#COVID19 Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

#COVID19 Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

Wakati wenzetu wanaanza kuugua corona wala hatukujishughulisha na kitu. Si tiba wala kinga...yaani tupo tupo tu.

Leo tumeanza pata corona..wala hatuwezi hata piga mikwara wageni wasiingie.mbaya zaidi hata hatuwazi kutafuta kinga wala tiba.tunakaa kusikiliza marekani na china wanafanya nini.

Tunapeana tu namna mpya za kusex....yaani swali linakuja sasa tuta sex vipi na corona. Yaani akili zetu ni za hovyo kiasi kwamba tunapozungumzia corona tukihusisha sex. Yaani tunaona kujikinga ni kutobusiana tu...tuna akili za kinyani mpaka leo.

Najuta kwanini sikusome udaktari maana angalau ngetafuta wenzangu tuji organize tupambane na hii corona.siyo mijitu inawaza ngono tu all the time na kusubiri matamko from usa na china.
Wewe kama mimi mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli umesema vyema; Miafrika ndivyo tulivyo. Kwako weye busu ndo sex!!! Maajab mapya haya. Yaani unaona kuwa kama ungelikuwa dakitari basi cha kwanza kufanya ni kuwatafuta wenzako wenye mawazo ka yako muwa castrate wanaume ili sex ikome?? Kweli una mawazo makuuubwa sijawahi kuona.
 
Wakati wenzetu wanaanza kuugua corona wala hatukujishughulisha na kitu. Si tiba wala kinga...yaani tupo tupo tu.

Leo tumeanza pata corona..wala hatuwezi hata piga mikwara wageni wasiingie.mbaya zaidi hata hatuwazi kutafuta kinga wala tiba.tunakaa kusikiliza marekani na china wanafanya nini.

Tunapeana tu namna mpya za kusex....yaani swali linakuja sasa tuta sex vipi na corona. Yaani akili zetu ni za hovyo kiasi kwamba tunapozungumzia corona tukihusisha sex. Yaani tunaona kujikinga ni kutobusiana tu...tuna akili za kinyani mpaka leo.

Najuta kwanini sikusome udaktari maana angalau ngetafuta wenzangu tuji organize tupambane na hii corona.siyo mijitu inawaza ngono tu all the time na kusubiri matamko from usa na china.
.
 
Wakati wenzetu wanaanza kuugua corona wala hatukujishughulisha na kitu. Si tiba wala kinga...yaani tupo tupo tu.

Leo tumeanza pata corona..wala hatuwezi hata piga mikwara wageni wasiingie.mbaya zaidi hata hatuwazi kutafuta kinga wala tiba.tunakaa kusikiliza marekani na china wanafanya nini.

Tunapeana tu namna mpya za kusex....yaani swali linakuja sasa tuta sex vipi na corona. Yaani akili zetu ni za hovyo kiasi kwamba tunapozungumzia corona tukihusisha sex. Yaani tunaona kujikinga ni kutobusiana tu...tuna akili za kinyani mpaka leo.

Najuta kwanini sikusome udaktari maana angalau ngetafuta wenzangu tuji organize tupambane na hii corona.siyo mijitu inawaza ngono tu all the time na kusubiri matamko from usa na china.
Kuna jamaa yangu amekwama Senegal maana uwanja wa ndege wa Dakar umefungwa
 
Akihojiwa clouds Humphrey polepole amesema wapinzani Ni sawa Corona.

Kauli hii ya kiongozi kijana inaweza tafsiriwa Kama kauli ya kiongozi aliyepoteza dira na ambaye kwake maisha ya watu wasio ccm si kitu bali binadamu sahihi ni mwanaccm.

Niwaomba viongoz wa chama tawala kuchukua hatua kwake na pia vyombo vya dola kumshughulikia kwani kumwacha aendelee na tabia hii kutasababisha wapinzani nao kutumia kauli Kama hizi kujibu mapigo na hivyo kusababisha mgawanyiko kwenye taifa.

Tukumbuke ishu ya MENDE kwa wenzetu...

**********
Amesema ukizuia Watalii kuingia Nchini kwa mwezi mmoja kutokana na #coronavirus italeta shida kiuchumi, hivyo ni kuomba Mungu ugonjwa huu uondoke. #COVID19 ni sawa na wapinzani Nchini

Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi wa CCM, amesema "Tuna vituo Nchi nzima ambavyo vimetengwa kwa ajili ya kuwahudumia waathirika wa ugonjwa wa virusi vya hivyo."

Kuhusu CCM kununua Wapinzani amesema "Si kweli kuwa CCM inatoa fedha kununua Wanachama wa upinzani bali inabidi wapinzani watazame jinsi wanavyoharibikiwa wenyewe ndani kwa ndani"

"Kuna mwanachama wa Mbowe anaitwa Paulina, aliondoka kwenye Chama kwasababu alikuwa anatakiwa kimahusiano na viongozi wake hivyo akaamua kuhama ili kuokoa ndoa yake lakini alivyohama wapinzani wakatafuta kisingizo kuwa amenunuliwa"

Ameongeza, "Chama cha Freeman Mbowe wanaiitana Bwana au Kamanda wao sio ndugu. Katika chama chetu huwa natumia sana neno ndugu na siyo Mheshimiwa kwa kwasababu sisi si kitu bila ya watu waliotupa dhamana"

Aidha, amesema "Hii tume ya Uchaguzi ni huru kabisa kama si huru mbona Halima Mdee na Joseph Mbilinyi walishinda? Mtu pekee anayeweza kuzungumzia kuhusu tume ya Uchaguzi ni Umma na siyo Vyama Vya Siasa."

