Uchaguzi 2020 Polepole: CHADEMA walichapisha kura feki ili kuvuruga Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 Polepole: CHADEMA walichapisha kura feki ili kuvuruga Uchaguzi Mkuu

Amani iwe nanyi

Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!

Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?

Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
Na ninyi mmechukua hatua gani baada ya kujua Chadema wamefanya uhalifu huo?! Au hapa mtandaoni ndio mahakamani!
 
Mwl nyerere adingeandamana Leo tusingemuita baba wa taifa!
Tupo hapa SAA mbili na dakika tano tunaanza safar wengine tutakutana nao mbele kwa mbele!
Sasa hivi saa tatu
 
Huyu jamaa amechanganyikiwa sio bure, kama huyu na Bashiru ndio washauri wa Meko [emoji23][emoji23][emoji23]
Meko hawezi kupona
 
Polepole kama analazimisha watu watu wamchukulie hatua mikononi mwao.
 
Huyu jamaa amechanganyikiwa sio bure, kama huyu na Bashiru ndio washauri wa Meko [emoji23][emoji23][emoji23]
Meko hawezi kupona
Unamwelewaje muangushwa Konyagi na kusingizia wasiojulikana?
 
Chama chenye wanasheria wabobezi wanakamata kura feki wanachoma Moto😂😂😂 hawataki ushahidi, inaitaji akili ndogo sana kuamini maneno ya polepole
 
Amani iwe nanyi

Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!

Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?

Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?

 
Anamaanisha kuwa wapinzani walichapisha kura fake ili CCM wazitumie kuwashinda au ni kweli anamaanisha kuwa wapinzani walichapisha kura fake ili waharibu uchaguzi halafu serekali wakashindwa kuwakamata kabla hawajaharibu uchaguzi kama walivyomkamata Mbowe na wenzake kuzuia wasiandamane?.
 
Amani iwe nanyi

Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!

Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?

Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
Chama cha Mbowe na kabwe uchaguzi huu wamekuja na style ya kujipiga mitama tumewashtukia, wamejiteka, wameuana, na wametengeneza kura feki, tumewashtukia.
 
Anamaanisha kuwa wapinzani walichapisha kura fake ili CCM wazitumie kuwashinda au ni kweli anamaanisha kuwa wapinzani walichapisha kura fake ili waharibu uchaguzi halafu serekali wakashindwa kuwakamata kabla hawajaharibu uchaguzi kama walivyomkamata Mbowe na wenzake kuzuia wasiandamane?.
Walizikamata wenyewe na kuzichoma moto wenyewe
 
Amani iwe nanyi

Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!

Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?

Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
Ule ulikuwa ni mchezo tu walitaka kutucheza watanzania tukawastukia sasa hvi wako nyuma ya nondo wajinga wale.
 
Back
Top Bottom