King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Muulize anaijua vieite?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amuige Bashiru, anajua ameshapiga maboko, now ni muda wa kuchutama, kuendelea kujikakamua ni kujifedhehesha zaidiHaka kajamaa kahovyo sana.
Kwanza hata kaongee kitu gani,hakana mvuto wala ushawishi.
Bora kangekaa kimya tu.
Waanzishie Uzi Mkuu, hapa tunamzungumzia Mzee KijanaHata Chacha wangwe, Sumaye ,Lazaro Nyalandu walitumia haki zao pia lakini wakauawa na kufukuzwa
Hahahaha, sikutegemea kama Polepole anaweza kujifedhehesha namna hii, mwenzake Bashiru kachutama
Mbaya zaidi kakipewa uwaziri basi hata hiyo Shule itakufa the same week!Haka kajamaa kahovyo sana.
Kwanza hata kaongee kitu gani,hakana mvuto wala ushawishi.
Bora kangekaa kimya tu.
Alikuwa anapanda vieitii za kijaniHaka kajamaa kaache unafiki.!
Mbona enzi ya Jiwe hakuwa anakosoa?
Watu waliuawa sababu ya kukosoa awamu ya 5, wengine walipotezwa, wengine walibambikiwa kesi, wengine walitekwa, wengine walinyang'anywa mali zao, wengine walihojiwa uraia wao, wengi accounts zao zilifungwa na wengine wakaporwa fedha zao!! And huyu jamaa anaongea nini?Kuna binadamu mshipa wa aibu umekatika
Huyu jamaa mnafiki sanaHuyu ubongo umejaa fungus, serikali yao ya wauwaji ya awamu ya tano mbona walikuwa hawataki kukosolewa?
Mama amshughurikie huyu mbwa haraka maana kila kukicha yuko bize kupandikiza chuki na uhasi dhidi ya serikali ys awamu ya 6, ashughurikiwe haraka ili awe demo kwa Sukuma gang wote.
Watu waliuawa sababu ya kukosoa awamu ya 5, wengine walipotezwa, wengine walibambikiwa kesi, wengine walitekwa, wengine walinyang'anywa mali zao, wengine walihojiwa uraia wao, wengi accounts zao zilifungwa na wengine wakaporwa fedha zao!! And huyu jamaa anaongea nini?
Unaumwa wewe!! Unasema zama za Magufuli kulikuwa hakuna kitu cha kukosoa? Kuna jambo lililitia aibu Taifa kama Lissu kupigwa risasi? Watu waliohoji wengine si walitimuliwa chama na uwaziri? Jambazi lililokuwa linalindwa na Magufuli limehukumiwa miaka 30, kesi ya Mrosso nayo anapigwa 30 nyingine, eti Magufuli ndiyo alikuwa anataka kumpa ukuu wa mkoa huyo! Taja Upigaji mmoja uliofanyika awamu ya 6Yupo sahihi.Nchi haieleweki inaelekea wapi.Lazima watu wasikae kimya.Zama za Magufuli hapakuwa na jambo la kukosoa ndio maana watu walikuwa kimya lakini kwa uongozi huu uliopo lazima watu waongee huku tozo,huku umeme,huku maji,kule wapigaji... yaani serikali ya hovyo kabisa
Lissu kupigwa risasi au kutopigwa ingepeleka maji kwa wakazi zaidi ya 47,000 kijiji cha Busekelo? Hoja za kipumbavu kabisa! Au unadhani watanzania ni wajinga na siasa zenu uchwara??Unaumwa wewe!! Unasema zama za Magufuli kulikuwa hakuna kitu cha kukosoa? Kuna jambo lililitia aibu Taifa kama Lissu kupigwa risasi? Watu waliohoji wengine si walitimuliwa chama na uwaziri? Jambazi lililokuwa linalindwa na Magufuli limehukumiwa miaka 30, kesi ya Mrosso nayo anapigwa 30 nyingine, eti Magufuli ndiyo alikuwa anataka kumpa ukuu wa mkoa huyo! Taja Upigaji mmoja uliofanyika awamu ya 6
Awamu ya 5 ilikuwa ni awamu ya uovu kuliko awamu zote zimewahi kutokea nchi hii, kudhihirisha hilo "Mother nature" itself ikaamua "kurara nayo mbere", Kwa mara ya kwanza kikatokea kitu hakijawahi kutokea nchi hii....Nitajie upigaji kwenye awamu ya 6 Mkuu, hujanijibu hilo swaliLissu kupigwa risasi au kutopigwa ingepeleka maji kwa wakazi zaidi ya 47,000 kijiji cha Busekelo? Hoja za kipumbavu kabisa! Au unadhani watanzania ni wajinga na siasa zenu uchwara??
Unaandika kama mtu mwenye mihemko asiye na akili timamu.Awamu ya uovu imetenda mambo makubwa mno watanzania tumejionea! Wala haihitaji nguvu kubwa kuelezea.Wakulima wamefurahia pembejeo za kilimo! Bodaboda wamenufaika na miundombinu ya kisasa! Wagonjwa wamefaidika na huduma bora za afya! Waliokuwa wanakufa kwa ubovu wa miundombinu wakielekea hospital wamenusurika! N.k n.k kama ndio uovu huo! Hakika ulikuwa uovu bora kabisa! Watanzania tumeukubali kabisa 100%Awamu ya 5 ilikuwa ni awamu ya uovu kuliko awamu zote zimewahi kutokea nchi hii, kudhihirisha hilo "Mother nature" itself ikaamua "kurara nayo mbere", Kwa mara ya kwanza kikatokea kitu hakijawahi kutokea nchi hii....Nitajie upigaji kwenye awamu ya 6 Mkuu, hujanijibu hilo swali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]haka kajamaa kana stress Sana kwakweliZile v8 kila akizikumbuka anatamani kupasuka.