Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ndio maana alikula ruzuku! Na takukuru wanamdaka muda wowote.Mbona ni fisadi
Hawa watu ni vigeugeu mara 70 ya Vinyonga. Dr. Bashiru ni mtu muongomuongo na asiye na misimamo thabiti
Unafki wa Polepole na liccm lao hautustui tena. Hata wakiwapeleka wakatibiwe India fresh tuChama cha Mapinduzi kimesema kuwa kinafuatilia kwa ukaribu na kuhakikisha wasanii watatu ambao ni Luludiva, Belle9 na Bonge la Nyau ambao wamepata ajali hii leo wakati wakitokea mkoani Iringa wanapata matibabu haraka.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho
Humphrey Polepole kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika.
“ Chama Cha Mapinduzi tumepokea kwa mshtuko taarifa za ajali mbaya ya gari iliyowahusisha wasanii Belle9, Luludiva na Bonge la Nyau, tunafuatilia kwa ukaribu kuhakikisha wanapata huduma ya matibabu haraka na tunamwomba Mungu awape wepesi na kupona haraka” Polepole
Polepole atangaza CCM kusimamia matibabu ya Wasanii waliopata ajali – Millardayo.com
View attachment 1561739
Huyu wa sasa akikutana na yule wa enzi za Bunge la Katiba anaweza kummiminia risasi 38 ili apotee duniani jumla😁Jamaa ni muongo mkubwa hadi waliokuwa wanafunzi wake pale UDSM wanamshangaa sana na kudai yule aliyekuwa mhadhiri na huyu wa maccm ni watu wawili tofauti kabisa na wakikutana wanaweza kuuana.
Ana stress ya kufa karibu anapoteza kazi. Awe kula kulala!Kaka mkubwa hivi vigongo vyako siku hizi duh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1536]