Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
USIWE KAMA BENDERA FUATA UPEPO WEWE!! USIKUBALI KUWA KAMA WAVUTA BANGI WENGINE WALIOCOMMENT HAPO MWANZO!! KUWA MZALENDO TETEA NCHI YAKO. Khaaaa
mchumba wako wewe aliyekuoa juzi kwani umesahau??
Manake toka mwanzo nakuona unavyojitia vidole kila mtu akiwa na mawazo tofauti na mtoa mada
mm kwa uzalendo kabisa nnasema katiba pandekezwa nooo tena big noo
mm ni ccm tena damu na kadi yangu si ya leo wala jana na historia yetu njema sana kifamilia kwenye ccm, ila bila mamlaka kamilli ya zanzibar kamwe na kamwe siungi mkono uchafu huu
Manake toka mwanzo nakuona unavyojitia vidole kila mtu akiwa na mawazo tofauti na mtoa mada
AKILI YAKO YA KUFIKIRI IMEFIKIA HAPO NADHANI MANENO NA EVIDENCE ALIKUPA HAPO JUU VYOTE VIMEKUUMA NDO MAANA UMEAMUA KUWEKA TUC, WEWE LAZIMA UTAKUWA NI MVUTA BANGI MAARUFU, WATU KAMA NYIE HUMU NDNI HAMTAKIWI KWA MAANA MNADHANI KUTUKANA WATU WENGINE HAWAWEZI, KHAAA WE CRAZY TUU BADALA YA KUJIBU KWA HOJA WE UNAKIMBILIA KUWEKA TUC, KAMA IMEKUUMA KUNYWA SUMU UFEEE Message sent!!
Kabla ya kumlaumu polepole, waanze kuwalaumu maaskofu na masheikh wetu waliosema kwamba katiba pendekezwa ni UHARO mtupu!!
NATOA MSISITIZO HATA KWAKO ILI UELEWE NA SIO KUBISHA BISHA HATA KWA VITU AMBAVYO VIKO RIGHT, HATA KAMA UNGEKUWA WEWE NINGESENA NI HAKI YANGU KUFANYA HIVYO. Uko hapo?
Namwelewa sana Humphrey. Nasubiri kwa hamu hiyo siku nikagonge kakura kangu ka HAPANA.
Kwani ndugu unatatizo binafsi na Humphrey?
Umepoteza MB zako kuja kuongea huu ujinga.....halaf utegemee kuitwa great thinker....nadhani unatatizo
WEWE NDO WALE WALE MLIOTUMWA NA HUYO HUMPHREY HARAKA HARAKA, MAANA UNAMTETEA AS IF WE KIBARAKA WAKE KWAKE, KWANI YALIYOSEMWA YANA UONGO? ANAPENDA SIFA KILA SEHEMU AONEKANE ANAJUA KUONGEA KUMBE LIJITU ZEROOO TUU, WATU HAWAMPENDI MCHUMIA TUMBO TU YULE HANA LOLOTE!! Khaaa
AKILI YAKO YA KUFIKIRI IMEFIKIA HAPO NADHANI MANENO NA EVIDENCE ALIKUPA HAPO JUU VYOTE VIMEKUUMA NDO MAANA UMEAMUA KUWEKA TUC, WEWE LAZIMA UTAKUWA NI MVUTA BANGI MAARUFU, WATU KAMA NYIE HUMU NDNI HAMTAKIWI KWA MAANA MNADHANI KUTUKANA WATU WENGINE HAWAWEZI, KHAAA WE CRAZY TUU BADALA YA KUJIBU KWA HOJA WE UNAKIMBILIA KUWEKA TUC, KAMA IMEKUUMA KUNYWA SUMU UFEEE. Message sent!!
Umepoteza MB zako kuja kuongea huu ujinga.....halaf utegemee kuitwa great thinker....nadhani unatatizo
mngeanza na mleta hoja kama alivyoandika yeye mala sheenzi sasa sijui sheenzi sio tusi
I'm very very far from being a great thinker ndugu.... Ila shida yangu ni nyie mnaojiita great thinkers na kushabikia upuuzi