Akigusia suala la virusi vya corona Kupitia kipindi cha SEBULENI cha Couds Plus, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema:
"Ukizuia watalii kuingia Nchini kwa mwezi mmoja italeta shida kiuchumi, kwahiyo tunaomba Mungu ugonjwa huu uondoke, Corona ni sawa na wapinzani Nchini"
"Wabunge kwa sasa wataanza kuchukuliwa vipimo kabla ya kuingia bungeni na kama wakikutwa na chembechembe za virusi vya Corona basi watachukuliwa hatua za awali kuepusha mlipuko huu"
"Tuna vituo Nchi nzima ambavyo vimetengwa kwa ajili ya kuwahudumia waathirika wa ugonjwa wa virusi vya Corona"
Pia soma >
Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona