Hichi kizee kilipaswa kusema hayo maneno wakati wa Magufuli, badala yake kikawa kinaruka sarakasi na kukatika muziki Ikulu kwa shangwe. Kwa sasa nacho kimeshikwa pabaya na kubwabwaja tu.
Mzee wa V eite angekaa kimya tu watu hawajasahau matendo yake
Yeye mwenyewe muhuni tu kama hao wenzake.
Kwani kwenye list hapo wewe ni yupi ndugu?Kwa maelezo yake ya mwisho anamaanisha yeye ni muhuni zaidi kuliko hao aliowaita wahuni.
Huyo mwamba ni threat ndio maana wanamsogeza mbaliYeye mwenyewe muhuni tu kama hao wenzake.
Pole pole ni irrelevant kwa siasa za awamu hii,atulie ale matunda ya ubalozi wakeHichi kizee kilipaswa kusema hayo maneno wakati wa Magufuli, badala yake kikawa kinaruka sarakasi na kukatika muziki Ikulu kwa shangwe. Kwa sasa nacho kimeshikwa pabaya na kubwabwaja tu.
Kumbe mnamwita kiroboto mie nilijua CHAKUBANGAPasi na kupepesa macho dhidi ya wahuni sikia mambo:
View attachment 2685447
"Kama si fitna, zengwe, kurogwa tegemea kujikuta ana kwa ana na wasiojulikana."
Ama kwa hakika wahuni si watu wazuri!
Tumesikia wakitishiwa watu kuuwawa. Uthibitisho kuwa wahuni huupiga mwingi hadi nje ya CCM.
Tunaporumbana nao kuhusu bandari zetu, maneno ya Polepole aka kiroboto, yanaishi:
"Usiku ni kuwa macho sana!"
Pasi na kupepesa macho dhidi ya wahuni sikia mambo:
View attachment 2685447
"Kama si fitna, zengwe, kurogwa tegemea kujikuta ana kwa ana na wasiojulikana."
Ama kwa hakika wahuni si watu wazuri!
Tumesikia wakitishiwa watu kuuwawa. Uthibitisho kuwa wahuni huupiga mwingi hadi nje ya CCM.
Tunaporumbana nao kuhusu bandari zetu, maneno ya Polepole aka kiroboto, yanaishi:
"Usiku ni kuwa macho sana!"
Leo wanatishwa vinara wa kupinga mkataba wa DP World, wabongo hawana Cha kuokota toka hata kwa Polepole bali kumnyanyapaa. Ndiyo maana CCM yakisema yatatutawala kwa miaka 100.Huyo mwamba ni threat ndio maana wanamsogeza mbali
Kwenye bandari msimamo wake upoje!?
Kumbe mnamwita kiroboto mie nilijua CHAKUBANGA
Shida ni katika mazingirw wanayo tugeuka yaan mtu akinyimwa tonge anakua upande wa wananchi akipewa anasapoti matesoTofauti yetu na nchi zingine ni kujikita kuwajadili watu badala ya hoja zao.
Hapa ndipo tunapofeli hali wenzetu kama Kenya wakipeta.
Urafiki wa kudumu katika siasa ni katika hoja si katika personalities.
Hatujiulizi kulikoni Rails, Karua, Uhuru, Kalonzo nk leo pamoja au kulikoni hao wote na Ruto waliwahi kuwa washirika katika mapambano?
Tungali na safari ndefu sana!