Polepole endelea na shule yako: Msingi wa maendeleo ni fikra pia

Polepole endelea na shule yako: Msingi wa maendeleo ni fikra pia

Eric Cartman

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
11,966
Reaction score
11,218
Silaha ya mwanadamu ni fikra na katika historia ya maendeleo ni fikra mpya ndio zilizofikisha wanadamu tulipo leo katika kuelezea maendeleo yetu.

Majuzi tumepeleka ‘James Webb’ telescope zaidi ya mile million 100 na sayari yetu ilipo na scientific reasoning ya hali ya juu ilitumika ili kuweza kufanya hilo zoezi.

Miujiza yenyewe hiyo telescope ikifika destination yake kuna gravitational targets za kuiweka sawa binadamu ndio waliopiga hizo hesabu based astrophysics reasons.

Maana yake nini sisi wanadamu tuna uwezo mkubwa sana wakufikiri tukiamua.

Uhalisia kuna jamii zimetuzidi sio kwenye sayansi za mbingu, bali ata sayansi rahisi kama za siasa.

Polepole yupo right, hii nchi kuna watu wanajiona wana hati miliki (wahuni) they need to be stopped.

Kataa wahuni

Mama Samia sio muhuni; ila kazungukwa na timu ya wahuni.

Vita ya Polepole ni vita ya vijana wote wazalendo.
 
Silaha ya mwanadamu ni fikra na katika historia ya maendeleo ni fikra mpya ndio zilizofikisha wanadamu tulipo leo katika kuelezea maendeleo yetu.

Majuzi tumepeleka ‘James Webb’ telescope zaidi ya mile million 100 na sayari yetu ilipo na scientific reasoning ya hali ya juu ilitumika ili kuweza kufanya hilo zoezi.

Miujiza yenyewe hiyo telescope ikifika destination yake kuna gravitational targets za kuiweka sawa binadamu ndio waliopiga hizo hesabu based astrophysics reasons.

Maana yake nini sisi wanadamu tuna uwezo mkubwa sana wakufikiri tukiamua.

Uhalisia kuna jamii zimetuzidi sio kwenye sayansi za mbingu, bali ata sayansi rahisi kama za siasa.

Polepole yupo right, hii nchi kuna watu wanajiona wana hati miliki (wahuni) they need to be stopped.

Kataa wahuni

Mama Samia sio muhuni; ila kazungukwa na timu ya wahuni.

Vita ya Polepole ni vita ya vijana wote wazalendo.
Hata samia ni muhuni. Mtu yeyote anaekumbatia ubepari na uliberali mamboleo unaobiasharisha kila kitu katika maisha ya mwanadamu bado hatufai
 
Hata samia ni muhuni. Mtu yeyote anaekumbatia ubepari na uliberali mamboleo unaobiasharisha kila kitu katika maisha ya mwanadamu bado hatufai
Shida sio yeye kwenye kichwa chake anashauriwa sahihi. So anadhani anachofanya kinafaida kwa umma.

Kwa vijana ni kuakikisha watu wasio na uwezo hawafikii hizo nafasi tena mbeleni; na kwa kuanzia ni kuondoa watu wanaodhani it’s their birth right kutuongoza.

Kataa wahuni
 
Silaha ya mwanadamu ni fikra na katika historia ya maendeleo ni fikra mpya ndio zilizofikisha wanadamu tulipo leo katika kuelezea maendeleo yetu.

Majuzi tumepeleka ‘James Webb’ telescope zaidi ya mile million 100 na sayari yetu ilipo na scientific reasoning ya hali ya juu ilitumika ili kuweza kufanya hilo zoezi.

Miujiza yenyewe hiyo telescope ikifika destination yake kuna gravitational targets za kuiweka sawa binadamu ndio waliopiga hizo hesabu based astrophysics reasons.

Maana yake nini sisi wanadamu tuna uwezo mkubwa sana wakufikiri tukiamua.

Uhalisia kuna jamii zimetuzidi sio kwenye sayansi za mbingu, bali ata sayansi rahisi kama za siasa.

Polepole yupo right, hii nchi kuna watu wanajiona wana hati miliki (wahuni) they need to be stopped.

Kataa wahuni

Mama Samia sio muhuni; ila kazungukwa na timu ya wahuni.

Vita ya Polepole ni vita ya vijana wote wazalendo.
Huyo ni Vita yake ya kukosa ugali msituingize kwenye mapambano mliyoshindwa.

Kila mtu apigane Vita yake
 
Huyo ni Vita yake ya kukosa ugali msituingize kwenye mapambano mliyoshindwa.

Kila mtu apigane Vita yake
Usiwaze in short term gain, mpaka Polepole achukue risk zote hizo ujue yupo tayari kwa lolote.

