#COVID19 Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

#COVID19 Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

Yaani kweli imefikia hata mr. Polepole nae anamkejeli Raisi wa nchi kuhusu Corona? Raisi wa nchi fukuza polepole anakuaibisha wewe na nchi kwa ujumla

Mkuu yaani rais wa nchi hizo lugha dhidi vya wapinzani zimkere mpaka amfukuze kazi Polepole? Hizo ndio lugha anazotaka kusikia zikitamkwa dhidi ya wapinzani, na sio hizo lugha tu, hata wakiuwawa kwake ni poa tu.
 
Beatrice Kamugisha, Hiyo kuitana ndugu labda anaisisitiza yeye tu, kila mmoja anataka aitwe mheshimiwa. Mambo ya ndugu ysliisha na Nyerere.
Wanawaka ndani ya vyema cha siasa kutumika kingono ili wapate madaraka, hakuna wa kuzidi ccm kwa mchezo huu.
Wabunge wa upinzani walioacha nafasi zao na kisha kugombea tena kupitia ccm ndio walionunuliwa, sio Paulina ambaye wala hajulikani ni nani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana wanaacha wagonjwa wa corona wanaingia nchini kwa jina la watalii
 
Sote ni mashahidi hapa nyuzi za kutaka huo ugonjwa uje zilikuwa hazikauki, naamini wapinzani watakuwa na amani kwa sasa kwakua umeshafika.
Kuwekwa lupango,kupigwa risasi hadharani,kutekwa na kuuwawa imekuwa sehemu ya maisha ya wapinzani!
Mimi Corona ingekuwa inapiga miCCM tu,basi ningesema ije kwa kasi sana!
 
Back
Top Bottom