#COVID19 Polepole: Watanzania tuendeleeni kutumia njia za asili kupambana na Corona

#COVID19 Polepole: Watanzania tuendeleeni kutumia njia za asili kupambana na Corona

Hiyo ndokazi yakua viti maalum(asante),huyu angekua alipambana majukwani kuomba kura sidhan kama angeongea upumbavu huo.jingine nasikia ni PhD holder.kweli?
 
Mwambie aache fkra za mwendazake ambaye amechapwa na korona
Katibu mwenezi msitaafu wa CCM na mbunge wa kuteuliwa wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bwana Humphrey Polepole amehoji ni kwa nini watanzania wanataka kuacha mbinu za asili zilizotusaidia mwaka jana kupambana na corona na tukaibuka na mafanikio makubwa kiuchumi na kijamii?

Bwana Polepole ametolea mfano wa nchi zote zilizojaribu kupambana na Corona kwa kufuata mfumo wa kimagharibi mwishoni wa mwaka 2020 ziliishia kupata ukuaji hasi wa uchumi kwenye nchi zao!

Polepole amesema ni Tanzania tu ndiyo iliyopata ukuaji wa uchumi chanya kwenye nchi zote za Afrika mashariki. Sasa kwa nini sisi watanzania tunaona aibu kujivunia hizo mbinu za asili? Amehoji mh Polepole.

Mwaka jana tulipambana na Corona kwa kutumia njia tatu.
1. Kumtanguliza Mungu mbele
2. Kufuata mbinu mbalimbali tunazoshauliwa na watalaamu wetu
3.Kuchapa kazi kwa bidii

 
Waliokufa Kwa Corona waliotumia hizi mbinu za Kienyeji tunasemaje. Dada yangu alijufukiza, akala Nimcaf yet she died from Corona. RIP my sister. Hapa Tanzania tuseme tuu kuna Nguvu ya Mungu tusioielewa.
Pole kwakufiwa lakini ebu sema huko kwingine hawakufa? Mbona sisi hali yetu ni afadhli kuliko wao?
 
Katibu mwenezi msitaafu wa CCM na mbunge wa kuteuliwa wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bwana Humphrey Polepole amehoji ni kwa nini watanzania wanataka kuacha mbinu za asili zilizotusaidia mwaka jana kupambana na corona na tukaibuka na mafanikio makubwa kiuchumi na kijamii?

Bwana Polepole ametolea mfano wa nchi zote zilizojaribu kupambana na Corona kwa kufuata mfumo wa kimagharibi mwishoni wa mwaka 2020 ziliishia kupata ukuaji hasi wa uchumi kwenye nchi zao!

Polepole amesema ni Tanzania tu ndiyo iliyopata ukuaji wa uchumi chanya kwenye nchi zote za Afrika mashariki. Sasa kwa nini sisi watanzania tunaona aibu kujivunia hizo mbinu za asili? Amehoji mh Polepole.

Mwaka jana tulipambana na Corona kwa kutumia njia tatu.
1. Kumtanguliza Mungu mbele
2. Kufuata mbinu mbalimbali tunazoshauliwa na watalaamu wetu
3.Kuchapa kazi kwa bidii


Impliedly anampingaRais, imekula kwake. Hawa watu mzimu unawatesa sana, kwa nini wasiangalie upepo?
 
Hivi unapambana vipi na corona kwa kuchapa kazi kwa bidii? Anaweza kutupa data za watu waliochapa kazi kwa bidii huo mwaka jana wakati tunapambana na corona? Siasa za kishenzi anatuletea za mwendazake.
 
Hivi unapambana vipi na corona kwa kuchapa kazi kwa bidii? Anaweza kutupa data za watu waliochapa kazi kwa bidii huo mwaka jana wakati tunapambana na corona? Siasa za kishenzi anatuletea za mwendazake.
Huna akili ,kuwafungia watu ndani kunadhoofisha kinga zao za mwili kuliko yule anayechapa kazi
 
Pata chanjo mkuu umkomoe JPM
Elimu ni ufunguo wa maisha. Nitapata chanjo inshallah with or without everybody.

Wanisoma jombi.

Ila wewe acha kupata chanjo ili utukomoe sisi tunaoitaka.

Hapo vipi? Salama?
 
Waliokufa Kwa Corona waliotumia hizi mbinu za Kienyeji tunasemaje. Dada yangu alijufukiza, akala Nimcaf yet she died from Corona. RIP my sister. Hapa Tanzania tuseme tuu kuna Nguvu ya Mungu tusioielewa.
IMG-20210616-WA0067.jpg
 
Haka kajinga si ndo kalitangaza ushindi dhidi ya corona. hovyo kabisa.
 
Katibu mwenezi msitaafu wa CCM na mbunge wa kuteuliwa wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bwana Humphrey Polepole amehoji ni kwa nini watanzania wanataka kuacha mbinu za asili zilizotusaidia mwaka jana kupambana na corona na tukaibuka na mafanikio makubwa kiuchumi na kijamii?

Bwana Polepole ametolea mfano wa nchi zote zilizojaribu kupambana na Corona kwa kufuata mfumo wa kimagharibi mwishoni wa mwaka 2020 ziliishia kupata ukuaji hasi wa uchumi kwenye nchi zao!

Polepole amesema ni Tanzania tu ndiyo iliyopata ukuaji wa uchumi chanya kwenye nchi zote za Afrika mashariki. Sasa kwa nini sisi watanzania tunaona aibu kujivunia hizo mbinu za asili? Amehoji mh Polepole.

Mwaka jana tulipambana na Corona kwa kutumia njia tatu.
1. Kumtanguliza Mungu mbele
2. Kufuata mbinu mbalimbali tunazoshauliwa na watalaamu wetu
3.Kuchapa kazi kwa bidii



Wataalamu waliosemea wameshatoa mwongozo sisi tuna wasikiliza chakubanga😂. Kufunga au kutokufunga nchi ina uhusiano gani na matibabu😂. Nani kasema nchi ifungwe! .
Wengi walifunga wakati ule mwaka jana ili watoe muda wa kuusoma ugojwa. Tujue tu tumepoteza wengi sana hata viongozi wake.
 
Wataalamu waliosemea wameshatoa mwongozo sisi tuna wasikiliza chakubanga[emoji23]. Kufunga au kutokufunga nchi ina uhusiano gani na matibabu[emoji23]. Nani kasema nchi ifungwe! .
Wengi walifunga wakati ule mwaka jana ili watoe muda wa kuusoma ugojwa. Tujue tu tumepoteza wengi sana hata viongozi wake.
Huna akili
 
Back
Top Bottom