Polepole atangaza CCM kusimamia matibabu ya Wasanii waliopata ajali

Jamaa ni muongo mkubwa hadi waliokuwa wanafunzi wake pale UDSM wanamshangaa sana na kudai yule aliyekuwa mhadhiri na huyu wa maccm ni watu wawili tofauti kabisa na wakikutana wanaweza kuuana.

Hawa watu ni vigeugeu mara 70 ya Vinyonga. Dr. Bashiru ni mtu muongomuongo na asiye na misimamo thabiti
 
Kipindi hichi cha uchaguzi hakuna linaloshindikana
 
Resi zimekuwa nyingi+mipombe
Ajali lazima

Ova
 
Unafki wa Polepole na liccm lao hautustui tena. Hata wakiwapeleka wakatibiwe India fresh tu
 
Jamaa ni muongo mkubwa hadi waliokuwa wanafunzi wake pale UDSM wanamshangaa sana na kudai yule aliyekuwa mhadhiri na huyu wa maccm ni watu wawili tofauti kabisa na wakikutana wanaweza kuuana.
Huyu wa sasa akikutana na yule wa enzi za Bunge la Katiba anaweza kummiminia risasi 38 ili apotee duniani jumla😁
 
Reactions: BAK
Sahz CCM hata birthday yako watashiriki au kujengea makabuli watafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…