Like Sabibo Camp like Operesheni Tokomeza. Na hii ni just a drop of ice berg...unaweza kupata wakati mgumu kujiuliza kwa nini hadi sasa serikali haijawajibika kikamilifu katika unyama huu waliofanyiwa Watanzania.
Hivi unaweza kujiuliza kwenye hizo kambi vingapi hatujavijua vilifanyika? Kama hadi sasa, kwa mujibu wa Tundu Lissu akihutubia mkutano wa Shelui na Gervas Mbasa akihutubia Nanga, wapo watu tena akina mama walipigwa misumari ya nchi sita masikioni, wanaume walilazimishwa kufanya mapenzi na miti hadi wamalize haja zao, wengine wakatiwa chupa na misumari sehemu za siri. OMG! Mangapi hatuyajui!
Shameful condition...but they should know exactly, no condition is permanent (The State of Africa; A History of Fifty Years of Independence [Martin Meredith].