Tetesi: Polepole asema CHADEMA ruksa kutumia Dodoma Convention Centre

Ukimbi wetu hakuna kuingia Hawa jamaa!! Wanaweza kuacha humo mapepo yao ya undumilakiwili!!! Acha kabisa!!!!waendage mikocheni kwenye ofisi za Luwasa!!
ukumbi wenu!!!?? na nani?? acha utoto wewe..unakuingizia dh. ngap kwa siku?
 
chet feki..wapo wengi humu
 
 
Kwakua chadema ni CCM B hakuna tatizo. Kama Senior timu haitumii uwanja , basi Junior timu ruksa kutumia.
 
Kwa nini CHADEMA hawawekezk kwenye majengo?
CCM walipewa bure pamoja na kuyatwaa kwa nguvu maeneo mengi,na pesa ya kujengea nyingi ilitoka kwenye serikali ya Mwl.Julius Nyerere.
Kwa mali za bure ambazo CCM inazo basi spidi yake ya uwekezaji kwa pesa yake ni ndogo sana,mwenge upite ndani ya chama uangaze jinsi matumbo yenu yanavyovimba wakati wajawazito wakilala "MCHONGOMA",na "MAPACHA".
 
siasi sio uadui...tatizo la wafuasi wa chadema ni kama mashabiki wa simba maana hawakawii kung'oa viti ustaarabu ni zero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…