TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Umenikumbusha Nape na wenzie Mwigulu na Makamba Jr. walivyokuwa wanajiona Alfa na Omega kipindi cha Kikwete.Mh.sana Polepole kumbuka kuna Maisha baada ya Awamu hii kumbuka Pia Mdomo uliponza kichwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app