Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Tulisema wakimalizana na sisi watageukiana wenyewe kwa wenyewe. Sasa ni vita vya kufa mtu kati ya Polepole na Bulembo, huku kwa mbaaali Nape akitaka kununua ugomvi kwa gharama yoyote Ile.
Kumbe Wahuni aliowasema Polepole ni pamoja na Bulembo.....
Kumbe Wahuni aliowasema Polepole ni pamoja na Bulembo.....