Hapa chini nimeattach barua ya mwana kijiji mmoja wa huko kigoma ambaye alibambikiwa kesi na polisi ,akaifikisha kesi kwa mkuu wa wilaya hiyo Kibondo mkoani Kigoma bwana Venance Mwamoto,lakini mpaka leo akaingiza siasa kwenye hilo jambo,
Naomba Moderator mmnisaidie kuiweka vizuri kwa sababu mimi sio mtaalamu sana wa hizi technologia za ng'ambo
Naomba Moderator mmnisaidie kuiweka vizuri kwa sababu mimi sio mtaalamu sana wa hizi technologia za ng'ambo