Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kama ni kweli,hii jambo siliungi mkono.
Mtawalipa,hela watachukua na masimango mtayapata.Hawachelewi kuwakejeli hawa watu kwa kutumia huo ukumbi na wanaweza hata kuja kuzusha msiyoyatarajia kutokana na kutumia huo ukumbi.
CHADEMA shirikianeni na hao kwa mambo mengine lakini sio hilo maana hawachelewi kuzusha maneno kama tuliwapa bei ndogo kuwasaidia,n.k
Mtawalipa,hela watachukua na masimango mtayapata.Hawachelewi kuwakejeli hawa watu kwa kutumia huo ukumbi na wanaweza hata kuja kuzusha msiyoyatarajia kutokana na kutumia huo ukumbi.
CHADEMA shirikianeni na hao kwa mambo mengine lakini sio hilo maana hawachelewi kuzusha maneno kama tuliwapa bei ndogo kuwasaidia,n.k