Endelea kumteteaWetu? Pamoja na kuwa sio wetu hawezi kutumia lugha kama uliyotumia.
Usiongelee ruzuku utaibua mengi...ila kubali tu wananchin hawana imani na nyie tena.Tunaongelea hapa chama kukua,nikakuuliza ili chama kikue tunatakiwa kuangalia viashiria vipi?Ukanitajia na nikatumia hivyo hivyo viashiria kukuonesha kuwa CDM sasa imekua zaidi ya kipindi cha Dr Slaa!Nakuongeza na vigezo vingine ukiachana na idadi ya wabunge!
Wanachama sasa wameongezeka kuliko wakati wa Slaa!Lakini pia ruzuku ya chama imeongezeka kutokana na idadi ya kura milion 6 mwaka 2015 na wabunge lukuki!
Hizo ulizoleta hapo juu ni blah blah,hoja hujibiwa kwa hoja na sio mipasho!
Hapo ndipo nilipo na tatizo na wewe!Umetumia kipimo gani kufikia hilo hitimisho?Nami naweza nikasema wananchi hawana imani na JPM tena!Usiongelee ruzuku utaibua mengi...ila kubali tu wananchin hawana imani na nyie tena.
Mwenyekiti wa Chadema taifa (mb) alizomewa na wananchi wa hai. Na mahudhurio kiduchu kama karanga za kuonjeshwa.Hapo ndipo nilipo na tatizo na wewe!Umetumia kipimo gani kufikia hilo hitimisho?Nami naweza nikasema wananchi hawana imani na JPM tena!
Unazungumzia wale walevi makada wa UVCCM waliotumwa na Sabaya?Huo upuuzi wenzako hawautumii tena maana umebuma!Mwenyekiti wa Chadema taifa (mb) alizomewa na wananchi wa hai. Na mahudhurio kiduchu kama karanga za kuonjeshwa.
Akihojiwa clouds Humphrey polepole amesema wapinzani Ni sawa Corona.
Kauli hii ya kiongozi kijana inaweza tafsiriwa Kama kauli ya kiongozi aliyepoteza dira na ambaye kwake maisha ya watu wasio ccm si kitu bali binadamu sahihi ni mwanaccm.
Niwaomba viongoz wa chama tawala kuchukua hatua kwake na pia vyombo vya dola kumshughulikia kwani kumwacha aendelee na tabia hii kutasababisha wapinzani nao kutumia kauli Kama hizi kujibu mapigo na hivyo kusababisha mgawanyiko kwenye taifa.
Tukumbuke ishu ya MENDE kwa wenzetu...
**********
Amesema ukizuia Watalii kuingia Nchini kwa mwezi mmoja kutokana na #coronavirus italeta shida kiuchumi, hivyo ni kuomba Mungu ugonjwa huu uondoke. #COVID19 ni sawa na wapinzani Nchini
Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi wa CCM, amesema "Tuna vituo Nchi nzima ambavyo vimetengwa kwa ajili ya kuwahudumia waathirika wa ugonjwa wa virusi vya hivyo."
Kuhusu CCM kununua Wapinzani amesema "Si kweli kuwa CCM inatoa fedha kununua Wanachama wa upinzani bali inabidi wapinzani watazame jinsi wanavyoharibikiwa wenyewe ndani kwa ndani"
"Kuna mwanachama wa Mbowe anaitwa Paulina, aliondoka kwenye Chama kwasababu alikuwa anatakiwa kimahusiano na viongozi wake hivyo akaamua kuhama ili kuokoa ndoa yake lakini alivyohama wapinzani wakatafuta kisingizo kuwa amenunuliwa"
Ameongeza, "Chama cha Freeman Mbowe wanaiitana Bwana au Kamanda wao sio ndugu. Katika chama chetu huwa natumia sana neno ndugu na siyo Mheshimiwa kwa kwasababu sisi si kitu bila ya watu waliotupa dhamana"
Aidha, amesema "Hii tume ya Uchaguzi ni huru kabisa kama si huru mbona Halima Mdee na Joseph Mbilinyi walishinda? Mtu pekee anayeweza kuzungumzia kuhusu tume ya Uchaguzi ni Umma na siyo Vyama Vya Siasa."
"Tume ya utumishi wa umma ndiyo inachakata majina 5 ya Mwenyekiti wa tume ya Taifa ya uchaguzi na kumpelekea Rais ili ateue jina moja"
"Freeman Mbowe anataka tufanye maridhiano lakini sisi na wao hatufikirii pamoja kwenye kile wanachohitaji wananchi hadi sasa"
"Tangu nimekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM sijawahi kufanya mkutano wa hadhara.
Sisi kama CCM huwa hatufanyi mikutano ya hadhara kwenye majimbo yasiyoongozwa na wanachama wetu, mfano Mbeya ni Jimbo la Joseph Mbilinyi yeye huwa anafanya mikutano lakini akifanya anazungumzia jela kubaya"
"Godbless Lema hajawahi kutembelea miradi ya kimaendeleo Arusha Mjini na akifanya mikutano ya hadhara hazungumzii vitu hivyo bali yeye anazungumza kuhusu Jela tu. Kila tunachokifanya wanasema ni kibaya na sisi hatukatai kushauriwa kwasababu siyo maroboti lakini tangu tumeanza kupewa ushauri hatujawahi kupewa ushauri wa maana."
