Tetesi: Polepole Kuitisha Kikao kuwajadili Nape na Bashe, ni baada ya Kinana kugoma

Tetesi: Polepole Kuitisha Kikao kuwajadili Nape na Bashe, ni baada ya Kinana kugoma

Status
Not open for further replies.
Kama lipo la kurekebisha nitarekebisha nikiwa ndani ya CHAMA.
NB.CCM MALIPO NI HAPA HAPA KAMA MLIVYOCHOCHEA KUVURUGIKA KWA CUF.NA NYIE MTAVURUGIKA.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo miaka yote yapo,awam ya 4 Filikunjombe alikuwa against CCM,so kwa Bashe kwangu si shida,huyo nape ni KUPOKWA UWAZIRI NA BASHITE KUBAK NDO KUNAMUUMIZA

May Allah bless Me and You
 
Machadema[emoji2] [emoji2] [emoji2]...

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo miaka yote yapo,awam ya 4 Filikunjombe alikuwa against CCM,so kwa Bashe kwangu si shida,huyo nape ni KUPOKWA UWAZIRI NA BASHITE KUBAK NDO KUNAMUUMIZA

May Allah bless Me and You

uko sahihi mkuu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Confirmed from Lumumba ni kwamba kuna kikao kinapangwa kuitishwa na Polepole ( Baada ya kinana kugoma kuitisha na kusimamia kikao hiki) pamoja na mambo mengine kikiwa na ajenda ya kuwajadili Nappe na Bashe.

Kwa nini wanajadiliwa?
imebainika kuwa wabunge hawa wamekuwa wakionyesha dhahiri kupingana na miiko ya chama chetu hasa kwa misimamo yao ndani na nje ya bunge.

Nappe anajadiliwa hasa kwa mwenendo wake ambao kwa Siku za hivi karibuni tokea alipotenguliwa uwaziri, amekuwa akitwiti au kuposti instagramu na kwenye mitandao mingine ya kijamii vitu vyenye utata na hasa akinonyesha dhahiri kupingana na Sera za chama. misimamo yake bungeni pia.

kwa upenda Wa Bashe sitaweza kuelezea sana kwani mtakumbuka kuwa, Bashe ni miongoni mwa wabunge waliowekwa mahali salama kipindi cha mkutano Mkuu Wa chama uliolenga kupindua katiba ya chama na kumpa mamlaka mtukufu kugombea bila kupingwa

lakini pia kinachomponza ni misimamo yake ya ndani na nje ya bunge.

Angalizo
Nikiwa miongoni mwa vijana Wa chama cha mapinduzi nalaani kwa nguvu zote mikakati yote inayofanywa yenye lengo LA kuibuka na adhabu kwa wabunge hawa
Usijitie mwanaccm wakati hata hujui kanuni na taratibu za kushughulikiana kimaadili sasa Pole Pole na maswala ya maadili wapi na wapi?? Propaganda nyingine bhana embu kakojoe ulale

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Magufuli amependezwa sana na misimamo ya Bashe, na katika vikao anamasifu sana kwa ukweli na namna anavyo jenga hoja.

Kinana ndie aliyetuletea ajenda ya kuwa na wabunge wa ccm wenye uwezo wakuikosoa serekali bungeni, ili kuziba fursa kwa upizani.

Huu ni tactics mpya za chama tawala. Hakuna kitu cha vikao kuwarekebisha wabunge na kuwaweka kikaangaoni.

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Confirmed from Lumumba ni kwamba kuna kikao kinapangwa kuitishwa na Polepole ( Baada ya kinana kugoma kuitisha na kusimamia kikao hiki) pamoja na mambo mengine kikiwa na ajenda ya kuwajadili Nappe na Bashe.

Kwa nini wanajadiliwa?
imebainika kuwa wabunge hawa wamekuwa wakionyesha dhahiri kupingana na miiko ya chama chetu hasa kwa misimamo yao ndani na nje ya bunge.

