 Mei 2017, CHADEMA watafanya Mkutano wa Kamati Kuu Mjini Dodoma na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa chama hicho Boniface Makene haijabainisha ukumbi watakaotumka. Upo uwezekano kuwa Mbowe ametekeleza masharti aliyopewa na huenda mkutano huo utafanyika ndani ya ukumbi wa CCM.

MYTAKE: Pamoja na Uadui wangu na CHADEMA, nasupport msimamo wa Polepole.

Boniface Makene ndio nani?
 
Hawa waliwahi kumtegeshea Slaa vinasa sauti akiwa bungeni Dodoma. Kwa chuki zao za kutisha watashindwa kutegesha vinasa sauti ili kuweza kujua nini kinazungumzwa na mikakati ya chama!? NGASTUKA!
Kwani ni mkutano wa ndani?
 
View attachment 513462
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa ni ruksa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kutumia ukumbi wao wa mikutano maarufu kama 'Dodoma Convention Centre'.

Kauli hiyo imetolewa na Polepole kufuatia mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe tarehe 14 Mei 2017 juu ya uwezekano wa chama hicho kutumia ukumbi huo. Polepole amemwambia Mbowe kuwa CCM haioni uzito wa kutoa kibali kwa CHADEMA kutumia ukumbi huo ikiwa watawasilisha maombi rasmi kwa Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana.

Hata hivyo, Polepole amemweleza Mbowe kuwa wataruhusiwa tu kuutumia ukumbi huo ikiwa watakubali masharti ya kutoweka alama za chama chao nje ya ukumbi huo isipokuwa sehemu ya ndani.

Tarehe 27 Mei 2017, CHADEMA watafanya Mkutano wa Kamati Kuu Mjini Dodoma na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa chama hicho Boniface Makene haijabainisha ukumbi watakaotumka. Upo uwezekano kuwa Mbowe ametekeleza masharti aliyopewa na huenda mkutano huo utafanyika ndani ya ukumbi wa CCM.

MYTAKE: Pamoja na Uadui wangu na CHADEMA, nasupport msimamo wa Polepole.
Kwenye red pametosha kuonesha kuwa bado una tatizo la elimu ,maana hakuna uadui katika siasa za nchi inayo jitanabaisha kuwa ni ya kidemokrasia isipo kuwa baadhi ya watu wenye elimu ndogo ya uraia na taaluma ndogo kichwani na wasio ijua siasa vyema ndio wanao kuwa na fikra na mawazo kama yako.

UPINZANI SIO UADUI NADHAN UKIPATA ELIMU NA UKAUNDOA HUO U KK PEKEE KICHWANI MWAKO NDIPO UTAONA KUWA KUMBE UPINZANI SIO UADUI BALI UPINZANI KUKUMBUSHA UWAJIBIKAJI KWA SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI .
 
Hapana hapana ni bora kufanyia huo mkutano kwenye uwanja wa mpira kuliko ukumbi wa ccm
 
Huo ukumbi umejengwa kwa KODI za watanzania bila kujali itikadi hivyo sioni ajabu Chadema ama chama kingine tofauti na cccm wakatumia pia
 
Huo ukumbi umejengwa kwa KODI za watanzania bila kujali itikadi hivyo sioni ajabu Chadema ama chama kingine tofauti na cccm wakatumia pia
Naunga mkono hoja
 
Ukimbi wetu hakuna kuingia Hawa jamaa!! Wanaweza kuacha humo mapepo yao ya undumilakiwili!!! Acha kabisa!!!!waendage mikocheni kwenye ofisi za Luwasa!!
 
View attachment 513462
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa ni ruksa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kutumia ukumbi wao wa mikutano maarufu kama 'Dodoma Convention Centre'.

Kauli hiyo imetolewa na Polepole kufuatia mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe tarehe 14 Mei 2017 juu ya uwezekano wa chama hicho kutumia ukumbi huo. Polepole amemwambia Mbowe kuwa CCM haioni uzito wa kutoa kibali kwa CHADEMA kutumia ukumbi huo ikiwa watawasilisha maombi rasmi kwa Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana.

Hata hivyo, Polepole amemweleza Mbowe kuwa wataruhusiwa tu kuutumia ukumbi huo ikiwa watakubali masharti ya kutoweka alama za chama chao nje ya ukumbi huo isipokuwa sehemu ya ndani.

Tarehe 27 Mei 2017, CHADEMA watafanya Mkutano wa Kamati Kuu Mjini Dodoma na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa chama hicho Boniface Makene haijabainisha ukumbi watakaotumka. Upo uwezekano kuwa Mbowe ametekeleza masharti aliyopewa na huenda mkutano huo utafanyika ndani ya ukumbi wa CCM.

MYTAKE: Pamoja na Uadui wangu na CHADEMA, nasupport msimamo wa Polepole.
Kaka Kumbe una uadui?? Sio Jambo jema hilo mkuu
 
Du! Kumbe kunasiku simba na yanga watakula msosi pamoja siku ya mechi
 
Hawa waliwahi kumtegeshea Slaa vinasa sauti akiwa bungeni Dodoma. Kwa chuki zao za kutisha watashindwa kutegesha vinasa sauti ili kuweza kujua nini kinazungumzwa na mikakati ya chama!? NGASTUKA!
Dogo acha uongo
 
Hawa waliwahi kumtegeshea Slaa vinasa sauti akiwa bungeni Dodoma. Kwa chuki zao za kutisha watashindwa kutegesha vinasa sauti ili kuweza kujua nini kinazungumzwa na mikakati ya chama!? NGASTUKA!
Mkutano sio wa siri ni waa hadhara
 
Huo ukumbi umejengwa kwa KODI za watanzania bila kujali itikadi hivyo sioni ajabu Chadema ama chama kingine tofauti na cccm wakatumia pia
Kwani Chadema hawapewi hizo kodi za wananchi.?
 
View attachment 513462
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa ni ruksa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kutumia ukumbi wao wa mikutano maarufu kama 'Dodoma Convention Centre'.
Na ndio twarudi pale pale ofisi za Chademakwanza hazina hadhi, hasa hapa Dar, hawana ukumbi wao, hawana rasilimali za kutosha, kumbuka kimeanzishwa toka 28 May 1992, ni miaka 24, kaingia LOWASSA wapi! Kaingia @sumaye wapi! Sasa Chademakwanza iwe chadema kwanza basi, wajiimarishe kuwa na rasilimali, viongozi waache kuifanya chadema kama ATM tu, tena kutokana na mlengo wake kisiasa (Conservatism) kilitakiwa kiwe cha kitajiri haswa...
 
Back
Top Bottom