Polepole hana shida na teuzi bali wahuni

Jiulize mbona Bagamoyo port imesimama? mkataba wa Gas umepewa muda wa majadiliano?

Jibu lako mama alipoingia aliaminishwa ivyo vitu ni personal vendettas ya Magufuli dhidi ya mtangulizi wake. Naona kapewa hesabu na negotiators kaamua atulie kama Magufuli alivyofanya.

Sasa kuna mambo mengi tu aliingizwa mkenge; ndio maana tatizo sio raisi Samia, bali wahuni.

Kataa wahuni
 
Wahuni wanashangiliwa sana na nyumbu, kwa hiyo nyumbu nao ni wahuni wale wale.
 
Usiwaze in short term gain, mpaka Polepole achukue risk zote hizo ujue yupo tayari kwa lolote.

Polepole hana shida na teuzi bali wahuni

Jiulize mbona Bagamoyo port imesimama? mkataba wa Gas umepewa muda wa majadiliano?

Jibu lako mama alipoingia aliaminishwa ivyo vitu ni personal vendettas ya Magufuli dhidi ya mtangulizi wake. Naona kapewa hesabu na negotiators kaamua atulie kama Magufuli alivyofanya.

Sasa kuna mambo mengi tu aliingizwa mkenge; ndio maana tatizo sio raisi Samia, bali wahuni.

Kataa wahuni
Aliyekuambia Bagamoyo port imesimama amejua akili yako imeishia hapo. Kuhusu LNG negotiation imeshaanza we endelea kudanganya watu not me aisee am very well informed.

Bagamoyo port TGNT inaundwa upya namaanisha (Tanzania Government Negotiation Team) ili kukaa na mwekezaji kuendelea pale walipoishia sababu Waziri wa uwekezaji ameshasema hakukuwa na mkataba wowote zaidi ya negotiable key points ambazo ziliwekwa mezani kwa majadiliano.

Sasa kawadanganye wa Namanyele huko wenzio sio mimi.
 
Naamini ataruhusiwa kuendelea kuongea atakapokidhi vigezo vya TCRA, muhimu TCRA wasijekuleta siasa mbele ya safari.
 
Aliyekuambia Bagamoyo port imesimama amejua akili yako imeishia hapo. Kuhusu LNG negotiation imeshaanza we endelea kudanganya watu not me aisee am very well informed.

Bagamoyo port TGNT inaundwa upya namaanisha (Tanzania Government Negotiation Team) ili kukaa na mwekezaji kuendelea pale walipoishia sababu Waziri wa uwekezaji ameshasema hakukuwa na mkataba wowote zaidi ya negotiable key points ambazo ziliwekwa mezani kwa majadiliano.

Sasa kawadanganye wa Namanyele huko wenzio sio mimi.
Raisi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anaitwa Samia Suluhu Hassan (hakuna mbadala elewa hilo).

Bagamoyo port facts zipo wazi kuanzia kwa Kakoko, mama walimuingiza chaka tu sasa hivi keshaelimishwa. Mradi wa Bagamoyo mafisadi awawezi faidika zaidi ya compensation ya ardhi ambayo hadi raisi Samia anaingia ni sehemu ndogo sana ya malipo iliyobaki. Mbele ni kumuelewesha raisi faida kiuchumi, wapambe wengine wanaoshadadia mradi ulipo ni njaa tuu na chuki kwa Magufuli badala ya facts.

Huko kwenye LNG siwezi ongea na wewe huo mkataba kama tumeweka watu makini auwezi kamilika in six months time kama waziri alivyosema pamoja na kupiga picha mbele ya wawekezaji akijifanya akilazimisha majadiliano yaanze. I know that he is stupid enough hata abc za oil and gas negotiations hana so he is entitled kuropoka.
 
Hoja za Pole pole ni fikra ila za Mbowe ni ugaidi,shenzi sana ninyi.
Silaha ya mwanadamu ni fikra na katika historia ya maendeleo ni fikra mpya ndio zilizofikisha wanadamu tulipo leo katika kuelezea maendeleo yetu.

Majuzi tumepeleka ‘James Webb’ telescope zaidi ya mile million 100 na sayari yetu ilipo na scientific reasoning ya hali ya juu ilitumika ili kuweza kufanya hilo zoezi.

Miujiza yenyewe hiyo telescope ikifika destination yake kuna gravitational targets za kuiweka sawa binadamu ndio waliopiga hizo hesabu based astrophysics reasons.

Maana yake nini sisi wanadamu tuna uwezo mkubwa sana wakufikiri tukiamua.

Uhalisia kuna jamii zimetuzidi sio kwenye sayansi za mbingu, bali ata sayansi rahisi kama za siasa.

