Uchaguzi 2020 Polepole: CHADEMA walichapisha kura feki ili kuvuruga Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 Polepole: CHADEMA walichapisha kura feki ili kuvuruga Uchaguzi Mkuu

Kwa hiyo mkuu intelligensia anayotamba nayo kamanda Siro imeshindwa kubaini hilo mpaka lilipo ibuliwa na chadema? Upumbavu ukizidi wananchi mnatukera kweli kweli. Ingekuwa kughushi kumefanywa na wapinzani, hapo ndio ccm, Jeshi la police lingeshikilia bango na kucheza ngoma, maana wangepata sababu ya kuwaweka jela viongozi wa upinzani. Lakini Kwa vile kughushi kunaihusu ccm swale linaachwa chini ya zulia.
Pelekeni ushahidi polisi
 
Sema hawatashinda dola siyo CCM ambayo ilishajifia baada kikwete hakuna CCM hapo kuna vyombo vya dola ndo vinavyowatunishia misuli wapinzani badala ya CCM
Alafu wabunge na madiwani wa chadema wanaenda kuunga mkono juhudi za ccm iliyojifia??
 
Boss
Alisema Usinichanganyie Battery Na Gunzi Hiyo Torch Sitaiwasha. Naona Pole Pole Anawasha Torch Yenye Gunzi
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji2]
Kweli kabisa
 
Kwenye matukio yote polisi walikuwepo lakini hawakuchukua hatua.
 
Kwenye matukio yote polisi walikuwepo lakini hawakuchukua hatua.
Hiki Wakati Ule HakiElimu Wapo Kwenye Fire Kwa Matangazo Walileta Lile
Janjajanja Primary School
Imefaurisha Wanafunzi Wote Darasa La Saba
Kufika Secondary Wote Hawajui Kusoma Na Kuandika
😀😁😂😅😄😄😃
 
Kama upinzani uta acha kujitathmini na kuamini walishindwa kwa kuibiwa kura kamwe hawata weza kuishinda CCM. Ata leo hii uchaguzi ukirudiwa Upinzani hauwezi kupata Viti zaidi ya Vitano, upinzani ni dhaifu sana.
Wajuba fanyeni fasta Niko buguruni mie nishafika
 
slow slow anatetea tumbo lake na jamaa
Amani iwe nanyi

Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!

Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?

Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
slow slow anatetea tumbo lake na jamaa zake
 
Nimeshapewa Cheti Changu Na NEC
Usinichanganyie Battery Na Gunzi Hiyo Torch Sitaiwasha
Mwl nyerere adingeandamana Leo tusingemuita baba wa taifa!
Tupo hapa SAA mbili na dakika tano tunaanza safar wengine tutakutana nao mbele kwa mbele!
 
Amani iwe nanyi

Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!

Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?

Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
Hiyo ni Jinai kwa nini msiwakamate sasa
 
Mwl nyerere adingeandamana Leo tusingemuita baba wa taifa!
Tupo hapa SAA mbili na dakika tano tunaanza safar wengine tutakutana nao mbele kwa mbele!
Haa😁😂
42003809_1957837717612216_323658202699943141_n.jpeg
 
Nia ni kuvuruga uchaguzi na kudanganya wananchi kuwa Ccm imeiba. Ndio maana mliweka tick kwa wagombea wa Ccm.
Hahahahahahahahaahahaha
Shame on you
Hata Nyerere asingekuwa mwanachama wa CCM hii ya leo
Mumefedheheka kila mkikanusha mnazidi kujishusha
You have loss legitimacy to rule
 
Back
Top Bottom