#COVID19 Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

#COVID19 Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

Wapinzani nyie ni zaidi ya Corona na si mlitaka Corona nyie?


Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni Mshenxx huna akili na taahira mkubwa...huna tofauti na Polepole wako...!!
Corona imeanzia WUHAN Jimbo la Hubei nchini CHAINA kwa uharo wenu na Polepole mnataka kusema CHADEMA ndo walipeleka Corona -V nchini China?

Kama nyie ni Chama Dole sijui Twawala MMESHINDWAJE KUIZUIA CORONA ISIINGIE TANZANIA?
Dawa ni kuwapeleka Mahakamani for defamation ili mshike adabu..!!!
Pambaf zenyu!
 
Yupo sawa polepole! Hatukufunga mipaka wakati wa ebora, wakati wa mafua ya ndege, wakati wa kipindupindu! Sembuse corona!!
Uko sawa mkuu.
 
Akihojiwa clouds Humphrey polepole amesema wapinzani Ni sawa Corona.

Kauli hii ya kiongozi kijana inaweza tafsiriwa Kama kauli ya kiongozi aliyepoteza dira na ambaye kwake maisha ya watu wasio ccm si kitu bali binadamu sahihi ni mwanaccm. Niwaomba viongoz wa chama tawala kuchukua hatua kwake na pia vyombo vya dola kumshughulikia kwani kumwacha aendelee na tabia hii kutasababisha wapinzani nao kutumia kauli Kama hizi kujibu mapigo na hivyo kusababisha mgawanyiko kwenye taifa.

Tukumbuke ishu ya MENDE kwa wenzetu...

Chama dola

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom