Polepole: Bulembo si tu ni mhuni bali pia ni tapeli

Polepole: Bulembo si tu ni mhuni bali pia ni tapeli

"Tuliwaheshimu Polepole na mwenzake kutoka CUF anaitwa Bashiru kwa sababu tu aliyewateuwa tulikuwa tunamheshimu, Magufuli alimteuwa Bashiru Kutoka Cuf kuja kutuhoji kuhusu mali za chama nikamgomea kunihoji nikamwambia yeye sio mwana CCM" Abdallah Bulembo.
Hapo kwenye red...kweli Bulembo ameekili yeye ni MHUNI!
Bulembo ndio alikuwa kampeni Manager wa Magufuli mwaka 2015.

Polepole ni kibaka fulani tu hana uwezo wa kudindishiana msuli na Bulembo.

Wanaokijuwa chama vizuri ni lazima uwe upande wa mwenyekiti ndio unakuwa salama na kula mema ya nchi, Kiroboto bado haamini kama Magufuli amekufa na harudi tena kamwe, akubali kuishi kama mtoto yatima kama wenzake walivyokubali wakati wa ufalme wao na mungu wao wa Chato.

Kiroboto atueleze leo sababu za Membe kufutwa uanachama ni zipi?
 
Team Wahuni wanaipata habari yao kwa speed ya 5G. kutoka kwa ndugu Mjamaa a.k.a. Ndugu Kiroboto. Mpaka sasa Kiroboto 3. Wahuni 0.
Kt
Team Wahuni wanaipata habari yao kwa speed ya 5G. kutoka kwa ndugu Mjamaa a.k.a. Ndugu Kiroboto. Mpaka sasa Kiroboto 3. Wahuni 0.
Timu viroboto 3 bila kwa kuwa wanashiba Bure Kwa kuwafyonza timu wahuni🏃.
 
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole ameandika hayo huku akidai hana hata huo muda wa kufanya mdahalo na na tapeli.

"...vilevile aliifilisi Jumuiya yetu moja ndani ya CCM."Ameandika Polepole.
Muda wa kutapika kabla hajasulubiwa
 
Bulembo ndio alikuwa kampeni Manager wa Magufuli mwaka 2015.

Polepole ni kibaka fulani tu hana uwezo wa kudindishiana msuli na Bulembo.

Wanaokijuwa chama vizuri ni lazima uwe upande wa mwenyekiti ndio unakuwa salama na kula mema ya nchi, Kiroboto bado haamini kama Magufuli amekufa na harudi tena kamwe, akubali kuishi kama mtoto yatima kama wenzake walivyokubali wakati wa ufalme wao na mungu wao wa Chato.

Kiroboto atueleze leo sababu za Membe kufutwa uanachama ni zipi?
Membe akipingana na Jiwe, lakini si tulikubaliana ukipingana na mwenyekiti unatakiwa ushughulikiwe Kama leo ambavyo tunataka polepole ashughulikiwe?
 
Polepole ni kibaka fulani tu hana uwezo wa kudindishiana msuli na Bulembo.

Wanaokijuwa chama vizuri ni lazima uwe upande wa mwenyekiti ndio unakuwa salama na kula mema ya nchi,
angalau nimeona upeo wako hapo kwenye bold......mkuu acha kuwa mtumwa wa tumbo ....Nyerere ankataka kula mema ya nchi tungekuwa wapi muda huu....?? Toa akili yako kwenye autopilot, unaweza kuacha historia kwa wajukuu zako kama mtu aliyebadirisha mtazamo kuhusu siasa za nchi yake!
 
Hivi ndg. Polepole amesahau UHUNI wake wa KUWARUBUNI wabunge wa UPINZANI?!!!

Hivi ndg. Polepole amesahau UHUNI wake WA KUWAAHIDI VYEO WAGOMBEA WA UBUNGE VITI MAALUM?!!!

Huyu ndugu yetu kweli ni LOPOLOPO.........
Sasa hapo kuna uhuni gani?wauni ni wabunge wenu waliokubali kurubuniwa,hata hivyo hizi tuhuma Sio za kweli,akuna Mtu aliyewai kujitokeza adharani kukili kuwa Polepole alikuwa akiwanunua hao wabunge.
 
Team Wahuni wanaipata habari yao kwa speed ya 5G. kutoka kwa ndugu Mjamaa a.k.a. Ndugu Kiroboto. Mpaka sasa Kiroboto 3. Wahuni 0.
Mjamaa gani ANAWAAHIDI viti maalum nafasi kupitia NJIA ZISIZOFAA?!!!!
 
Sasa hapo kuna uhuni gani?wauni ni wabunge wenu waliokubali kurubuniwa,hata hivyo hizi tuhuma Sio za kweli,akuna Mtu aliyewai kujitokeza adharani kukili kuwa Polepole alikuwa akiwanunua hao wabunge.
Mimi siko upinzani.....

Endelea kukataa ukweli kuwa HAO WABUNGE WALIRUBUNIWA.....we kataa tu......
 
Back
Top Bottom