johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #121
Wamatengo!Waanze na yeye mwenyewe. Hawa watu wenye surname ya majina ya kutunga kama yake huwezi waamini. Eti Polepole. Polepole ni Jina la ukoo gani, au kabla gani?
Huna akili wewe mwana Ccm.Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Mbona unaaanza kuogopa? Haimhusu Ponda japokuwa alihamia Kigoma toka Burundi.Shekhe Ponda ni Mtanzania kama ilivyo Diamondi Platinamz
Serikali inawafahamu watanzania usihofu kakaShekhe Ponda ni Mtanzania kama ilivyo Diamondi Platinamz
Na hapo bado ma fisiemu yameacha kupumulia pua saiz yana pumulia mi,kundru nyani waleKomredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee umeshapanic!Huna akili wewe mwana Ccm.
Mnatuonea sana.Bwashee umeshapanic!
LissuKomredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Ponda ni Mrundi wa ChibitokeMnatuonea sana.View attachment 1603810
Kamanda acha sheria za nchi zifuate mkondo."Watu wakikosa sera, wanahamia kwenye mambo ya kijinga km uraia, ukabila, udini, ukanda, nk ili kupata legitimacy huko" - Nyerere.
Endelea kumharibia m.kiti tu,wewe shauri yako,miongoni mwa Mambo yanayowarudisha nyuma ni pamoja na kushindwa kutenda haki kupitia eneo Hilo la kuhoji uraia wawale mnaofikiri ni hatari kwa maslahi yenu.Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Wewe ni raia bwashee?Endelea kumharibia m.kiti tu,wewe shauri yako,miongoni mwa Mambo yanayowarudisha nyuma ni pamoja na kushindwa kutenda haki kupitia eneo Hilo la kuhoji uraia wawale mnaofikiri ni hatari kwa maslahi yenu.
Siku ya mwisho kila goti litapigwaKomredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Bashe ng'wenoyo nshomaliSerikali inawafahamu watanzania usihofu kaka
Bwashee Lissu alishaukana uraia wa Tanzania kwa sasa yeye ni Mbelgiji Dunia nzima inajua ngoja Uchaguzi tumtie kabaliNa Ndugai ni raia wa India? Maana na yeye alikaa Apollo Zaidi ya miezi 3 kwa gharama ya ujenzi wa hospitali ya Wilaya.!
Lissu risasi mmempiga nyie, kaenda nje ya nchi kwa matibabu tena kwa hela za wenye HERI, wala hakuwa na mpango hata wa kwenda Zambia kabla hajapigwa risasi, mtu kaenda kutibiwa mmemgeuza uràia.
Mwamzoni nilikuwa namsema vibaya Polepole kwa maneno yake mabovu yasiyo na mantiki, lakini kwa jinsi anavyoungwa mkono na CCM wenzake anapoongea utumbo kama huu, naanza kuamini Polepole anawakilisha akili za wanaCCM wote ndivyo zilivyo.
Kwani Polepole ametaja mtu?Na Ndugai ni raia wa India? Maana na yeye alikaa Apollo Zaidi ya miezi 3 kwa gharama ya ujenzi wa hospitali ya Wilaya.!
Lissu risasi mmempiga nyie, kaenda nje ya nchi kwa matibabu tena kwa hela za wenye HERI, wala hakuwa na mpango hata wa kwenda Zambia kabla hajapigwa risasi, mtu kaenda kutibiwa mmemgeuza uràia.
Mwamzoni nilikuwa namsema vibaya Polepole kwa maneno yake mabovu yasiyo na mantiki, lakini kwa jinsi anavyoungwa mkono na CCM wenzake anapoongea utumbo kama huu, naanza kuamini Polepole anawakilisha akili za wanaCCM wote ndivyo zilivyo.
Adam na hawa kwa mujibu wa biblia takatifu.Unajua asili ya Freeman Aikael Kambona?