Karaoke
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 587
- 1,194
Hakuna atakae kuwa na jibu sahihi la corona hapa Tanzania kwasababu hakuna takwimu.
Watu waliokufa kwa corona kwenye nchi nyingi ni wachache na waliopona ni wengi na ambao hawakupata ni wengi zaidi.
Kwa mfano, Kama Tanzania tupo milioni 60, inawezekana waliougua ni kama milioni 5, na waliofariki labda ni laki 2. Hali kama hii sio rahisi
kuitambua na ukipita barabarani na mitaani utaona maisha yanaendelea na kuamini tupo salama.
Watu waliokufa kwa corona kwenye nchi nyingi ni wachache na waliopona ni wengi na ambao hawakupata ni wengi zaidi.
Kwa mfano, Kama Tanzania tupo milioni 60, inawezekana waliougua ni kama milioni 5, na waliofariki labda ni laki 2. Hali kama hii sio rahisi
kuitambua na ukipita barabarani na mitaani utaona maisha yanaendelea na kuamini tupo salama.