Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Petition | Government of Tanzania: Stop police violence against peaceful demonstrators and journalists | Change.org

The horrific killing of Mr. Mwangosi, a journalist with Channel 10, and the Chairman of the Iringa Press Club, took place against the backdrop of escalating clashes between the Tanzanian police and supporters of the Opposition CHADEMA Party and the Movement for Change (M4C)....

Ninapata shida sana na maneno hayo kwanye red.

Je ni kweli kuna clashes na hasa hapo kulikuwa na clashes? Au lugha imenishinda?

Mimi nanouna kuwa ni muhimu sana kutumia maneno sahihi. Kutumia mapambano kati ya wafuasi wa CHADEMA na polisi kwanza siyo kweli, pili inaonyesha polisi walikuwa na haki kutumia nguvu zaidi katika mapambano. Zaidi hawa unaowatumia petotion wataona mazingira hayo ni ya vita vita . Kuna mwanajamvi mmoja humu alielezea waandishi na wafuasi wa CDM kuikubali propaganda hizi.
 
Petition | Government of Tanzania: Stop police violence against peaceful demonstrators and journalists | Change.org



Ninapata shida sana na maneno hayo kwanye red.

Je ni kweli kuna clashes na hasa hapo kulikuwa na clashes? Au lugha imenishinda?

Mimi nanouna kuwa ni muhimu sana kutumia maneno sahihi. Kutumia mapambano kati ya wafuasi wa CHADEMA na polisi kwanza siyo kweli, pili inaonyesha polisi walikuwa na haki kutumia nguvu zaidi katika mapambano. Zaidi hawa unaowatumia petotion wataona mazingira hayo ni ya vita vita . Kuna mwanajamvi mmoja humu alielezea waandishi na wafuasi wa CDM kuikubali propaganda hizi.


The recent gruesome murder of journalist, Daud Mwangosi, by the police, and the failure of the President to speak out against this incident and many others, indicate that there is a concerted effort by the government of Tanzania to suppress democracy, civil rights and the growing Movement for Change (M4C) in the country.
 
waanze na vifo vya Iraq na Afighastan walikosababisha vita mbona vifo vya Tanzania cha mtoto?
 
Mkuu, uko sahihi kabisa, nadhani mwandishi hajatumia lugha mahali pake.
 
Tuwakumbuke pia wazanzibar zaidi ya sabini ktk tukio la kusikitisha la januari 21.waislam waliouawa pale mwembechai.bila kusahau kunyang'anywa uraia mwandishi mkongwe jenerali ulimwengu na mengine mengi yanayotokea karibu kila siku.
 
Tuwakumbuke pia wazanzibar zaidi ya sabini ktk tukio la kusikitisha la januari 21.waislam waliouawa pale mwembechai.bila kusahau kunyang'anywa uraia mwandishi mkongwe jenerali ulimwengu na mengine mengi yanayotokea karibu kila siku.

behewa lipitalo reli ya kati haliwezi kupita reli ya tazara.
Kuna tofauti ya vipimo vya upana wa reli.
Nimekupa taarifa nawe ujiongeze, usisubiri kutafuniwa kila kitu.
 
FUATA LINK HII KUONA HABARI CNN iREPORT. UNAOMBWA UKOMENT NA SHARE LINK HII

Petition Goverment of Tanzania - CNN iReport


HII NI PAGE YA PETITION. TAFADHARI CHUKUA DAKIKA MBILI KUSIGN

Petition | Government of Tanzania: Stop police violence against peaceful demonstrators and journalists | Change.org

HAPA WAMEANZA KUTUSIKILIZA KIAINA

United Nations News Centre - UNESCO chief denounces killing of Tanzanian journalist

TUNATARAJIA KUPELEKA SIGNATURE NA PETITION LETTER KATIKA KIKAO CHA UN KIJACHO CHINI YA WEEK MBILI. NA PETITION LETTER NYINGINE ITAKUWA ATTACHED NA SAHIHI HIZI ITAPELEKWA STATE DEPARTMENT WASHINGTON DC. BREAK YA PILI NI WHITE HOUSE.

Nitamfikishia Susan Rice personal. Ambaye ni American diplomat, former think-tank fellow, and civil servant. She is United States Ambassador to the United Nations



Asanten kwa ushilikiano wenu. Tufanye hili kumuenzi Mwangosi na namu yake isiende BURE.
 
Hii ni kutoka Mara na inadaiwa tukio limetokea wiki hii

Huyu mtoto sijui hata alifanya kosa gani mpaka apasuliwe kichwa na polisi. cc King of Kings

attachment.php
 
Mi inaniuma sana alafu mtu kwa akili zake ndogo anaropokea mitandao ya kijamii huku yeye mwenyewe akificha kivuli chake shame on you policcm
 
Mungu Wangu!

Inadaiwa kuwa huyo mtoto alikuwa na umri wa miaka 9 tuu. Jina lake ni Deo Yakob.

Inadaiwa kuwa polisi walikuwa katika pilikapili za kukamata majambazi.

Sasa sijui kama mtoto alikuwa ni jambazi na hata kama alikuwa wasingeweza kumshtaki mahakamani probably kutokana na kuwa chini ya miaka 10.

Hata hivyo kuna mdau alisema haya jana.

Katika pitapita zangu hapa Tarime mjini nimekutana na watu wengi wenye hasira wakiwa wamebeba maiti ya mtoto wa miaka Kati ya 9 wanelekea police, baada kuuliza kulikon nikaambiwa kuwa.." kulikuwa na ugomvi wa kifamilia Kati ya mke na mme, kuona mke kazidiwa akotoka mbio hadi police kuomba msaada ......police wakaja Yule mme alipowaona akatoka mbio kuwakimbia so walichofanya ni kumfyatulia risasi but ikampata kichichwan mtoto aliyekuwa anatoka dukani na kufa papohapo.

https://www.jamiiforums.com/habari-...isasi-tarime-wananchi-waingia-barabarani.html

cc. raymg
 
Last edited by a moderator:
Tume ya haki za binadamu na wanaharakatika wanusurini watanzania na mateso haya.
 
Back
Top Bottom