Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Anaandaliwa kuwa mgombea hapo chukua chako mapema, kwa vigezo vyao naona anafiti🤔.Kama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Anafiti kwenye ule ukoo wa panya vizuri kabisa.Labda Chadema ya ukoo wenu.
Nani kasema Chadema itashiriki uchaguzi bila tume huru!Kama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki...
Wanapima upepo /kima cha maji kwa miguu yote🤔.Nani kasema Chadema itashiriki uchaguzi bila tume huru!!!
Chadema wakimpokea haki nitacheka. Huyu popoma kigeugeuKama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Ebu waombe radhi watanzania kwa kuwadharauKama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Wewe kweli falaKama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Kwahiyo unakataa unafiki kama huo hauwezi kutokea au, hoja Nini hasa?Wewe kweli fala
Mawazo ni kitu muhimu sanaKama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Sasa ndugu Polepole akitumiwa na CCM kwenda kugombea uraisi huko Chadema na Chadema wakimpitisha kama alivyopitishwa Lowasa, nani unadhani atahitajika kulaumiwa? Maana hapa ni kama vile unakimbilia kuwalaumu waliomtuma (japo hakuna uhakika) na kuacha kuwalaumu waliompokea.Kama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Zitto KabweNani kasema Chadema itashiriki uchaguzi bila tume huru!!!