Polepole yupo right, hii nchi kuna watu wanajiona wana hati miliki (wahuni) they need to be stopped.

Kataa wahuni

Mama Samia sio muhuni; ila kazungukwa na timu ya wahuni.

Vita ya Polepole ni vita ya vijana wote wazalendo.
 
Hakukataa wahuni wa awamu ya tano (yeye alikua mmoja wao). Hana credibility ya kukataa wahuni wa awamu ya sita!
 
Silaha ya mwanadamu ni fikra na katika historia ya maendeleo ni fikra mpya ndio zilizofikisha wanadamu tulipo leo katika kuelezea maendeleo yetu.

Majuzi tumepeleka ‘James Webb’ telescope zaidi ya mile million 100 na sayari yetu ilipo na scientific reasoning ya hali ya juu ilitumika ili kuweza kufanya hilo zoezi.

Miujiza yenyewe hiyo telescope ikifika destination yake kuna gravitational targets za kuiweka sawa binadamu ndio waliopiga hizo hesabu based astrophysics reasons.

Maana yake nini sisi wanadamu tuna uwezo mkubwa sana wakufikiri tukiamua.

Uhalisia kuna jamii zimetuzidi sio kwenye sayansi za mbingu, bali ata sayansi rahisi kama za siasa.

Polepole yupo right, hii nchi kuna watu wanajiona wana hati miliki (wahuni) they need to be stopped.

Kataa wahuni

Mama Samia sio muhuni; ila kazungukwa na timu ya wahuni.

Vita ya Polepole ni vita ya vijana wote wazalendo.
Mna nongwa nyie sukuma gang. Kamfufueni mzikwe nyie?
Mbona hiyo polepole haja hoji wakati makonda alivamia clouds? Au alikuwa juu ya sheria?
Mbona hamtaki mikopo aliyokopo hugo chizi wenu ikaguliwe ? Au alikuwa malaika???
Aliwaita watengeneza ndege na kujifungia nao ikulu kwa sheria gani?
Mbona hamhoji wale wahuni waliowanunua wabunge wa upinzani kwa dharau na kuwarudisha kwenye majimbo yaleyale kisha kuwapa uwazir??? Ule siyo uhuni?
Mbona hamuhoji uhuni waliofanyiwa kina lisu, Santana, mawazo na Gwanda?
Mbona hamhoji wahuni waliopora korosho za watu huko kusini bila kunalipa??
Acheni nongwa huku mkijiita wazalendo wa scarf!!!
 
Silaha ya mwanadamu ni fikra na katika historia ya maendeleo ni fikra mpya ndio zilizofikisha wanadamu tulipo leo katika kuelezea maendeleo yetu.

Majuzi tumepeleka ‘James Webb’ telescope zaidi ya mile million 100 na sayari yetu ilipo na scientific reasoning ya hali ya juu ilitumika ili kuweza kufanya hilo zoezi.

Miujiza yenyewe hiyo telescope ikifika destination yake kuna gravitational targets za kuiweka sawa binadamu ndio waliopiga hizo hesabu based astrophysics reasons.

Maana yake nini sisi wanadamu tuna uwezo mkubwa sana wakufikiri tukiamua.

Uhalisia kuna jamii zimetuzidi sio kwenye sayansi za mbingu, bali ata sayansi rahisi kama za siasa.

Polepole yupo right, hii nchi kuna watu wanajiona wana hati miliki (wahuni) they need to be stopped.

Kataa wahuni

Mama Samia sio muhuni; ila kazungukwa na timu ya wahuni.

Vita ya Polepole ni vita ya vijana wote wazalendo.
Aendelee tena aone cha mtema kuni,au ndiyo maana anaishi na KY Jelly ili watakapomrukia asiumizwe sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Raisi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anaitwa Samia Suluhu Hassan (hakuna mbadala elewa hilo).

Bagamoyo port facts zipo wazi kuanzia kwa Kakoko, mama walimuingiza chaka tu sasa hivi keshaelimishwa. Mradi wa Bagamoyo mafisadi awawezi faidika zaidi ya compensation ya ardhi ambayo hadi raisi Samia anaingia ni sehemu ndogo sana ya malipo iliyobaki. Mbele ni kumuelewesha raisi faida kiuchumi, wapambe wengine wanaoshadadia mradi ulipo ni njaa tuu na chuki kwa Magufuli badala ya facts.

Huko kwenye LNG siwezi ongea na wewe huo mkataba kama tumeweka watu makini auwezi kamilika in six months time kama waziri alivyosema pamoja na kupiga picha mbele ya wawekezaji akijifanya akilazimisha majadiliano yaanze. I know that he is stupid enough hata abc za oil and gas negotiations hana so he is entitled kuropoka.
Mwingira umbua na hili.
 
Back
Top Bottom