Polepole: Nimeshahojiwa na Kamati ya Maadili ya Chama, hiki ni kikao cha ndani hivyo taarifa rasmi zitatolewa na chama

Polepole: Nimeshahojiwa na Kamati ya Maadili ya Chama, hiki ni kikao cha ndani hivyo taarifa rasmi zitatolewa na chama

Huu ndio ujinga mwengine wa kuacha watu midomo wazi.

Eti wataongelea wahusika, hataki kuongea upande wake na maoni yake kuhusu alichohojiwa. Kukitokea upotoshaji wa upande wa pili atakufa na tai shingoni ile kutetea uanachama wake sio? Yako maradhi kwenye hili taifa sijui yataponywa na mwarubaini gani?
Njaa ni shidaa! Lazima aweke akiba ya maneno
 
Mbunge wa viti maalumu mh Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.

Pole pole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.


Chanzo: Ayo tv

Jumaa kareem!
Inshallah wangeli- KUKOLIMBA huko huko utoke ukiwa sandukuni maana ulitesa wengi wakati wa Jiwe, hukuwa na huruna wala utu. nimemaliza. Erythrocyte
 
Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.

Polepole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.


Chanzo: Ayo tv

Jumaa kareem!
Wale wote waliohojiwa au kusimamishwa uanachama au kupewa adhabu kipindi cha JPM wakati HP akiwa katibu wa itikadi na uenezi ndio wanatumia wakati huu kulipiza kisasi kwa kuwadhalilisha. Rejea kauli ya mzee YMakamba juzi kwa chama hakiwezi kuwavumilia......yajao yatajiri muda sio mrefu.
 
Walichomfanyia kinana, nape na january kimemgeukia, maisha mzunguko.
 
Kumbe ni Kamati ya maadili ya Wabunge wa CCM. Anayewapa amri hawa ni nani?
 
Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.

Polepole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.


Chanzo: Ayo tv

Jumaa kareem!
Naona kama vile yupo kwenye V Eighty.
 
Katika siku alizonipa mwenyezi Mungu, ndani ya takriban miaka 10 hii nimeshuhudia movie nyingi na tamu sana ... hakika kuishi ni kuona mengi... wasambaa wana usemi wao " kwe kifua kwaa uya na mnghongo" yaani kifuani kunaweza geuka kuwa mgongo ... nimethibitisha ...
 
Mnakumbuja Siku Polepole na Bashiru wamewaita Kinana,Membe na Makamba?

Dunia inaenda kasi sana,miezi minne nyuma polepole alikuwa anahoji wenzake na kuwaonya kwa kejeli leo ni zamu yake kulipa hapahapa Duniani.
 
Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.

Polepole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.


Chanzo: Ayo tv

Jumaa kareem!
Hakaa kazee kijana kapo very arrogant..
 
Back
Top Bottom