Uchaguzi 2020 Polepole: Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, adai Lissu ana tatizo la 'memory'

Uchaguzi 2020 Polepole: Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, adai Lissu ana tatizo la 'memory'

Hivi huyu Slow slow sio katika wale binadamu wa kale kweli!! wanaitwa sijui Zinja nini nini huko wenyewe wasomi wanajua
 
Kujenga misingi ya kiuchumi kwa kudhulumu stahiki za watu(Hakuna ajira mpya,Hakuna nyongeza ya mshahara,kuondoa fao la kujitoa,mpaka rambirambi alikula huko bk)Acha kujipendekeza Basi!
Hiyo kula pesa ya rambirambi unaweza kuweka ushahidi wa namna pesa zilivyoliwa au ni mambo yale ya ukasuku wa kusikiliza ulichoambiwa na wewe ukaamini moja kwa moja!?.

Ajira mpya zipo na ni nyingi sana, umesahau kuhusu vyeti feki na namna wenye vyeti halali walivyopata ajira?.

Sio rahisi kumtimizia kila mtu kila anachotaka kukipata. Hakuna nchi yenye rais wa aina hiyo na hatakuja kutokea.
 
Mkuu, TL ni mtu aliyezaliwa na akili kabla ya kuingia darasani, hakuna mtu anayesumbua serikali ya JPM kama TL na asikiambie mtu kujua sheria ndio kitu kikubwa kinampa jeuri TL kwa sababu nchi inaendeshwa kwa katiba na sheria.
Ni kweli ni mtu mwenye shida ya akili na uchovu waubongokama Lissu ndiye anasumbua watu kwa makeke na makelele majukwaani bila kusema lolote la maana kwa nchi yetu kutokana na maagizo ya akina Amsterdam na wanyonyaji wenzake, ambao ndio wanampa Lissu huo ujeuri na ukorofi usio na maana yoyote. Vinginevyo hana jipya ila kuropoka tu na hivyo kusumbua watu wenye akili zao timamu.
 
CCM wamekamatika hadi wameomba poo, sijawahi ona mgombea eti anakwenda mapumziko ya kampeni this time ndio nimeona mbaya wanamzuia na Lissu eti apumzike.
Huyo mnayesema alikwenda "kupumzika" ni Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania! Hivyo ni vizuri ujue na ufahamu kuwa Rais Magufuli bado ni Rais wa JMT na bado anayo majukumu muhimu ya kutimiza. Acha kibaraka Lissu, apige kelele ili waliomtuma wamsikie vizuri!
 
Hiyo kula pesa ya rambirambi unaweza kuweka ushahidi wa namna pesa zilivyoliwa au ni mambo yale ya ukasuku wa kusikiliza ulichoambiwa na wewe ukaamini moja kwa moja!?.

Ajira mpya zipo na ni nyingi sana, umesahau kuhusu vyeti feki na namna wenye vyeti halali walivyopata ajira?.

Sio rahisi kumtimizia kila mtu kila anachotaka kukipata. Hakuna nchi yenye rais wa aina hiyo na hatakuja kutokea.
Kuliwa pesa za rambirambi ilikuwa live huko Bk
 
Nilikuwa najaribu kuangalia size ya polepole ktk Chadema ili alumbane nae hata hivyo nimeona hakuna na atawapotezea muda tu! Huyu apuuzwe tu!
 
Komredi Polepole yuko mubashara Channel ten akizungumzia maendeleo ya kampeni za CCM.

Kadhalika Polepole ametolea ufafanuzi baadhi ya mambo yaliyopotoshwa na wapinzani hasa Tundu Lisu ikiwemo ujenzi wa SGR na uwanja wa ndege wa Chato.

Karibu.

=======

POLEPOLE: Wenzetu wa Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, uongo mkubwa, upotoshaji wa makusudi. Lakini uzuri Watanzania wanajua uongo na leo nitawapeni ushahidi wa mambo ya uongo watu hawa wamesema.

Ukija kwenye ujenzi wa viwanja vya ndege, kiwanja cha ndege hatujajenga Chato peke yake. Tunajenga Singida, Mpanda. Na kwanini tumejenga Mpanda? Juzi anasema uwanja wa ndege wa Mpanda umejaa majani, hivi kweli?

Mimi sipendi kuzungumza mambo ya mtu binafsi, nafahamu mwaka 2017 huyu bwana alipata matatizo, matatizo wanapata watu wengi lakini nna shaka somewhere, somehow pahala fulani hivi iko shida kwenye memory.

Uwanja wa ndege wa Mpanda haukujengwa kwa sababu ya Mizengo Pinda, uwanja wa ndege wa Mpanda ambao unafanya kazi mpaka leo hii asubuhi, ndege inatua pale ya bombadier, abiria wengi wanaotumia uwanja wa ndege wa Mpanda sasa hivi ni watalii. Wanakwenda Katavi National Park yenye wanyama mbalimbali.

Ukiangalia flight manifest ya abiria wanaokwenda Mpanda, wengi ni raia wa kigeni.
tundu lisu endelea kupiga nyundo huku hawa washadata saiz
 
Kwa jinsi hali ilivyo ni kama wapinzani walikuwa hawajafungiwa miaka 5 kufanya siasa..... Watu wako very inspired.
Nadhani hata CCM hawaamini kinachoendelea....

Hili la Polepole kujitokeza na kujibu linazidi kuzidisha moto wa kifuu....


The battle still continues!!!!!
pole pole nae levo yake si lissu
 
Nilikuwa najaribu kuangalia size ya polepole ktk Chadema ili alumbane nae hata hivyo nimeona hakuna na atawapotezea muda tu! Huyu apuuzwe tu!
Hivi Polepole hio mikono yake ilikua inasaidia nini hapo wkt mzee baba ameshaishika na kuiweka hio kitu mdomoni?
JamiiForums723674951_720x402.jpg
 
CHADEMA hamna maana kabisa, tangu nchi imepata uhuru mmeshindwa kutuwekea madawati kwenye shule zetu
IMG_20201006_084529.jpg
 
Komredi Polepole yuko mubashara Channel ten akizungumzia maendeleo ya kampeni za CCM.

Kadhalika Polepole ametolea ufafanuzi baadhi ya mambo yaliyopotoshwa na wapinzani hasa Tundu Lisu ikiwemo ujenzi wa SGR na uwanja wa ndege wa Chato.

Karibu.

=======

POLEPOLE: Wenzetu wa Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, uongo mkubwa, upotoshaji wa makusudi. Lakini uzuri Watanzania wanajua uongo na leo nitawapeni ushahidi wa mambo ya uongo watu hawa wamesema.

Ukija kwenye ujenzi wa viwanja vya ndege, kiwanja cha ndege hatujajenga Chato peke yake. Tunajenga Singida, Mpanda. Na kwanini tumejenga Mpanda? Juzi anasema uwanja wa ndege wa Mpanda umejaa majani, hivi kweli?

Mimi sipendi kuzungumza mambo ya mtu binafsi, nafahamu mwaka 2017 huyu bwana alipata matatizo, matatizo wanapata watu wengi lakini nna shaka somewhere, somehow pahala fulani hivi iko shida kwenye memory.

Uwanja wa ndege wa Mpanda haukujengwa kwa sababu ya Mizengo Pinda, uwanja wa ndege wa Mpanda ambao unafanya kazi mpaka leo hii asubuhi, ndege inatua pale ya bombadier, abiria wengi wanaotumia uwanja wa ndege wa Mpanda sasa hivi ni watalii. Wanakwenda Katavi National Park yenye wanyama mbalimbali.

Ukiangalia flight manifest ya abiria wanaokwenda Mpanda, wengi ni raia wa kigeni.
Kati ya PLPL na Mheshimiwa Lissu nani hana kumbumbu 'who is out of the memory between the two'
 
Huyo mnayesema alikwenda "kupumzika" ni Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania! Hivyo ni vizuri ujue na ufahamu kuwa Rais Magufuli bado ni Rais wa JMT na bado anayo majukumu muhimu ya kutimiza. Acha kibaraka Lissu, apige kelele ili waliomtuma wamsikie vizuri!
Yameanza Leo,raisi aliapishwa wapi,ukishavunja bunge nchi haina raisi
 
Yameanza Leo,raisi aliapishwa wapi,ukishavunja bunge nchi haina raisi
Hata wenzako wakisoma hili watajua ulivyopwaya on this. Pole sana, hata Amsterdam anayemtetea Lissu anajua kuwa hata Marekani, Trump ataendelea kuwa Rais wa USA hadi pale rais mpya atakapoapishwa. This is equally true to Tanzania, kama huamini au huelewi hili, check with Lissu.
 
Hawa ndio wanatusaidia kuimaliza CCM!
Hivi HP ameshajisahau kwamba sasa anakula matapishi yake (tukikumbuka kauli zake bunge maalum la katiba!!)
JE HUYU POLEPOLE HAKUWAHI KUWA UKAWA?
JIBU LIKIWA NI NDIO BASI HUKO ALIKO KUNA TATIZO KUBWA!!
Je ile NGO yake pale makumbusho huwa inapata msaada toka wapi?
Je athari yake kwa vijana ni ipi?
 
Hata wenzako wakisoma hili watajua ulivyopwaya on this. Pole sana, hata Amsterdam anayemtetea Lissu anajua kuwa hata Marekani, Trump ataendelea kuwa Rais wa USA hadi pale rais mpya atakapoapishwa. This is equally true to Tanzania, kama huamini au huelewi hili, check with Lissu.
Amalizie viporo vyake ili October asiwe amesahau kitu kwani mkataba wake unaisha October
 
Back
Top Bottom