Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
USIWE KAMA BENDERA FUATA UPEPO WEWE!! USIKUBALI KUWA KAMA WAVUTA BANGI WENGINE WALIOCOMMENT HAPO MWANZO!! KUWA MZALENDO TETEA NCHI YAKO. Khaaaa
mm kwa uzalendo kabisa nnasema katiba pandekezwa nooo tena big noo
mm ni ccm tena damu na kadi yangu si ya leo wala jana na historia yetu njema sana kifamilia kwenye ccm, ila bila mamlaka kamilli ya zanzibar kamwe na kamwe siungi mkono uchafu huu