Nappe anajadiliwa hasa kwa mwenendo wake ambao kwa Siku za hivi karibuni tokea alipotenguliwa uwaziri, amekuwa akitwiti au kuposti instagramu na kwenye mitandao mingine ya kijamii vitu vyenye utata na hasa akinonyesha dhahiri kupingana na Sera za chama. misimamo yake bungeni pia.

kwa upenda Wa Bashe sitaweza kuelezea sana kwani mtakumbuka kuwa, Bashe ni miongoni mwa wabunge waliowekwa mahali salama kipindi cha mkutano Mkuu Wa chama uliolenga kupindua katiba ya chama na kumpa mamlaka mtukufu kugombea bila kupingwa

lakini pia kinachomponza ni misimamo yake ya ndani na nje ya bunge.

Angalizo
Nikiwa miongoni mwa vijana Wa chama cha mapinduzi nalaani kwa nguvu zote mikakati yote inayofanywa yenye lengo LA kuibuka na adhabu kwa wabunge hawa


Pole Pole nae anataka kumuonyesha mjomba Magu kuwa anafanyakazi!!....
Hapo sasa anaharibu kabisaaaa........
 
Ha ha haaaaaaaa

Huyo yupo kwenye chama chao anajifichia nyuma ya ID feki.
Na wewe haupo kwenye chama chenu. Mbona na wewe umo kwenye chama chenu na unajificha nyuma ya "Nick Name"? Pia kumbuka kwamba JF hakuna "Fake ID" kwani majina yote uyaonayo JF ndiyo yenyewe. Ukiona mtu anaitwa "Zombie" kwenye ulimwengu wa JF ndiyo jina halisi na la kwake la mitaani huku JF ndiyo feki.
 
Pole Pole nae anataka kumuonyesha mjomba Magu kuwa anafanyakazi!!....
Hapo sasa anaharibu kabisaaaa........
Polepole kwa sasa kamebadili jina kanaitwa speedspeed kamekuwa kashambenga sana kana kihele hele hakuna mfano
 
Nyumbu ni CCM vikao huitishwa kijinga jinga sana hata vya kuwavua wanachama ni vikao vya kijinga kwani kwenda kujadiliwa ukuda mtupu ni ujinga hata kule Dodoma kikwete alikwenda na majina mfukoni akamkata Lowasa kienyeji tu, huko CCM kwa sasa chama kinaendeshwa kwa zidumu Fikra za Mwenyekiti wa CCM , zidumu na fikra za Bashite mshauri mkuu wa Mtukufu malaika toka chato.

umeongea ukweli mtupu
 
Chama kimepatwa na dikteta uchwara.
Mpaka kinajiendea kama gari bovu. Wale wanaopendwa na Uchwara wanajisikia wana madaraka makubwa na kumbe sio yao. Slowslow anajisikia ndiye Katibu mkuu na Bashite anajiona huku serikalini ndiye PM. Yaani ni shida kabisa! Chama kimekuwa kama jumuia ya wale jamaa wa Gamboshi!
 
Hawa wote chama wanachokitaka hakina waumiza hawa wawili zaidi ni kukizamisha chama. Mimi sio ajabu kwani wale watu wenye ushawishi hawatakiwi ili wasimpe mfalma wasiwasi. Kwani February yuko wapi au ndo kufichwa ili asisikike kuliko mfalme ambayo ndo malengo ya mfalme na wanaomzunguka kwa kuwa na asili ya uoga. Mwenye udhubutu hatakiwi kwani ataleta ushindani ndani ya chama kwa ujumla chama kama chama tunakazi ya ziada kwa nini wanachama mwenzangu hawalioni hili linalofanyika ndani kwa linaondolea wanachama udhubutu. Anayebisha hili sawa kama ni uongo muda utasema wenyewe

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Walikuwepo akina MwanaDiwani TandaleOne HAMY-D aah wako wapiii
Wakati ni ukuta... muda ni hakimu wa yote.

Ipo siku utakua ktk wakati walio nao akina Nape na Lowassa leo.... hata Magufuli pia muda wake utafika.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kuna hawa Pohamba, Elungata leo wao na magufuli ni paka na panya.
Sijui kwenye ule mgao wa wakuu wa wilaya, Ma DED hawakupata ulaji?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom