Tetesi: Polepole Kuitisha Kikao kuwajadili Nape na Bashe, ni baada ya Kinana kugoma

Tetesi: Polepole Kuitisha Kikao kuwajadili Nape na Bashe, ni baada ya Kinana kugoma

Status
Not open for further replies.
''Nyumbu'' katika ubora wake!

Nani alikudanganya kuwa vikao vya CCM vinaitishwa kijinga jinga?

Suala unaloliona wewe kama ni tatizo kubwa kutokana na upeo wako, kwa CCM ni suala la kawaida. Nadhani hukujifunza hata kwenye suala la Lowassa na hatima yake ndani ya CCM.

Hujui kama wabunge wana caucas zao bungeni zinazowasimamia katika ajenda za kambi zao?

Suala la Nape na Bashe kama wabunge liko chini ya caucas ya wabunge wa CCM.

Uzuri ni kuwa huu uongo wako utakubalika sana kwa watu wenye fikra finyu!
Hakuna lazaidi kuchangia tena
umemaliza
 
Uchochezi uko wa aina nyingi

Sent from my SM-T531 using JamiiForums mobile app
 
Hata mm CCM ila hakuna sbb ya msingi ya kuwajadili au kuwaadhibu..
 
Confirmed from Lumumba ni kwamba kuna kikao kinapangwa kuitishwa na Polepole ( Baada ya kinana kugoma kuitisha na kusimamia kikao hiki) pamoja na mambo mengine kikiwa na ajenda ya kuwajadili Nappe na Bashe.

Kwa nini wanajadiliwa?
imebainika kuwa wabunge hawa wamekuwa wakionyesha dhahiri kupingana na miiko ya chama chetu hasa kwa misimamo yao ndani na nje ya bunge.

Nappe anajadiliwa hasa kwa mwenendo wake ambao kwa Siku za hivi karibuni tokea alipotenguliwa uwaziri, amekuwa akitwiti au kuposti instagramu na kwenye mitandao mingine ya kijamii vitu vyenye utata na hasa akinonyesha dhahiri kupingana na Sera za chama. misimamo yake bungeni pia.

kwa upenda Wa Bashe sitaweza kuelezea sana kwani mtakumbuka kuwa, Bashe ni miongoni mwa wabunge waliowekwa mahali salama kipindi cha mkutano Mkuu Wa chama uliolenga kupindua katiba ya chama na kumpa mamlaka mtukufu kugombea bila kupingwa

lakini pia kinachomponza ni misimamo yake ya ndani na nje ya bunge.

Angalizo
Nikiwa miongoni mwa vijana Wa chama cha mapinduzi nalaani kwa nguvu zote mikakati yote inayofanywa yenye lengo LA kuibuka na adhabu kwa wabunge hawa
Nilijua mnamjadiri ngereja

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
CCM wanavumiliana sana ingekuwa hao wapo CHADEMA wangeshasahaulika, wawaulize akina ZITTO, KAFULILA, pindi walipotofautiana na Chama kimitizamo, nini kilitokea
 
''Nyumbu'' katika ubora wake!

Nani alikudanganya kuwa vikao vya CCM vinaitishwa kijinga jinga?

Suala unaloliona wewe kama ni tatizo kubwa kutokana na upeo wako, kwa CCM ni suala la kawaida. Nadhani hukujifunza hata kwenye suala la Lowassa na hatima yake ndani ya CCM.

Hujui kama wabunge wana caucas zao bungeni zinazowasimamia katika ajenda za kambi zao?

Suala la Nape na Bashe kama wabunge liko chini ya caucas ya wabunge wa CCM.

Uzuri ni kuwa huu uongo wako utakubalika sana kwa watu wenye fikra finyu!
Umeonaaaaee
 
Na wewe haupo kwenye chama chenu. Mbona na wewe umo kwenye chama chenu na unajificha nyuma ya "Nick Name"? Pia kumbuka kwamba JF hakuna "Fake ID" kwani majina yote uyaonayo JF ndiyo yenyewe. Ukiona mtu anaitwa "Zombie" kwenye ulimwengu wa JF ndiyo jina halisi na la kwake la mitaani huku JF ndiyo feki.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ukweli utadhihiri

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Confirmed from Lumumba ni kwamba kuna kikao kinapangwa kuitishwa na Polepole ( Baada ya kinana kugoma kuitisha na kusimamia kikao hiki) pamoja na mambo mengine kikiwa na ajenda ya kuwajadili Nappe na Bashe.

Kwa nini wanajadiliwa?
imebainika kuwa wabunge hawa wamekuwa wakionyesha dhahiri kupingana na miiko ya chama chetu hasa kwa misimamo yao ndani na nje ya bunge.

Nappe anajadiliwa hasa kwa mwenendo wake ambao kwa Siku za hivi karibuni tokea alipotenguliwa uwaziri, amekuwa akitwiti au kuposti instagramu na kwenye mitandao mingine ya kijamii vitu vyenye utata na hasa akinonyesha dhahiri kupingana na Sera za chama. misimamo yake bungeni pia.

kwa upenda Wa Bashe sitaweza kuelezea sana kwani mtakumbuka kuwa, Bashe ni miongoni mwa wabunge waliowekwa mahali salama kipindi cha mkutano Mkuu Wa chama uliolenga kupindua katiba ya chama na kumpa mamlaka mtukufu kugombea bila kupingwa

lakini pia kinachomponza ni misimamo yake ya ndani na nje ya bunge.

Angalizo
Nikiwa miongoni mwa vijana Wa chama cha mapinduzi nalaani kwa nguvu zote mikakati yote inayofanywa yenye lengo LA kuibuka na adhabu kwa wabunge hawa
Nadhani chama kingewadharau tu,sidhani kama watakiathiri chama kwa hali yeyote.Ingekuwa busara kwa chama kuboresha utendaji wake ili kiweze ku-adress issues ambazo zinakuwa raised na wabunge hawa.Kuanza kupambana nao kwa njia yeyote hailipi.Chama lazima kijue kwamba wapo watu within the party ambao wana sympathize nao.Kama chama kikiwachukulia hatua hawa wabunge, kijue kwamba kwa njia moja au nyingine kinatengeneza makundi ndani ya chama,and this is not healthy for the party.
 
Jamaa anajua kutunga uongo, Nyumbu bwanaaa;

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom