- Thread starter
- #21
Relevance haiko kwenye personality bali hoja.Pole pole ni irrelevant kwa siasa za awamu hii,atulie ale matunda ya ubalozi wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Relevance haiko kwenye personality bali hoja.Pole pole ni irrelevant kwa siasa za awamu hii,atulie ale matunda ya ubalozi wake
Shida ni katika mazingirw wanayo tugeuka yaan mtu akinyimwa tonge anakua upande wa wananchi akipewa anasapoti mateso
Wanasiasa bana leo wanasema hiki kesho kile
Ova
Huyu shetani akae kimya kabisa hana akiliPasi na kupepesa macho dhidi ya wahuni sikia mambo:
View attachment 2685447
"Kama si fitna, zengwe, kurogwa tegemea kujikuta ana kwa ana na wasiojulikana."
Ama kwa hakika wahuni si watu wazuri!
Tumesikia wakitishiwa watu kuuwawa. Uthibitisho kuwa wahuni huupiga mwingi hadi nje ya CCM.
Tunaporumbana nao kuhusu bandari zetu, maneno ya Polepole aka kiroboto, yanaishi:
"Usiku ni kuwa macho sana!"
Mimi nafikiri hii ingemlipa zaidi kuliko huo ubalozi. Angejiweka staili ya kama NANAUKA!Huyu Jamaa alikuwa "INFUENSA" mzuri sana kwa vijana kuhusu kuipenda nchi na uharakati ,Polepole akialikwa kwenye kipindi utapenda kumsikiliza anavyotoa nondo za kupiga kwenye mshono ila "VIPANDE 30 VYA FEDHA' vikampenda zaidi.
Subirini malaika kutoka mbinguni waongee mtawasikiliza waoHuyu shetani akae kimya kabisa hana akili
SawaSubirini malaika kutoka mbinguni waongee mtawasikiliza wao
Kwa mtaji huu ma CCM yanazo sababu zote za kujinasibu na kuendelea kutawala kwa miaka 100. Badala ya hoja busy na watu. Tutaamka lini sisi?Sawa
Huyo mumeo unataka tumsifie kwa lipi? enzi ya dikteta alikuwa mtu mshenzi snKwa mtaji huu ma CCM yanazo sababu zote za kujinasibu na kuendelea kutawala kwa miaka 100. Badala ya hoja busy na watu. Tutaamka lini sisi?
Huyo mumeo unataka tumsifie kwa lipi? enzi ya dikteta alikuwa mtu mshenzi sn
Hata hao unaowasemea hawajawa mfano mzuri bado...Raila, Ruto, Mudavadi, Wetangula, waliwahi kuwa timu Moja.
Raila, Uhuru, Karua, wamewahi kuwa maadui.
Raila, Uhuru, Karua, leo marafiki.
Raila, Uhuru, Karua, leo ni dhidi ya Ruto, Wetangula, Mudavadi.
Lini tutajifunza urafiki au uadui ni kwenye agenda?!
Hata hao unaowasemea hawajawa mfano mzuri bado...
Huo urafiki wa kula pamoja na kukandamiza wananchi hapana
Wasiojulikana wanapenda wahuni, hawataki watu waadilifu wanaotetea rasilimali za nchi yao.
Amesahau alivokua anapost vieiteeeHichi kizee kilipaswa kusema hayo maneno wakati wa Magufuli, badala yake kikawa kinaruka sarakasi na kukatika muziki Ikulu kwa shangwe. Kwa sasa nacho kimeshikwa pabaya na kubwabwaja tu.
Amesahau alivokua anapost vieiteee
ZambiaSi uweke mfano wako ulio mzuri tuone?