Njaa ni shidaa! Lazima aweke akiba ya manenoHuu ndio ujinga mwengine wa kuacha watu midomo wazi.
Eti wataongelea wahusika, hataki kuongea upande wake na maoni yake kuhusu alichohojiwa. Kukitokea upotoshaji wa upande wa pili atakufa na tai shingoni ile kutetea uanachama wake sio? Yako maradhi kwenye hili taifa sijui yataponywa na mwarubaini gani?
Inshallah wangeli- KUKOLIMBA huko huko utoke ukiwa sandukuni maana ulitesa wengi wakati wa Jiwe, hukuwa na huruna wala utu. nimemaliza. ErythrocyteMbunge wa viti maalumu mh Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.
Pole pole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.
Chanzo: Ayo tv
Jumaa kareem!
Wale wote waliohojiwa au kusimamishwa uanachama au kupewa adhabu kipindi cha JPM wakati HP akiwa katibu wa itikadi na uenezi ndio wanatumia wakati huu kulipiza kisasi kwa kuwadhalilisha. Rejea kauli ya mzee YMakamba juzi kwa chama hakiwezi kuwavumilia......yajao yatajiri muda sio mrefu.Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.
Polepole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.
Chanzo: Ayo tv
Jumaa kareem!
Naona kama vile yupo kwenye V Eighty.Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.
Polepole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.
Chanzo: Ayo tv
Jumaa kareem!
Shutup young boy.Halafu unajiita kamanda
upinzani kazi Bado sana
Yusuf Makamba inawezekana maana ana uchungu sana kwa mwanae kipenzi kuchafuka kwenye anga za siasa wakati alitegemea mabega yapande kimamlakaKumbe ni Kamati ya maadili ya Wabunge wa CCM. Anayewapa amri hawa ni nani?
Big problemShutup young boy.
Mnaishi kwa visasi sana....Nyie mambo ya CCM yanawahusu nini?Ulidhani Madaraka Hayana Mwisho, Basi Kinywee Kilekile ulichokuwa unawanyweshea Wenzako. Cheo ni Dhamana..
Young boy why can't you shut up.Big problem
you can’t even study member wa humu ni kina nani
chadomo will
Never have impact if watu wao ni imbecile kama wewe
Hakaa kazee kijana kapo very arrogant..Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.
Polepole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.
Chanzo: Ayo tv
Jumaa kareem!
Here we go againYoung boy why can't you shut up.