Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ucnipotezee muda hapaNdo nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ucnipotezee muda hapaNdo nini?
Wajane hawaamini kama Mwendawazimu kafa na kuwaacha waangaike na dunia.Bado hajaamini ya awamu ya tano yalikwisha. Tulipo sasa waungwana tunasubiria chanjo.
Mataga mnamuangusha sana Samia,Hizo chanjo zina masumu ya muda mfupi na muda mrefu.
Usipokufa ghafla basi jiandae sumu kukuvuruga kwa muda mrefu ujao.
Ini, figo, DNA destruction na mengine mengi.
Madalali wa chanjo hawataki kusikia hayo.
They are very vicious and money-propelled like zombies.
Mwendawazimu na Samia si ni kitu kimoja, au ?!Si uifuate tu hiyo chanjo kama Mbowe alivyofanya?
ARV tu ndiyo zinambebaHawa akina Polepole walishajikatia tamaa ya maisha hata akifa hakuna neno
Mwendazake, Meko, mnajisahaulisha kuwa Covid-19 ilimalizana naeJiwe ndo nani?
Wacha mboyoyo wewe!Mwendazake, Meko, mnajisahaulisha kuwa Covid-19 ilimalizana nae
Kwa hiyo Rais na kamati yake hawana akili..?!
Katibu mwenezi msitaafu wa CCM na mbunge wa kuteuliwa wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bwana Humphrey Polepole amehoji ni kwa nini watanzania wanataka kuacha mbinu za asili zilizotusaidia mwaka jana kupambana na corona na tukaibuka na mafanikio makubwa kiuchumi na kijamii?
Bwana Polepole ametolea mfano wa nchi zote zilizojaribu kupambana na Corona kwa kufuata mfumo wa kimagharibi mwishoni wa mwaka 2020 ziliishia kupata ukuaji hasi wa uchumi kwenye nchi zao!
Polepole amesema ni Tanzania tu ndiyo iliyopata ukuaji wa uchumi chanya kwenye nchi zote za Afrika mashariki. Sasa kwa nini sisi watanzania tunaona aibu kujivunia hizo mbinu za asili? Amehoji mh Polepole.
Mwaka jana tulipambana na Corona kwa kutumia njia tatu.
1. Kumtanguliza Mungu mbele
2. Kufuata mbinu mbalimbali tunazoshauliwa na watalaamu wetu
3.Kuchapa kazi kwa bidii
Huyo ni mpuuzi na mwongo mkubwa. Ni nani aliyemdanganya kuwa katika East Africa ni Tanzania tu ndiyo ambayo uchumi wake ulikua mwaka 2020?Katibu mwenezi msitaafu wa CCM na mbunge wa kuteuliwa wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bwana Humphrey Polepole amehoji ni kwa nini watanzania wanataka kuacha mbinu za asili zilizotusaidia mwaka jana kupambana na corona na tukaibuka na mafanikio makubwa kiuchumi na kijamii?
Bwana Polepole ametolea mfano wa nchi zote zilizojaribu kupambana na Corona kwa kufuata mfumo wa kimagharibi mwishoni wa mwaka 2020 ziliishia kupata ukuaji hasi wa uchumi kwenye nchi zao!
Polepole amesema ni Tanzania tu ndiyo iliyopata ukuaji wa uchumi chanya kwenye nchi zote za Afrika mashariki. Sasa kwa nini sisi watanzania tunaona aibu kujivunia hizo mbinu za asili? Amehoji mh Polepole.
Mwaka jana tulipambana na Corona kwa kutumia njia tatu.
1. Kumtanguliza Mungu mbele
2. Kufuata mbinu mbalimbali tunazoshauliwa na watalaamu wetu
3.Kuchapa kazi kwa bidii
Kaangalie takwimu za world bank na NBS .Huyo ni mpuuzi na mwongo mkubwa. Ni nani aliyemdanganya kuwa katika East Africa ni Tanzania tu ndiyo ambayo uchumi wake ulikua mwaka 2020?
Mtu akiongea uwongo kwa mambo yaliyo wazi, ni kumpuuza. Hakuna haja ya kufuata hekima ya mjinga na mnafiki.
Kenya: economic growth 2020 was 1.7%
Rwanda: economic growth 2020 was 6.7%
South Sudan: economic growth 2020 was 3.2%
Uganda: economic growth 2020 was 4.3%[
Sasa kusema ni Tanzania tu katika East Africa ndiyo ilikuwa na economic growth, sijui kama amekosa uelewa, au ni unafiki?
Hawa ndiyo waliomdanganya Mzee wa watu kuhusu Corona ............ Msukuma, Jaffo na Dr. Gwajima mbona siku hizi hatuwasikii tena wakija na zile story zao za KUJIFUKIZA ....!!Polepole apuuzwe tu kama anataka kupiga nyungu apige tu
Pambaf kabisa, ooh kunyweni Bupiji, pigeni Nyungu, kunyweni Tangawizi, Mwanangu alipata akapona kwa kujifukiza.Wacha mboyoyo wewe!
Kelele mingi mtoto mdogo unajitutumua!
Ndo nini?Pambaf kabisa, ooh kunyweni Bupiji, pigeni Nyungu, kunyweni Tangawizi, Mwanangu alipata akapona kwa kujifukiza.
Msivae Barakoa
Mamaaae Dude likamwambia Mimi sitaki Zereu, likapita nae chaaaap, kama Mwewe.
CrapNdo nini?