Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Form four D3Tulisema wakimalizana na sisi watageukiana wenyewe kwa wenyewe. Sasa ni vita vya kufa mtu kati ya Polepole na Bulembo, huku kwa mbaaali Nape akitaka kununua ugomvi kwa gharama yoyote Ile.
Kumbe Wahuni aliowasema Polepole ni pamoja na Bulembo.....
View attachment 2047789
Nani sasa?Form four D3
Nape anaingiaje hapo?
Kwamba atataka na Wahuni wengine?Polepole ameanza kutoa siri za wakongwe ndani ya chama ngoja wamnyooshe, maana humo hakuna msafi na falsafa yao ni kulindana tu.
Wakishamaliza kumshughulikia ndipo bomu la maovu yote lisilo na mfano litalipuliwa kisha wataanza kulaumiana kwanini walichukua hatua hiyo.......................wait a little whileKwamba atataka na Wahuni wengine?
Tuombe Mungu tuwepo haiWakishamaliza kumshughulikia ndipo bomu la maovu yote lisilo na mfano litalipuliwa kisha wataanza kulaumiana kwanini walichukua hatua hiyo.......................wait a little while
Sio tuwepo bali awepo maana!Tuombe Mungu tuwepo hai
Kila Mtu CCM anamuita mwenzie Mhuni, kwahio conclusively CCM imejaa WahuniWahuni katika ubora wao.
Ahahahaaaa nikajanyage bahati mbaya nikuumize makusudi
Mnatembea bukta zipo shingoni na bado mpaka makopo mtaokota...Polepole ni LOPOLOPO tu....
Afukuzwe chamani tusherehekee.......
Tuokote SISI ama Polepole na waropokaji wake?!!!!Mnatembea bukta zipo shingoni na bado mpaka makopo mtaokota...
DuhAhahahaaaa nikajanyage bahati mbaya nikuumize makusudi
HUYU JAMAA HANA UASILI NA CHAMA CHETU HAKIJUI ALIWEKWA TU ANGOLEWE MARA MOJA AKICHEKEWA ATAKUJA KUKIVUNJIA HESHIMA CHAMA CHETUPolepole ni LOPOLOPO tu....
Afukuzwe chamani tusherehekee.......