Polepole: Uhamiaji fuatilieni uraia, kuna baadhi ya watu si wenzetu!

Polepole: Uhamiaji fuatilieni uraia, kuna baadhi ya watu si wenzetu!

Kubadili chama sio dhambi, nchi ni katiba bora na sio chama, chama chochote chaweza kuongoza nchi kinapoaminiwa na wengi.
Kuongozwa na chama kimoja mda mrefu udumaza maendeleo, thus miaka 60 hakuna maendeleo, bora hata wangemuachia mkoloni atuongoze tungekuwa mbali Sana sawa na latin america.
 
Mbona unaonyesha woga sana mkuu,

Acha watu wafanye kazi yao.

Isijekuwa tu Lisu kaficha the fact kwamba amebadili Uraia.

Ikibainika habari take inaishia hapo.

Anarudi kwao Belgium.
Wewe nani anza na bosi wako
 
Uhamiaji ni jeshi muhimu sana kwa usalama wa nchi yetu lkn huwa anashindwa kuelewa hivi kweli anafanya kazi zao kwa ufanisi.....maana kila siku wahamiaji haramu wanakamatwa wakiwa tayari wameingia nchini,......mfano mwengine fuatilia ktk miji mikuu kama Dar utakutana na wahamiaji kibao wanaishi na hawakamatwi
 
Duuh we jamaa mgumu Sana kuelewa,

Details hizo unazotaka nikupe hapa ,Makakala anazo kamcheki pale uhamiaji.

Nimekupa majibu ya jumla ila naona unataka nije na idadi ya kesi na matokeo yake. Hizo wanazo uhamiaji mkuu.
Achana nae huyo Ponda keshawachanganya wanapoteana wenyewe kwa wenyewe hawajielewi, kosa la mwaka watakalo fanya ni kumkamata kipindi hiki cha uchaguzi, tena eti kwa kesi ya uhamiaji ...

Mwaka huu wahanga wa risasi mtawabeba kwa mbeleko ya gazeti Mungu amewakutanisha risasi mlizowapiga sasa zinaongea kwa nguvu moja ya kukataa udhalimu !!!

#NI YEYE + PONDA = CCM KWISHAAAA
 
Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.

Chanzo: Eatv

My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini

Maendeleo hayana vyama!
Waanze na katibu mkuu wa CCM kisha mwenyekiti wa CCM kwanza
 
Achana nae huyo Ponda keshawachanganya wanapoteana wenyewe kwa wenyewe hawajielewi, kosa la mwaka watakalo fanya ni kumkamata kipindi hiki cha uchaguzi, tena eti kwa kesi ya uhamiaji ...

Mwaka huu wahanga wa risasi mtawabeba kwa mbeleko ya gazeti Mungu amewakutanisha risasi mlizowapiga sasa zinaongea kwa nguvu moja ya kukataa udhalimu !!!

#NI YEYE + PONDA = CCM KWISHAAAA
wewe akili huna ccm wameshashinda kabla hata ya uchaguzi...hata watanzania wote wapigie chadema ..hujui nchi inaendeshwa vipi
j
 
wewe akili huna ccm wameshashinda kabla hata ya uchaguzi...hata watanzania wote wapigie chadema ..hujui nchi inaendeshwa vipi
j
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
 
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
unajua watu wanapoteza muda...cuf walishinda mara 2 zaznibar....ilipigiwa simu mwinyi wakakutana na waru wa usalama wakamaliza
 
Back
Top Bottom