#COVID19 Polepole: Watanzania tuendeleeni kutumia njia za asili kupambana na Corona

#COVID19 Polepole: Watanzania tuendeleeni kutumia njia za asili kupambana na Corona

Katibu mwenezi msitaafu wa CCM na mbunge wa kuteuliwa wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bwana Humphrey Polepole amehoji ni kwa nini watanzania wanataka kuacha mbinu za asili zilizotusaidia mwaka jana kupambana na corona na tukaibuka na mafanikio makubwa kiuchumi na kijamii?

Bwana Polepole ametolea mfano wa nchi zote zilizojaribu kupambana na Corona kwa kufuata mfumo wa kimagharibi mwishoni wa mwaka 2020 ziliishia kupata ukuaji hasi wa uchumi kwenye nchi zao!

Polepole amesema ni Tanzania tu ndiyo iliyopata ukuaji wa uchumi chanya kwenye nchi zote za Afrika mashariki. Sasa kwa nini sisi watanzania tunaona aibu kujivunia hizo mbinu za asili? Amehoji mh Polepole.

Mwaka jana tulipambana na Corona kwa kutumia njia tatu.
1. Kumtanguliza Mungu mbele
2. Kufuata mbinu mbalimbali tunazoshauliwa na watalaamu wetu
3.Kuchapa kazi kwa bidii


Huyu jamaa sio mnafiki wala mchumia tumbo.
 
Marekani ,Uganda ,Brazil hawajui biology??
Unaelewa kwamba kuna Madaktari Marekani na matajiri wengi tu wamekataa kuchomwa Chajo? Hivi wewe, kwa nini usfanye tafiti kwanza uone vile Uganda na Brazil wana haha na milipuko ya Corona baada ya kuchanja watu wao?
Unajua kwamba kuna baadhi ya nchi, wafanyabiashara za migusano kama vinyozi, wanakataa wateja waliochanjwa?
Unawezaje kuuliza swali la namna hiyo kama kweli wewe ni reasonable and understanding person? Uelewa na dhamira zinapimwa kwa majina ya nchi? Swali lako linakutia doa la mashaka kwa upande wa
 
Unaelewa kwamba kuna Madaktari Marekani na matajiri wengi tu wamekataa kuchomwa Chajo? Hivi wewe, kwa nini usfanye tafiti kwanza uone vile Uganda na Brazil wana haha na milipuko ya Corona baada ya kuchanja watu wao?
Unajua kwamba kuna baadhi ya nchi, wafanyabiashara za migusano kama vinyozi, wanakataa wateja waliochanjwa?
Unawezaje kuuliza swali la namna hiyo kama kweli wewe ni reasonable and understanding person? Uelewa na dhamira zinapimwa kwa majina ya nchi? Swali lako linakutia doa la mashaka kwa upande wa
Mwambie mboe
 
Sina vitendea kazi vya kupima watu nijue nani ana corona na nani hana na sina mamlaka hayo, na wenye mamlaka hayo pia hawajatoa takwimu, kwahiyo sina jibu.
Ila umezika wangapi hapo kwenu?
 
Katibu mwenezi msitaafu wa CCM na mbunge wa kuteuliwa wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bwana Humphrey Polepole amehoji ni kwa nini watanzania wanataka kuacha mbinu za asili zilizotusaidia mwaka jana kupambana na corona na tukaibuka na mafanikio makubwa kiuchumi na kijamii?

Bwana Polepole ametolea mfano wa nchi zote zilizojaribu kupambana na Corona kwa kufuata mfumo wa kimagharibi mwishoni wa mwaka 2020 ziliishia kupata ukuaji hasi wa uchumi kwenye nchi zao!

Polepole amesema ni Tanzania tu ndiyo iliyopata ukuaji wa uchumi chanya kwenye nchi zote za Afrika mashariki. Sasa kwa nini sisi watanzania tunaona aibu kujivunia hizo mbinu za asili? Amehoji mh Polepole.

Mwaka jana tulipambana na Corona kwa kutumia njia tatu.
1. Kumtanguliza Mungu mbele
2. Kufuata mbinu mbalimbali tunazoshauliwa na watalaamu wetu
3.Kuchapa kazi kwa bidii

Kwahiyo wewe umekuwa vuvuzela la magonjwa mtambuka?

