#COVID19 Polepole: Watanzania tuendeleeni kutumia njia za asili kupambana na Corona

Kut 10:27 SUV

"Lakini BWANA akaufanya moyo wa farao kuwa mgumu , asikubali kuwapa ruhusa waenda zao"
 
Tunataka chanjo
 
Polepole apuuzwe tu kama anataka kupiga nyungu apige tu
 
Polepole anataka na siye tufe kama yule kaka yake (mwendazake).

Atupishe huko!!
 
Una uhakika kuwa iliomuondoa ni corona na siyo kale ka ugonjwa ka miaka ya 80s! Maana inaonekana kama magonjwa mengine tuliyozoea kuyaona yakiondoa ndugu na jamaa zetu tangu mwaka jana yamegoma kuua na yameenda likizo na kumwachia corona zigo la mauaji si ndio eeh 😜, mfyuuuuuu 😡!
Waliokufa Kwa Corona waliotumia hizi mbinu za Kienyeji tunasemaje. Dada yangu alijufukiza, akala Nimcaf yet she died from Corona. RIP my sister. Hapa Tanzania tuseme tuu kuna Nguvu ya Mungu tusioielewa.
 
Ndio ninyi mliokuwa mnataka uhuru wa kujieleza mmmmmh 😜! Mfyuuuuuu 😡!
Jinyonge mwenyewe kama unapenda mfyuuuuuu 😡!
 
Ndio ninyi mliokuwa mnataka uhuru wa kujieleza mmmmmh [emoji12]! Mfyuuuuuu [emoji35]!
Jinyonge mwenyewe kama unapenda mfyuuuuuu [emoji35]!
Uhuru wa manyani
 

Hivi CCM wote wakikosa madaraka wanakuwa wanachanganyikiwa kiasi hiki? Duh kazi kubwa.Jamaa hajui anachozungumza!!!!!!!
 
Mbona inasemekana hiyo hiyo ndio bye bye.wapuuzi nyie,hao mabeberu ingawa dunia ya leo hawapo tena wanadunda baada ya kudungwa CHANJO.NGOMA HIYO ISHAFIKA RWANDA IKINGIA HAPA NDIO UTAIJUA HIYO CORONA NI NINI?KINACHOTUSAIDIA NI NCHI ZOTE ZINAZOPAKANA NASI ZIMEFUNGA MIPAKA.MMESAHAU KIKOMBE CHA BABU?MWANAE KAPATA MALARIA TU KAMPELEKA HOSPITALI,MIJINGA KAA NYIE MMETESEKA KUFUATA KIKOMBE CHA BABU.MMEISHIA SHIMONI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…