Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Mr. Slow bado tu upo timu viroboto, wenzio ni wenye nyumba🤔.Kupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole ameandika hayo huku akidai hana hata huo muda wa kufanya mdahalo na na tapeli.
"...vilevile aliifilisi Jumuiya yetu moja ndani ya CCM."Ameandika Polepole.
Unataka aunge mkono timu viroboto.Bulembo kwanini amebadilika sasa hivi? Mbona kuna wakati alikuwa anaunga mkono juhudi?
Hawa fisi wakiumana mimi nafarijika sana natamani wauane kabisaKupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole ameandika hayo huku akidai hana hata huo muda wa kufanya mdahalo na na tapeli.
"...vilevile aliifilisi Jumuiya yetu moja ndani ya CCM."Ameandika Polepole.
Hi Movie haiwezi kuisha hivi hivi......lazima kuna mtu ataumia hapa.....Ngoja niagize Heineken zangu za kutosha; na Pop corn. Nile taraaatiiibu; huku naangalia hii movie inavyokwenda.Kupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole ameandika hayo huku akidai hana hata huo muda wa kufanya mdahalo na na tapeli.
"...vilevile aliifilisi Jumuiya yetu moja ndani ya CCM."Ameandika Polepole.
Akae kimya. Ukiwa msaka tonge sana unachokwa haraka. Sio lazima uwe msemaji wa kila kituUnataka aunge mkono timu viroboto.
Tumeambiwa punda wakati wa kuchinjwa hataacha kurusha mateke., lakini karoboto ni kamdudu kadogo sanaKupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole ameandika hayo huku akidai hana hata huo muda wa kufanya mdahalo na na tapeli.
"...vilevile aliifilisi Jumuiya yetu moja ndani ya CCM."Ameandika Polepole.
Raha sana
Mpaka kundi moja liuawe libakie moja
Mkimalizana ndio mje mtutafute Chadema
Good luck motherfvckers!
Haa, Mpaka Raha Unaamua Tu Team Uitakayo Maana Mbungi Kila Siku Inaibua MapyaAisee niko Team Kiroboto