Polepole mlivuruga uchaguzi ili kutokomoa wapinzani, sasa unaona yanayoendelea? CCM wenzako wamepanda kichwani wananchi

Polepole mlivuruga uchaguzi ili kutokomoa wapinzani, sasa unaona yanayoendelea? CCM wenzako wamepanda kichwani wananchi

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Mlipotaka muwe na Bunge la WanaCCM kwa asilimia tisini na nane hamkujua umuhimu wa wabunge wa upinzani?

Hili bunge lingekuwa hata na wabunge wa upinzani 40% hii dharau ya WanaCCM kulifanya bunge kibogoyo isingekuwepo.

Mliharibu uchaguzi na kumbe mlikuwa mnaharibu maisha ya Watanzania.

Inabidi utubu dhambi na ikiwezekana uombe wabunge wote wa CCM wajiuzulu uchaguzi urudiwe.

image_search_1642736622670.jpg
 
Eeeh wahenga walisema majuto mjukuu, usitukane mamba....,usitukane wakunga, mwenzako akinyolewa...na methali za kutosha,
Polepole WEMBE NI ULE ULE, waliotumia kuwanyooea wenzao ndiyo huo unatumika kuwanyoa na wao.

System Ile Ile waliyoitumia Kwa wenzao ndiyo system Ile Ile inatumika kwao ndiyo watajua hawajui!

Cheo ni dhamana!
 
Majuto mjukuu!! Karma is a bitch!!! Walijua kukenua meno kwa mateso ya wapinzani, wakifikiri wanawakomoa,,

Pale Mungu anapokupa kibali cha kufanya mabadiliko badala ya kuondoa mateso ya watu wewe ndo unawatisha mzigo mzito zaidi, na kuwaumiza,

Acha Mungu awaumbue tu hamna namna nyingine!!

Kama hata na wewe team kiroboto yamekufika shingoni, lazima madiliko yanakuja!!
 
Back
Top Bottom