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Waliokufa Kwa Corona waliotumia hizi mbinu za Kienyeji tunasemaje. Dada yangu alijufukiza, akala Nimcaf yet she died from Corona. RIP my sister. Hapa Tanzania tuseme tuu kuna Nguvu ya Mungu tusioielewa.
Upo sahihi kabisa
 
Hizo chanjo zina masumu ya muda mfupi na muda mrefu.

Usipokufa ghafla basi jiandae sumu kukuvuruga kwa muda mrefu ujao.

Ini, figo, DNA destruction na mengine mengi.

Madalali wa chanjo hawataki kusikia hayo.

They are very vicious and money-propelled like zombies.
We mpuuzi tu, chanjo zote zinatoka kwa wazungu kuanzia umezaliwa unalambwa chanjo, gari la mzungu, cm, computer, bunduki, bomu, sindano, ERV, bati, mpaka sink la choo unalotumia n.k mzungu akiamua kukuua hata leo anakumaliza mapema sn.
 
We mpuuzi tu, chanjo zote zinatoka kwa wazungu kuanzia umezaliwa unalambwa chanjo, gari la mzungu, cm, computer, bunduki, bomu, sindano, ERV, bati, mpaka sink la choo unalotumia n.k mzungu akiamua kukuua hata leo anakumaliza mapema sn.
Kaolewe na hao wazungu sasa
 
Pole Ndugu Polepole, ila utachanjwa tu 🤣
IMG_20210601_164328.jpg
 
Siku hizi takataka ambazo hata hazijui "What is biology" ndio washauri wa masuala ya Afya ?
For your information, wengi wa wanaokufa Uganda ni wale waliopata chanjo ya kwanza. Wataalamu wanasema once ukishapata chanjo ya kwanza utatakiwa upate hanjo ya pili ili iweze kuimarisha immune system.

Naunga mkono hoja ya Polepole, tusikimbilie kuchomwa chanjo, kama kuna uwezekano tuimarishe tiba zetu yaani local vaccines, huku tukimtanguliza Mungu mbele. Mungu alitupa maarifa na akili, bado katupatia mimea ya kila aina na dawa za kila aina. Tuamke
 
We mpuuzi tu, chanjo zote zinatoka kwa wazungu kuanzia umezaliwa unalambwa chanjo, gari la mzungu, cm, computer, bunduki, bomu, sindano, ERV, bati, mpaka sink la choo unalotumia n.k mzungu akiamua kukuua hata leo anakumaliza mapema sn.
Unataka kusemaje maana naona unabwabwaja tu bila kuwa na muelekeo!
 
Waliokufa Kwa Corona waliotumia hizi mbinu za Kienyeji tunasemaje. Dada yangu alijufukiza, akala Nimcaf yet she died from Corona. RIP my sister. Hapa Tanzania tuseme tuu kuna Nguvu ya Mungu tusioielewa.
Tumia akili vizuri. Je huko walikofungiwa na kupewa chanjo hawakufa kama alivyokufa dada yako? Yawezekana dada yako alikuwa na magonjwa mengine pia ambayo huyasemi!! Siyo siri kuwa mkakati tulioutumia wa kumtanguliza Mungu ndio umeiweka nchi yetu mahali salama hadi mataifa ya mabeberu yanaona wivu wa dhahiri!. Tunataka kuiga kutoka mataifa ambayo mpaka leo bado yanateswa na maambukizi mapya na vifo kila siku. Uingereza mpaka wameahirisha kuondoa kabisa lockdow kwa sababu maambuki yanaongezeka. Lakini wamechanjwa wengi na barakoa wanavaa na social distancing (kutokukaribiana) wanafuata. Tutawaigaje wale ambao mbinu zao hazijawasaidia? Kwanza watatushangaa na kutudharau sana! Watajua tu ni umaskini wetu wa kutaka misaada / mikopo ndio unaotusukumà kuiga huko kusikokuwa na tija.Hongera sana Polepole kwa kuusema ukweli ambao wengi wanaufahamu lakini unafiki hauwafuhusu kuusema.
 
Back
Top Bottom