#COVID19 Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

Hivi Polepole huwa anayaongea haya akiwa na akili timamu?Mbona statement kama za muhanga wa kilauri?
Unawezaje kusema watalii wakizuliwa nchi hii itakwama,Sisi siyo nchi ya viwanda tangu lini?Zamani tulikuwa nchi ya siasa ni kilimo,tukawa ya rukhsa,ikaja ukweli na uwazi,tukawa na ari mpya,nguvu mpya,kasi mpya na sasa hivi tulikuwa ya viwanda,Mara ghafla tumekuwa marafiki wa CoVid- 2019 ya mabeberu/watalii?Mnahamisha goli kila Mara na hamtaki kuulizwa.
Tume Huru kwa tafsiri ya Polepole ina vigezo gani na checks & balance yake ni chombo gani?Je, wapinzani ni Wananchi wa wapi?Wakisema wasiokuwa wanaCCM kuwa tunakosea mnawalinganisha na magonjwa,hiyo tafsiri yake siyo matusi/kashfa?
Kama mbunge alitakiwa kutoa rushwa ngono huko CHADEMA,aliwahi kwenda dawati LA jinsia ili sheria ichukue mkondo wake?Analinda wahalifu kwa kuhamia CCM?
Acheni kupotosha Wananchi.
 
Wakati wenzetu wanaanza kuugua corona wala hatukujishughulisha na kitu. Si tiba wala kinga...yaani tupo tupo tu.

Leo tumeanza pata corona..wala hatuwezi hata piga mikwara wageni wasiingie.mbaya zaidi hata hatuwazi kutafuta kinga wala tiba.tunakaa kusikiliza marekani na china wanafanya nini.

Tunapeana tu namna mpya za kusex....yaani swali linakuja sasa tuta sex vipi na corona. Yaani akili zetu ni za hovyo kiasi kwamba tunapozungumzia corona tunaihusisha na sex. Yaani tunaona kujikinga ni kutobusiana tu...tuna akili za kinyani mpaka leo.

Najuta kwanini sikusomea udaktari maana angalau ngetafuta wenzangu tuji organize tupambane na hii corona.siyo mijitu inawaza ngono tu all the time na kusubiri matamko from usa na china.
 
Afadhali ya Liquid kuliko chakubanga na Bashite
Sionagi tofauti kati yake na Pierre Liquid..
Nawachanganya hakika..

Everyday is Saturday..................... 😎

In God we Trust
 
Safari hata wangeruhusu ingekuwa ni kupoteza muda wa kufanya maendeleo.Hamna cha maana mgetueleza. Mfano kama vituo vya afya mia tatu na kitu vimejengwa ndani ya miaka minne mtatueleza nini? Hata kama hatuna chama.
Hakika ujinga ni mtaji mkubwa wa CCM, vituo kujengwa kisha hakuna waganga wala dawa kunatofauti gani na kuwa na maghala ya chakula na kuna njaa!
Acheni upumbavu wa kudanganyika na mambo ya propaganda kisha mnawapotosha hasa wale wenye elimu ndogo, nchi hii ni yao pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena mkuu ubarikiwe sana
In God we Trust
 
Kwanini unajumuisha Afrika nzima wakati kuna nchi za Afrika zilisitisha siku nyingi safari za nchi zilizoathiriwa?
 
Wewe wakati huo si ulikuwa kizingani ukapara samaki? Habari za siasa waachie wanao ijua siasa
Achana na habari za ukawa ambao walileta hii idadi. Mimi nataka urudi nyuma enzi zile Cdm ni Cdm kweli chinini ya Dk.

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…