Polepole: Nimeshahojiwa na Kamati ya Maadili ya Chama, hiki ni kikao cha ndani hivyo taarifa rasmi zitatolewa na chama

Njaa ni shidaa! Lazima aweke akiba ya maneno
 
Inshallah wangeli- KUKOLIMBA huko huko utoke ukiwa sandukuni maana ulitesa wengi wakati wa Jiwe, hukuwa na huruna wala utu. nimemaliza. Erythrocyte
 
Wale wote waliohojiwa au kusimamishwa uanachama au kupewa adhabu kipindi cha JPM wakati HP akiwa katibu wa itikadi na uenezi ndio wanatumia wakati huu kulipiza kisasi kwa kuwadhalilisha. Rejea kauli ya mzee YMakamba juzi kwa chama hakiwezi kuwavumilia......yajao yatajiri muda sio mrefu.
 
Walichomfanyia kinana, nape na january kimemgeukia, maisha mzunguko.
 
Kumbe ni Kamati ya maadili ya Wabunge wa CCM. Anayewapa amri hawa ni nani?
 
Naona kama vile yupo kwenye V Eighty.
 
Katika siku alizonipa mwenyezi Mungu, ndani ya takriban miaka 10 hii nimeshuhudia movie nyingi na tamu sana ... hakika kuishi ni kuona mengi... wasambaa wana usemi wao " kwe kifua kwaa uya na mnghongo" yaani kifuani kunaweza geuka kuwa mgongo ... nimethibitisha ...
 
Mhamiaji Haramu anachongewa Mkeka wa Benchi!
 
Mnakumbuja Siku Polepole na Bashiru wamewaita Kinana,Membe na Makamba?

Dunia inaenda kasi sana,miezi minne nyuma polepole alikuwa anahoji wenzake na kuwaonya kwa kejeli leo ni zamu yake kulipa hapahapa Duniani.
 
Ulidhani Madaraka Hayana Mwisho, Basi Kinywee Kilekile ulichokuwa unawanyweshea Wenzako. Cheo ni Dhamana..
Mnaishi kwa visasi sana....Nyie mambo ya CCM yanawahusu nini?
 
Hakaa kazee kijana kapo very arrogant..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…