Ukisikia mtu kazungumza pumba ndio kama hizi!!!! Unalinganisha kifo na pesa!!!! Labda sababu anajua yeye atakuwa mbali na hao watalii kwa hiyo poa tu!!! Hao watakao wahudumia hao watalii wakikamata ugonjwa na kufa potelea kwao!!!! Kwetu bei ya Maisha (Uhai) ni rahisi sana. Ingekuwa nchi ambazo raia wana nguvu juu ya seriklia yao huyu bwana alikuwa ajiuzuru haraka sana. Nchi kama Italia inategemea sana utalii lakini imefunga kila kitu au leo sisi ndio tunaijua pesa kuliko wazungu!!!!!??? Inasikitisha sana…...Akihojiwa clouds Humphrey polepole amesema wapinzani Ni sawa Corona.
Kauli hii ya kiongozi kijana inaweza tafsiriwa Kama kauli ya kiongozi aliyepoteza dira na ambaye kwake maisha ya watu wasio ccm si kitu bali binadamu sahihi ni mwanaccm.
Niwaomba viongoz wa chama tawala kuchukua hatua kwake na pia vyombo vya dola kumshughulikia kwani kumwacha aendelee na tabia hii kutasababisha wapinzani nao kutumia kauli Kama hizi kujibu mapigo na hivyo kusababisha mgawanyiko kwenye taifa.
Tukumbuke ishu ya MENDE kwa wenzetu...
**********
Amesema ukizuia Watalii kuingia Nchini kwa mwezi mmoja kutokana na #coronavirus italeta shida kiuchumi, hivyo ni kuomba Mungu ugonjwa huu uondoke. #COVID19 ni sawa na wapinzani Nchini
Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi wa CCM, amesema "Tuna vituo Nchi nzima ambavyo vimetengwa kwa ajili ya kuwahudumia waathirika wa ugonjwa wa virusi vya hivyo."
Kuhusu CCM kununua Wapinzani amesema "Si kweli kuwa CCM inatoa fedha kununua Wanachama wa upinzani bali inabidi wapinzani watazame jinsi wanavyoharibikiwa wenyewe ndani kwa ndani"
"Kuna mwanachama wa Mbowe anaitwa Paulina, aliondoka kwenye Chama kwasababu alikuwa anatakiwa kimahusiano na viongozi wake hivyo akaamua kuhama ili kuokoa ndoa yake lakini alivyohama wapinzani wakatafuta kisingizo kuwa amenunuliwa"
Ameongeza, "Chama cha Freeman Mbowe wanaiitana Bwana au Kamanda wao sio ndugu. Katika chama chetu huwa natumia sana neno ndugu na siyo Mheshimiwa kwa kwasababu sisi si kitu bila ya watu waliotupa dhamana"
Aidha, amesema "Hii tume ya Uchaguzi ni huru kabisa kama si huru mbona Halima Mdee na Joseph Mbilinyi walishinda? Mtu pekee anayeweza kuzungumzia kuhusu tume ya Uchaguzi ni Umma na siyo Vyama Vya Siasa."
"Tume ya utumishi wa umma ndiyo inachakata majina 5 ya Mwenyekiti wa tume ya Taifa ya uchaguzi na kumpelekea Rais ili ateue jina moja"
"Freeman Mbowe anataka tufanye maridhiano lakini sisi na wao hatufikirii pamoja kwenye kile wanachohitaji wananchi hadi sasa"
"Tangu nimekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM sijawahi kufanya mkutano wa hadhara.
Sisi kama CCM huwa hatufanyi mikutano ya hadhara kwenye majimbo yasiyoongozwa na wanachama wetu, mfano Mbeya ni Jimbo la Joseph Mbilinyi yeye huwa anafanya mikutano lakini akifanya anazungumzia jela kubaya"
"Godbless Lema hajawahi kutembelea miradi ya kimaendeleo Arusha Mjini na akifanya mikutano ya hadhara hazungumzii vitu hivyo bali yeye anazungumza kuhusu Jela tu. Kila tunachokifanya wanasema ni kibaya na sisi hatukatai kushauriwa kwasababu siyo maroboti lakini tangu tumeanza kupewa ushauri hatujawahi kupewa ushauri wa maana."
Hamkosi kisingizio,jamaa wanaweka wazi miaka ishirini treni ilikuwa haijakanyaga moshi JPM kawezesha barabara mbovu mbunge anakula bata mjini.Unazungumzia wale walevi makada wa UVCCM waliotumwa na Sabaya?Huo upuuzi wenzako hawautumii tena maana umebuma!
Ni hao hao CCM,au kuna chama kingine kilishika dola?Kj
Hamkosi kisingizio,jamaa wanaekeza wazi miaka ishirini treni ilikuwa haijakanyaga moshi.Mabarabara mabovu mbunge anakula bata mjini.
Wamechoka utapeli,wanaon CCM inatekeleza.Jamaa alipata aibu sana.Ni hao hao CCM,au kuna chama kingine kilishika dola?