Hatimae Answar Suna wote wamejiapiza kumpigia kura Jemadari Tundu LissuSerikali inawafahamu watanzania usihofu kaka
Kamanda wa anga lini mtapeleka fiesta kusini mda unayoyoma Ina maana kusini amtaki kura za koroshoKamanda acha sheria za nchi zifuate mkondo.
Hayo maswali waulize Ccm.Jiwe na bashiru Kama mfano vyeti vyenu muhimu Sana
Kamanda wa anga lini mtapeleka fiesta kusini mda unayoyoma Ina maana kusini amtaki kura za korosho
Wewe nani anza na bosi wakoMbona unaonyesha woga sana mkuu,
Acha watu wafanye kazi yao.
Isijekuwa tu Lisu kaficha the fact kwamba amebadili Uraia.
Ikibainika habari take inaishia hapo.
Anarudi kwao Belgium.
We bia yetu toka lini ukawakana Wana lumumba fcHayo maswali waulize Ccm.
Kwa hiyo mtaanza kufatilia baada ya kuambiwa na polepole aiseeKuwa mvumilivu utapata majibu yote muda ukifika, tusianze kujadili jambo kabla hatujafika hapo kwanza.
Mmeanza kutahamaki, sheria za Tanzania zipo wazi.
Na mimi nimejiuliza miaka yote hiyo wafuatilie uraia mwezi wa uchaguzi?Kwanini leo?
Achana nae huyo Ponda keshawachanganya wanapoteana wenyewe kwa wenyewe hawajielewi, kosa la mwaka watakalo fanya ni kumkamata kipindi hiki cha uchaguzi, tena eti kwa kesi ya uhamiaji ...Duuh we jamaa mgumu Sana kuelewa,
Details hizo unazotaka nikupe hapa ,Makakala anazo kamcheki pale uhamiaji.
Nimekupa majibu ya jumla ila naona unataka nije na idadi ya kesi na matokeo yake. Hizo wanazo uhamiaji mkuu.
unaota wewe mchana unafikilia chadema watashinda? CUF walishinda mara tatu zanzibar...........tume yote ccm ...ngoja uwoneCCM wamebananishwa kwenye kona ya kitanda hadi wanaomba msaada uhamiaji.
Waanze na katibu mkuu wa CCM kisha mwenyekiti wa CCM kwanzaKomredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
wewe akili huna ccm wameshashinda kabla hata ya uchaguzi...hata watanzania wote wapigie chadema ..hujui nchi inaendeshwa vipiAchana nae huyo Ponda keshawachanganya wanapoteana wenyewe kwa wenyewe hawajielewi, kosa la mwaka watakalo fanya ni kumkamata kipindi hiki cha uchaguzi, tena eti kwa kesi ya uhamiaji ...
Mwaka huu wahanga wa risasi mtawabeba kwa mbeleko ya gazeti Mungu amewakutanisha risasi mlizowapiga sasa zinaongea kwa nguvu moja ya kukataa udhalimu !!!
#NI YEYE + PONDA = CCM KWISHAAAA
Tume yote wameandaliwa majarada ICC endapo wataiba kura ikapelekea kuleta machafuko kama yale ya Zanzibar mwaka 1995unaota wewe mchana unafikilia chadema watashinda? CUF walishinda mara tatu zanzibar...........tume yote ccm ...ngoja uwone
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sanawewe akili huna ccm wameshashinda kabla hata ya uchaguzi...hata watanzania wote wapigie chadema ..hujui nchi inaendeshwa vipi
j
Pia katibu mkuu wote Uraia wao ni ukakasiMwenyekiti wa CCM uraia wake una mashaka sana. Vip uhamiaji waanze naye?
unajua watu wanapoteza muda...cuf walishinda mara 2 zaznibar....ilipigiwa simu mwinyi wakakutana na waru wa usalama wakamalizaCCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana