Umeona tweet ya nape leo kuhusuSasa ndugu Polepole akitumiwa na CCM kwenda kugombea uraisi huko Chadema na Chadema wakimpitisha kama alivyopitishwa Lowasa nani unadhani atahitajika kubeba lawama? Maana hapa ni kama vile unakimbilia kuwalaumu waliomtuma (japo hakuna uhakika) na kuacha kuwalaumu waliompokea.
Una maana lissu na Msigwa walipotangaza kugombea urais walikiuka maazimio ya chama? Au umesahau kuwa kuna watu wameshatangaza nia tayari!Nani kasema Chadema itashiriki uchaguzi bila tume huru!!!
Kama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Ya ni kweli mkuu CCM wanachukua watu kutoka Chadema na kuwapa nafasi za juu kabisa ndan ya chama, na hata kuwapa nafasi za juu kabisa za kitaifa kama vile kugombea uraisi, ubunge, udiwani nk.Chadema hatuna shida na maganda. Nyie ndio mlinunua watu kutoka Chadema na mkawapa vyeo maana mnajua wanajua baada ya kupikwa na kupikika kwenye kipiko kipikaji.
Kama ni hivo basi ChaDMa itakua ndala za chooniKama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Hata agombee kwa chama cha Biden au Trump ataambukia kura za Membe.Kama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Labda Chadema ya mkeoKama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Tundu alisema chadema wako tayari kushirikiana hata na shetani kuitoa Ccm madarakani.Chadema wakimpokea haki nitacheka. Huyu popoma kigeugeu
Off course hauwezi kutokea. Hata kupokea tu kama mwana chama wa kawaida nayo hsitatokea. Alichokifanya chini ya Godfather wake..... Ni tatizo tosha. Hana mtaji...... Kama anavyodai kwenye Chuo chake cha Uongozi.Kwahiyo unakataa unafiki kama huo hauwezi kutokea au, hoja Nini hasa?
Mmeanza tena na chokochoko zenu,, sasa hivi hachukuliwi mtu kutoka huko CCM,, bora agombee hata Sugu atapewa kuraKama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Nahisi Wewe ni KICHAA kwani VICHAA ndio wenye Mawazo hayoKama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Dogo! kuna uchaguzi bila katiba mpya?Kama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Ujinga na upumbavu uishie huko huko kwa waliokutuma.Kama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025
Anaandaliwa kuwa Baba yako wa kufikia.Kama kawaida muda unakwenda kasi sana imekua kama muujiza Humphrey Polepole kuanza kuparuana makucha na MICCM mienzake chanzo halisi kikiwa hakieleweki
Naiona harufu ya CCM kumtumia huyu bwana kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2025