"Tume ya utumishi wa umma ndiyo inachakata majina 5 ya Mwenyekiti wa tume ya Taifa ya uchaguzi na kumpelekea Rais ili ateue jina moja"

"Freeman Mbowe anataka tufanye maridhiano lakini sisi na wao hatufikirii pamoja kwenye kile wanachohitaji wananchi hadi sasa"

"Tangu nimekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM sijawahi kufanya mkutano wa hadhara.
Sisi kama CCM huwa hatufanyi mikutano ya hadhara kwenye majimbo yasiyoongozwa na wanachama wetu, mfano Mbeya ni Jimbo la Joseph Mbilinyi yeye huwa anafanya mikutano lakini akifanya anazungumzia jela kubaya"

"Godbless Lema hajawahi kutembelea miradi ya kimaendeleo Arusha Mjini na akifanya mikutano ya hadhara hazungumzii vitu hivyo bali yeye anazungumza kuhusu Jela tu. Kila tunachokifanya wanasema ni kibaya na sisi hatukatai kushauriwa kwasababu siyo maroboti lakini tangu tumeanza kupewa ushauri hatujawahi kupewa ushauri wa maana."
Yaani tumefika huku? Unapo mfananisha mtu na janga ambalo dunia nzima ina hangaika kutafuta njia ya kuliangamiza ni sawa nakutangaza vita. Je kiongozi wa aina hii anapataje uhalali wa kubaki katika nafasi yake?
 
Muda mfupi baada ya mwana FA kutangaza kukutwa na COVID 19, lakini muda na nyakati zikiwa hazipo sahihi yani ulienda SA lini na kurudi bongo lini.

Polepole ambaye ni aina ile ile ya FA, anatoka kuaminisha watu kwamba watu kutoka mataifa mbalimbali wataendelea kuingia TZ no matter CORONA kwa sababu it's nothing to black race. Tuna muda mrefu sana kwa akili hizi za kipuuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na habari za ukawa ambao walileta hii idadi. Mimi nataka urudi nyuma enzi zile Cdm ni Cdm kweli chinini ya Dk.
Ndio nakwambia,idadi ya wabunge wa CDM pekee baada ya uchaguzi 2015 imeongezeka kuliko wakati wowote ule katika historia ya CDM!
 
Wakati mwinginenhawa Viongoxi was CCM wanatunga sana uonga nankujadaa wananchi kwa kuwachafua wasio na na doamlolote... Inakuwaje Huyo Paulina asishtaki huyo aliyekuwa anamtaka kimapenzi mahakamani kama sio upumbavu wa Polepole anaudhihirishia UMA na kumchafua huyo Gekulu?. Na pole pole ni mahakama ama DPP? Wanakalia umbea tu na kuhadaa UMA na anajisahau kuwa madaraka aliyo nayo yatapotea. Ubongo was Poleole umejaa ujinga na upumbavu ambao hautakaa umtoke hata akiwa wapi.
 
Ndio nakwambia,idadi ya wabunge wa CDM pekee baada ya uchaguzi 2015 imeongezeka kuliko wakati wowote ule katika historia ya CDM!
Sawa lakini hakuna tija.Ongezeko la wakati wa Dk slaa lilikuwa na tija chama kilikuwa chama kweli.Wananchi walihisi ukombozi umefika.Kosa ni pale Ex Dj alipovuta mpunga na kubadili gea angani.
 
Unajifanya hujamuelewa mleta mada?! Ni nchi gani ya Afrika ambayo inafanya utafiti wa chanjo ya Covid-19?
Kutokujua kama kuna nchi ya Afrika inafanya utafiti kutatupatia jibu hakuna nchi inayofanya?


Wewe unafanya?....mbona wazungu binafsi/makampuni binafsi yanafanya....
 
Mtoto anapodhani mali za babake ni zake siku atakapogundua katika wosia hajahusishwa hugeuka kama kirusi cha corona kinamshambulia yoyote: one day polepole atajigundua Anayofanya sasa ni upotovu ktk maisha yake:


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yeye a nafikiri watalii wanakuja tuu kama marobota ya mitumba. Lazima ajue utalii ni leisure na hakuna mtu atakaeenda kutembea sehemu ambazo ni hatari kwa maisha yake
Vile vile ajue tangu January booking kwa tour operators zimesimama kanisa na cancelation karibia nusu yote ya next season
International flights zote zita sufer vya kutosha
Na hata hii shida ikiisha watalii wengi itabidi wajipange zaidi kifedha
Hili swala na corona naona hapa wataalam wetu wa afya wamejificha wamewaachia wanasiasa uchwara kupatia kiki kwenye majukwaa
 
Sawa lakini hakuna tija.Ongezeko la wakati wa Dk slaa lilikuwa na tija chama kilikuwa chama kweli.Wananchi walihisi ukombozi umefika.Kosa ni pale Ex Dj alipovuta mpunga na kubadili gea angani.
Tunaongelea hapa chama kukua,nikakuuliza ili chama kikue tunatakiwa kuangalia viashiria vipi?Ukanitajia na nikatumia hivyo hivyo viashiria kukuonesha kuwa CDM sasa imekua zaidi ya kipindi cha Dr Slaa!Nakuongeza na vigezo vingine ukiachana na idadi ya wabunge!
Wanachama sasa wameongezeka kuliko wakati wa Slaa!Lakini pia ruzuku ya chama imeongezeka kutokana na idadi ya kura milion 6 mwaka 2015 na wabunge lukuki!
Hizo ulizoleta hapo juu ni blah blah,hoja hujibiwa kwa hoja na sio mipasho!
 
Back
Top Bottom